DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #181
Hakuna anayeona Ni sawa Ila Unamuwekaje Daktari azungumzie Siasa na Wakati Kuna Watu uliowatuma Bungenj wazungumze Shida zako na Tayari Kikao chao Kimeanza?Vinafanywa na Serikali na Daktari anaona ni sawa,
Sasa kama wewe ni daktari na una akili kama hii, tutaponea wapi?Nchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
- Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
- Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
- Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
- Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
- Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Yalivyo mazwazwa...hahahaAngalia vizuri utakuta ni shabiki wa Yanga huyo😂😂😂.
Wao wanaamini kuwa Hersi atawasaidia huko alikookota urais
Nini kifanyike sasa?Nchi za Afrika Zote haziwezi kutoboa kwa Disease Burden Iliyopo Ngoja Twende statistically..
Hakuna Nchi narudia tena Hakuna nchi wala Chama Kinachoweza Kubeba Hiyo burden Bila Kuhitaji Msaada..
- Riport ya mwaka jana Tanzania Kwa sasa Ina WAVIU- 1.7Milion na waviu wanaotumia ARV ni 1.4 Milion
- Waliokuwa wana Ugonjwa wa Malaria walikuwa ni zaidi ya Milion 1
- Watoto waliopatiwa Chanjo ni zaidi ya Milion 1
- Watu waliotumia Njia za Uzazi wa Mpango ni zaidi ya Milions
- Wagonjwa wa TB kwa mwaka Jana walikuwa zaidi ya Laki mbili
unajua Chanjo moja ni Bei gani? Unajua ARV Drugs Ni Tsh ngapi Kopo Moja? Unajua Uzazi wa Mpango Hata Kidonge tu Circle mpja Ni Tsh ngapi??
Wao wananufaikaje na hiyo mikataba?Tuna Mikataba Nao ya Ruzuku na Ndo maana Tunalalamika kama Tusingekuwa na Mikataba nao tusingelalamika
Haf Kila siku yupo kwenye jukwaa kumtetea mama...akili kisoda kweli...Huyo ni rais wa USA sio rais wa Tanzania. Jukumu lake ni kuipambania USA na sio kuisimamia Tz!
Hizi shida za Tz usimlalamikie Trump mlalamikie Samia, pia jilalamikie wewe kwa kuwa na akili fupi ya kuendelea kuichagua ccm wakati unaona kabisa hamna kitu wanafanya.
Disease Burden Ni kubwa sana kwa Nchi zetu za Africa Sisi peke yetu hatuwezi
si huwa mnawaita mabeberu mara mnajiweza na propaganda kibao jitafteni
Mimi Mnyama Nguvu Moja..Yalivyo mazwazwa...hahaha
Ila huyu Doc mambo jambo ni mnyama au nimemfananisha
Ulitaka Niwe na Akili Ipi Mkuu!Sasa kama wewe ni daktari na una akili kama hii, tutaponea wapi?
Serkali Itenge Bajeti ya Kutosha Ili Kujitoa kwenye UtegemeziNini kifanyike sasa?
Serkali zetu Bado zinashindwa Kujitegemea Ila walitakiwa wao ndo wafanyeNani aipunguze hiyo high sickness/disease rate tuliyonayo Afrika?
Nionyeshe Hata Nyuzi moja Nimemtetea MamaHaf Kila siku yupo kwenye jukwaa kumtetea mama...akili kisoda kweli...
Shida ya trump ni hiyo anafanya mambo kwa kutafuta misifa.Issue ya Trump sio hili wala lile, issue kubwa ya Trump hana principles bali akiamka anaangalia ni kipi anaweza kuridhisha base yake bila kuangalia consequences (the man is a Populist) and such a man siwezi kumuunga mkono..., kwahio kwenye hili ndio unaona amekosea vipi kujitoa katika Paris Accord (kwamba mazingira ni consipiracy) au vipi aliposhauri watu wajidunge disinfectants ili kuikabili Corona ?
Trump ni kama yule Mteja kwenye Mgahawa (asiye na staha) anayepayuka payuka na kuongea kwa Sauti huku akiwakera Walaji wengine
Ni kama Scenario ya Mgahawa..., kuna wateja wamekuja kuburudika sisi kama dunia (wenye mgahawa) kwa busara zetu tunajua wateja wote ni wafalme.., sasa kuna huyu mteja mmoja analeta sintofahamu ambapo kwa kauli zake ambazo zinafanya wengine wakereke, na washindwe kuendelea na mambo yao kama...www.jamiiforums.com
Naona Akili za kumtegemea Trump zinafanana na akili za kumtegemea Hersi ACA hukoYalivyo mazwazwa...hahaha
Ila huyu Doc mambo jambo ni mnyama au nimemfananisha
Ukiwa mtu makini na unaeelewa ukweli wa mambo ni wazi Trump hako sawasawa.Tuliwaambia Trump mwehu mkabisha.
Mtaelewa tu.
Nchi za Afrika haziwezi kujitawala au hazitaki kujitawala?Ukiwa mtu makini na unaeelewa ukweli wa mambo ni wazi Trump hako sawasawa.
Ni ukweli kuwa nchi za Afrika haziwezi kujitawala. Hakuna mwafrika anayeza kutawala.
Hawa wanaoitwa viongozi wa Afrika ni wawakilishi wa watawala, ambao wamewapa mamlaka ya kufanya mambo madogomadogo.
Serkali zetu Bado zinashindwa Kujitegemea Ila walitakiwa wao ndo wafanye
Haziwezi kujitawala. Haziwezi.Nchi za Afrika haziwezi kujitawala au hazitaki kujitawala?