Nilikuwa nawatetea sana singo mama lakini kwa hili la huyu mama limenikata maini kabisa

Azikwe kiislamu lkn msiba usiwe nyumbani kwake
Hata ukiwa nyumbani kwake bado haiathiri chochote kwa mwanaume tena ndio itaonyesha ukomavu wake wa akili na upeo wa maisha sote tunapita vitu kama misiba sio vya kuleta kupishana kauli
 
Hata ukiwa nyumbani kwake bado haiathiri chochote kwa mwanaume tena ndio itaonyesha ukomavu wake wa akili na upeo wa maisha sote tunapita vitu kama misiba sio vya kuleta kupishana kauli
Sasa km mwanaume hataki iweje mwanamke akupangie cha kufanya yeye abebe maiti ya mwanae akazike kiislam na msiba uwekwe kwa huyo baba wa mtoto sio nyumbani kwa mumewe kwanza kuoa single mama ni ujinga kwani umekosa wanawake ambao hawana watoto mpk ukaoe single maza!!
 
Yaani nakuunga mkono hapo tu kwenye kutooa singo maza lakini haya mengine kama mwanamke kataka mwanae azikwe kiislamu na sio mtoto wako kwann usimpe nafasi akamaliza maziko kwani itapunguza nn kwenye nyumba yako
 
Yaani nakuunga mkono hapo tu kwenye kutooa singo maza lakini haya mengine kama mwanamke kataka mwanae azikwe kiislamu na sio mtoto wako kwann usimpe nafasi akamaliza maziko kwani itapunguza nn kwenye nyumba yako
Haipunguzi chochote ila km jamaa aliweza kulea mtoto toka ana miez 6 mpk hapo alipofikia huyo mama kwanini asingesema ww ni mkristo huyo mtoto ni muislam haitakiwi kumtunza leo hii kafa ndio anajua mtoto ni muislamu? Ningekua ni mm ningemwambia huyo mama mtt kua nenda kazike mwanao kiislam ila sitaki kukuona nyumbani kwangu tena wala msiba kua kwangu
 
Dah Wewe hapo umeona tatizo wapi mpaka unaanzisha Uzi? Mtoto sio wake hivyo mtoto anafuata dini ya babaake mzazi na sio mlezi. Kumbe shida sio mwanamke shida mwanaume huyo ambaye ameshwindwa waza kiuharisia... Au wewe ambaye uwenda haujaleta maelezo halisi. Ila kama maelezo ndo hayo Basi Hadi wewe Akili mgando
 
Wote ni wapumbavu kwanini wasiruhusu tu azikwe kwa imani yoyote wakati ni maiti!!!!
 
Umeolewa wewe na mwanao mkatunzwa miaka yote hyo na mkatoriki leo mnajifanya mmekuwa waislamu,kama mnataka kuzikana kiislamu nendeni kwenu huko hapa ni kwa mkatoriki
 
Akazikwe kwa mwanaume ambaye ni baba wa mtoto shida iko wapi sasa
 
Umeolewa wewe na mwanao mkatunzwa miaka yote hyo na mkatoriki leo mnajifanya mmekuwa waislamu,kama mnataka kuzikana kiislamu nendeni kwenu huko hapa ni kwa mkatoriki
Mtoto wake? Malezi hayaathiri dini halali ya mtoto... Kwa Akili hizi Acha wabunge watuone wajinga kwenye mikataba finyu
 
Dadeki hiyo ni nguvu ya pesa..
Jamaa sio baba wa mtoto ila anamamlaka juu ya mtoto asie wake, na mwamba hayupo jeshi la polisi linamsubiri aje atoe tamko alooo.

Mchaga anaporwa mtoto hivihivi aisee , ama kweli yani mwanao anaweza badilishwa hadi ubini kabisa.

Na wewe mleta uzi huyo singo maza ana kosa gani?? Mbona yeye ndio kaonewa sasa kwanini unamshutumu??
 
Waende wakafanyie ayo mazishi kwa baba yake muislamu.Watoke kwa uyo jamaa
 
Acha kumsemea Mungu. Eti hapokei roho iliyo...
Dini ni ujinga kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…