Nilikuwa nawatetea sana singo mama lakini kwa hili la huyu mama limenikata maini kabisa

Dogo janja hujayajua mapenzi yaani ww unawaza kama wale wakulima wa mtamdaoni kila kitu simple ingia field sasa mambo tofauti cha msingi mtangulize mungu unaweza weka bajeti nakujipa muda na bado usitoboe kwenye lengo lako
 
Hongera kwa andiko zuri hii....Tengenezea Uzi wake kabisa


Niku ulize utajuaje mwanamke bikra...au itatakiwa kuchovya chovya chovya kabla ya ndoa ili upate bikra, afu ukishapta ndo unaoa huyo huyo
 
Sidhani kama mtu atadai mtu azikwe kwa Imani tofauti na aliyokuzwa nayo.
Pengine mama mtu alikubali mtoto akuzwe kama mkatoliki ili kulinda maslahi, sasa anataka azikwe kiislam?
 
Kwahiyo mchizi aliwahi sentro mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siku hizi wanaume ndiyo hukimbilia polisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanawake wamechoka na undonya ndonya
 
Hongera kwa andiko zuri hii....Tengenezea Uzi wake kabisa


Niku ulize utajuaje mwanamke bikra...au itatakiwa kuchovya chovya chovya kabla ya ndoa ili upate bikra, afu ukishapta ndo unaoa huyo huyo
Atakwambia yeye na utajua maana bikra anajulikana tu kwa matendo na kauli zake. Lakini pia unaweza mfungua na umuoe huyo huyo.
 
Sidhani kama mtu atadai mtu azikwe kwa Imani tofauti na aliyokuzwa nayo.
Pengine mama mtu alikubali mtoto akuzwe kama mkatoliki ili kulinda maslahi, sasa anataka azikwe kiislam?
Hyo ni ngumu kukubalika ndo maana jamaa kakimbilia polisi
 
Reactions: Auz
Upo sahihi kabisa.
Ndio maana nasema na nitazidi kusema kwamba, matatizo mengi katika jamii yanasababishwa na wanawake.

Chunguza,utakuja kuuona ukweli.
 
Mwanaume ndiyo ana maamuzi yote. Kwanini asingeenda kuolewa na baba wa mtoto? Hili ni jambo la kujifunza, hutakiwi uoe single mom.
 
Mazishi yakafanyike huko kwa akina mwanamke.

Ni vema pia kuheshima maamuzi ya mwenye kaya.

Sasa hapo fikiria, marehemu anampambania azikwe kwa dini ya mumewe. Je, angekuwa hai mtoto? Ungemkataza kutowasiliana na babaye? Ungemkataza kukutana naye?
Ukute mtoto alishabatizwa au alikuwa kwenye harakati hizo.
 
Hovyo sana...
 
Tunawaambia mnatuona wajinga😅😅😅

Na huyo mwanaume mkatoliki alikuwa fala sana.

Unaoa mwanamke aliyezaa mtoto miezi sita kwa mwanaume mwingine? Huyu K si bado imelowa Mboo ya jamaa??
 
Baba yake sio Mtanzania ni Mwarabu ni Mchaga.

Unajua kwenye jamii ya watu weusi hapa Tanzania mfano Shinyanga, Mara, Kagera na Mpanda wakiona Mchaga wanamwita Mwarabu😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…