Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Nilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam 😁 dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii historia ya Ottoman inatufundisha mambo mengi sana ambayo huyakuti katika movie zetu za kibongo wala Nigerian movies. Wanawake wamejisitiri, wanaume wapo kiume haswaa, na pia kabla ya jambo wanamtanguliza sana Mwenyezi Mungu mbele, aise kwa hili niseme tu hawa jamaa walibarikiwa sana (OTTOMAN EMPIRE)✅
Bongo and all African movies bado sana, hata wakina shankari na amita bachan hatuwakaribii.
Hongereni sana waturuki, mpo vizuri.
Bongo and all African movies bado sana, hata wakina shankari na amita bachan hatuwakaribii.
Hongereni sana waturuki, mpo vizuri.