Nilikuwa nacheki bongo movie kupitia Azam, ni fedheha sana

Nilikuwa nacheki bongo movie kupitia Azam, ni fedheha sana

Mwanaume kuangalia movie hasa hizi za azam zilizofanyiwa sound dubbing ni dalili za ushoga.

Kwahiyo wote wanaofuatilia tamthilia za azam wana dalili za ushoga!! Are you serious?

Mimi ni mfuatiliaji wa ottoman empire, movie za bongo au Nigerian movie hapana aise
 
Achia dada zako au mke wako kuangalia hayo makitu huwez kua serious na maisha as a man ukapata na muda wa kuangalia upumbavu huo waangalie house girls
 
Nilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam 😁 dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii historia ya Ottoman inatufundisha mambo mengi sana ambayo huyakuti katika movie zetu za kibongo wala Nigerian movies. Wanawake wamejisitiri, wanaume wapo kiume haswaa, na pia kabla ya jambo wanamtanguliza sana Mwenyezi Mungu mbele, aise kwa hili niseme tu hawa jamaa walibarikiwa sana (OTTOMAN EMPIRE)✅

Bongo and all African movies bado sana, hata wakina shankari na amita bachan hatuwakaribii.


Hongereni sana waturuki, mpo vizuri.
Hiyo tamthilia imechukua sura ya historia ya ufalme wa ottoman ambao tumetofautiana mno Mila na tamaduni, hivyo usitake tuwe kama wao
 
Nilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam 😁 dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii historia ya Ottoman inatufundisha mambo mengi sana ambayo huyakuti katika movie zetu za kibongo wala Nigerian movies. Wanawake wamejisitiri, wanaume wapo kiume haswaa, na pia kabla ya jambo wanamtanguliza sana Mwenyezi Mungu mbele, aise kwa hili niseme tu hawa jamaa walibarikiwa sana (OTTOMAN EMPIRE)✅

Bongo and all African movies bado sana, hata wakina shankari na amita bachan hatuwakaribii.


Hongereni sana waturuki, mpo vizuri.
Umeongea kwa unafiki mkuu ,elezea sababu zako tukuelewe
 
Kuna watu humu watakua wamejifunza kitu kupitia hii mada,, ukiangalia osman halafu ugeuke utazame bongo movies/Nigerian movie's, aise ni mbingu na ardhi. Ingawa kuna baadhi ya actors/actress wa kibongo wanajitahidi.
 
Hiyo tamthilia imechukua sura ya historia ya ufalme wa ottoman ambao tumetofautiana mno Mila na tamaduni, hivyo usitake tuwe kama wao

Ndio tuokote kwa osman na kisha tuyafanyie kazi, ushaona mwanamke amevaa kimini au kisuruali cha kubana au kuvaa mawigi na kujiachilia!!!
 
Ndio tuokote kwa osman na kisha tuyafanyie kazi, ushaona mwanamke amevaa kimini au kisuruali cha kubana au kuvaa mawigi na kujiachilia!!!
Mkuu maudhui ya tamthilia yaliwataka kuwa vile na pia kule uislam sana upo juu ni uhalisia wao hata yale maigizo ni uhalisia wa tawala zao zamani so usiwatoe ufahamu wabongo sana kwenye hilo hata wao kuna movie nyingine wanavaa sana hivo visuruali, wakosoe kwa ubunifu wa story pia bongo bajeti yao si sawa na hao, bongo tunafanya bora liende watu wapate pesa ya kula na uhakika kama atakuja muwekezaji akawa serious tutatoboa tu.
 
Back
Top Bottom