Nilikuwa sahihi kwa huyu kocha uchwara Pep Guardiola

Hii mbuzi ya wapi ? Cruyf alichanganya total football ya waholanzi wenzake.na mavitu mengine ndo akapata tik tak.

Hahhhhh

Hivi uliwahi kuitazama Barca ya Cruyf? au unaropokwa tu

Barcelona tik tak imechezwa na Pep, kabla ya hapo walikua wakicheza total football.
 
Hivi uliwahi kuitazama Barca ya Cruyf? au unaropokwa tu

Barcelona tik tak imechezwa na Pep, kabla ya hapo walikua wakicheza total football.
Hujui kitu kubali uambiwe usije chekwa bro hahahah
Pep hiyo tik tak aliunda lini?
Yeye aliikuta akaiboresha zaidi
 
Vipi kuhusu Zlatan? pia ni mweusi?
Hahahaha dah naona tunalumbana tu we mjamaa. Huchoki halafu. Ngoja nikifokee kwa kidhungu....the bottom line is Pep ni racist. Hao wazungu aliokosana nao kina Ibra ni bitter relationship tu ya mtu na mtu.
 
Mzee wa GEGEN pressing
 
Kwakuwa nimeacha kushabikia soka kama zamani, nitakuwa sina kumbukumbu sahihi.

Van Gal alikuwepo pale kuitengeneza Barca akiwa na Mourhinho, Rijkard nimemuona akicheza na kisha kuichukua timu kama kocha.

Mafanikio ya Pep ni kama yale ya Del Bosque kuiunganisha Spain kutwaa Euro na WC, aliita timu 2 zilizopikwa kwa muda mrefu, ikawa ushindi tu.

Kuhusu Messi kupewa namba 10 ndo kumemfanya kuwa star, fikiria wachezaji wangapi wamepewa namba kubwa na zikawashinda!

Pep kumkataa Dinho, utanikumbusha ni nani aliyetangulia kuifundisha Barca kati ya Pep na Rijkard? Ninachojua ni kuwa ugomvi wa Dinho na Rijkard ndio ulioua soka la Dinho.

Kuanzisha mfumo, nitamkumbuka Marcelo Lippi kwa kuanzisha 433, ukizungumzia soka safi uwanjani, Uholanzi, Brazil, Spain wamepiga kabumbu maridhawa tangu enzi na enzi, hata Sevilla ya Marco Sena imepiga kabumbu mujarabu.

Pep alikuwa anatembelea nyota za wengine na nguvu ya pesa ya usajili. Alipotoka Barca, akatulia akiangalia upepo na aende timu gani iliyojengwa vizuri, akaenda Bayern...halafu Man city.

Kwa kutengeneza timu na ku-handle majina makubwa kwenye timu pia hana uwezo huo.
 
Hahahaha dah naona tunalumbana tu we mjamaa. Huchoki halafu. Ngoja nikifokee kwa kidhungu....the bottom line is Pep ni racist. Hao wazungu aliokosana nao kina Ibra ni bitter relationship tu ya mtu na mtu.

wewe endelea kuumia nae, mwenzio anaendelea kula mafanikio na utajiri wake. Roho za kiafrika ni mbaya sana
 
wewe endelea kuumia nae, mwenzio anaendelea kula mafanikio na utajiri wake. Roho za kiafrika ni mbaya sana
Yeye muache aendelee kula mafanikio yake na ubaguzi wake na mimi naendelea kula mafanikio yangu kwa kiwango changu lkn maana hawezi akawa sawa na mimi. Kuna niliyompita na kuna aliyonipita pia.
Sema tu nikukumbushe kitu kimoja huenda hukijui. Kila mtu ni mbaguzi bwashee kwa kiwango chake. Tunamsema yeye kwa kua ni maarufu. Hivyo anatakiwa a behave kidogo especially mbele za watu.
Mimi na declare interest ni mbaguz kweli kweli lkn huwezi jua kwa kweli.
Nilichagua kushabikia Arsenal mpk leo sababu ilikua na wachezaji wengi weusi kipindi napata fahamu za mpira.
Napenda sana kuangalia channels za michezo kuanzia mpira, ngumi, UFC, tennis nk nk. Ila nikikuta anapigana mtu mweusi, nakua more interested nakaa hadi mwisho namshangilia mweusi. Wakiwa ngozi nyeupe tupu naweza nisipende sanaaa ila ntachagua tu wakumshangilia ili niwe na interest ya kukaa mpk mwisho.

Kila mtu ni mbaguzi shekhe awe wa kabila, rangi mpk mali. Maana wengine watu wenye mali wenzake ndio anawependa ila wa hali ya chini hata kuwapa mkono wa salamu wanaona kinyaa.

Sasa na conclude, huyo mbaguzi Pep yeye ni nani asiwe mbaguzi. Mbona unamtetea sana kwamba si mbaguz wakati waliosema wenyewe km yeye ni mbaguz wapo kabisa.
 
Kwa hoja yako hii hata Sir Alex Ferguson aliyeifundisha Man united kwa zaidi miaka 25 ni kocha mmbovu.


kwanini ?

Katika miaka 25 amechukua uefa champions league mara 2 tuu akiwa anafundisha moja ya timu 3 kubwa zaidi duniani wakati zidane kachukua mara 3 ndani ya miaka mitatu na wengineo kama kina Jose Mourinho wamechukua mara 2 ndania ya miaka 6, ancelloti mara 3 ndani ya miaka 10 n.k
 
Analysis yako imeangalia sana upande unaotaka wewe iende.

Conte kutawala Serie A si tu kwasababu yeye ni kocha bora...pia Inter na AC Milan ziliporomoka viwango ushahidi ni kwamba hata champions league hawakufanya vizuri tena wakati walikua wakifaanya vizuri huko nyuma..je sababu ya kutoanya vizuri UCL ni Conte pia?

Conte kuchukua Epl na Chelsea yenye Eden Hazard..Fabregas and the likes halafu unamtumia Victor Moses kusema kikosi kilikua na average players? Pliiiz! Si ni kikosi hichohicho Mourinho alichukulia ubingwa? Umetudanganya.

Hiyo Inter tunayoiona sa hiv imemkaribia Juve...hakuna asiyejua kama Juve msimu huu hakuna kitu..halafu usimuite Sanchez average player ili kusapoti uongo wako...Lukaku na Young wametoka Man U..club kubwa kuliko Inter they are average players tafuta jina jingine la kuwaita.

Kama Conte ni kocha wa average players mbona tangu kufika kwake Inter amekua akisajili sana? Hakukua na wachezaji pale..the averages na siyo kina Sanchez unaowavisha uavarage ili utetee unachokipenda...Conte ni kocha wa kawaida sana hajawahi kuitikisa dunia...Pep amewahi...Zidane amewahi..Ferguson kawahi..Mourinho..Anceloti pia.
 

Kumbe ni mshabiki wa Arsenal πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ dah nilikua najisumbua bure tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…