niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Mimi hua najiuliza sitapi jibu, wakina cardo, wakin na don million wanatushindia wapi?. Bongo muvi ina nini?.Wabongo wengi walio kwenye hiyo tasnia ni watu wenye uwezo mdogo wa kiakili pia hawana exposure.
Ndio mana imebaki kuwa kichaka cha watafuta umaarufu hasa wanawake makahaba na vijana mario.
Ila ni tasnia nzuri sana kama ikipata watu sahihi.
#MaendeleoHayanaChama