Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
- Thread starter
-
- #21
Hata sijui unaongea nini π kwahiyo waturuki/waarabu wana Mungu wao, na waafrika wana mungu wao mwingine? Au sijakuelewa labdaKosa ni kwamba unataka na sisi waafrika tumtangulize Mungu wao
Kuna watu wataomba picha na hap
Mwanaume kuangalia movie hasa hizi za azam zilizofanyiwa sound dubbing ni dalili za ushoga.
Hiyo tamthilia imechukua sura ya historia ya ufalme wa ottoman ambao tumetofautiana mno Mila na tamaduni, hivyo usitake tuwe kama waoNilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam π dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii historia ya Ottoman inatufundisha mambo mengi sana ambayo huyakuti katika movie zetu za kibongo wala Nigerian movies. Wanawake wamejisitiri, wanaume wapo kiume haswaa, na pia kabla ya jambo wanamtanguliza sana Mwenyezi Mungu mbele, aise kwa hili niseme tu hawa jamaa walibarikiwa sana (OTTOMAN EMPIRE)β
Bongo and all African movies bado sana, hata wakina shankari na amita bachan hatuwakaribii.
Hongereni sana waturuki, mpo vizuri.
Kosa la hii mada ni nini?
Umeongea kwa unafiki mkuu ,elezea sababu zako tukueleweNilikuwa nacheki bongo movie mchana wa leo kupitia azam π dah ni fedheha sana, ni aibu mno, mimi ni mfuatiliaji mzuri sana wa ERTUGRUL na kwa sasa OSMAN, kwakweli waturuki wapo mbali sana, hii historia ya Ottoman inatufundisha mambo mengi sana ambayo huyakuti katika movie zetu za kibongo wala Nigerian movies. Wanawake wamejisitiri, wanaume wapo kiume haswaa, na pia kabla ya jambo wanamtanguliza sana Mwenyezi Mungu mbele, aise kwa hili niseme tu hawa jamaa walibarikiwa sana (OTTOMAN EMPIRE)β
Bongo and all African movies bado sana, hata wakina shankari na amita bachan hatuwakaribii.
Hongereni sana waturuki, mpo vizuri.
Achana nae huyo dharau zimemjaa. Anajifanya zamtonga maji ya dafu kuoshea kidonda!So bongo movie wangekuwa wanajistiri kwako ingetosha sana?
Achia dada zako au mke wako kuangalia hayo makitu huwez kua serious na maisha as a man ukapata na muda wa kuangalia upumbavu huo waangalie house girls
So bongo movie wangekuwa wanajistiri kwako ingetosha sana?
Hii ni mada ya akili ndogo,
Ulitaka wanawake ws bongo movie wajistiri kivipi??
ππππ ulikuwa unaangalia Mama Kimbo?
Au mikojani
Hiyo tamthilia imechukua sura ya historia ya ufalme wa ottoman ambao tumetofautiana mno Mila na tamaduni, hivyo usitake tuwe kama wao
Movie Bongo mi uangalia movie za Vituko tu za kina Mkojana.Hao wengine ni hamna kitu.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mwanaume kuangalia movie hasa hizi za azam zilizofanyiwa sound dubbing ni dalili za ushoga.
Mkuu maudhui ya tamthilia yaliwataka kuwa vile na pia kule uislam sana upo juu ni uhalisia wao hata yale maigizo ni uhalisia wa tawala zao zamani so usiwatoe ufahamu wabongo sana kwenye hilo hata wao kuna movie nyingine wanavaa sana hivo visuruali, wakosoe kwa ubunifu wa story pia bongo bajeti yao si sawa na hao, bongo tunafanya bora liende watu wapate pesa ya kula na uhakika kama atakuja muwekezaji akawa serious tutatoboa tu.Ndio tuokote kwa osman na kisha tuyafanyie kazi, ushaona mwanamke amevaa kimini au kisuruali cha kubana au kuvaa mawigi na kujiachilia!!!