Nnyindojihadini
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 643
- 437
Pole mkuu watu wa jamii yenu huwa mnaelewa taratiiiiiiiiibu sanaaaaaaa na hata sasa yapo mengi mnooo bado utaendelea kusema si kweli ila ipo siku utakuja hapa jukwaan kusema unasikitika kugundua kuwa kitu fulani hukuwa unaamini ila sasa umeamini na umesikitika sana. Kwa taarifa yako hata Mkuu wa Gesh la Gwam hana ushawishi kwa walio chini yake na anadharaulika na wanamuita 2GB wakimaanisha hana capacity kwa position aliyo nayo!
Wale wanapekwa kulinda amani nchi ya Kibindankoi halafu wanarudishwa wafuMkuu mambo yanasikitisha sana haya, sijui hawa wale wanajeshi wa Guam wanajionaje?
UNAWEWESEKA?Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Hahahahah...ni kweli mkuuBritannica muongo sana, anatunga uongo mkubwa sana unaokaribiana kufanana na ukweli, ili kiukweli ana kipaji cha kuaminika, hapa karibu wote wameamini, akifungua kanisa lake, atapata sana waumini, Gwajima, Kakobe, Mzee wa Upako na Mwingira, watasubiri.
P
Kato balaa!Wewe Britannica wewe, Katto akikusikia, shauri yako.
P
Mkuu mambo yanasikitisha sana haya, sijui hawa wale wanajeshi wa Guam wanajionaje?
Udhaifu wa kikwete na uhayawani wa mkapa ndo umetuletea huu mkosi wa hili Hutu.Mlimwona Mange ni kichaa. Wapo waliopo ndani ya serikali hawafuhishwi kabisa na anayoyafanya Magufuli. Na wao kuongea wanaogopa ndio hao hao wanamtumia Mange yote yanayotendeka. Na mlipoambiwa Magufuli ni mrundi hamjaamini mpaka hiyo siku atakapotomkia kwao ndio utasema kumbe yule mwanadada alikuwa anasema ukweli. Yaani watanzania wote wamegwaya kwa mrundi yaani hata jeshi letu limetekwa nao wako kimya wanaacha Tanzania inaangamia kwa kumwogopa raia wa nchi nyingine afanye anavyotaka.
...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama
Kwa hiyo kazi ya kumlinda mfalme katikilo wameshindwa?Wanabangua Korosho
Kwani Guam kuna korosho?
Stupid licker of crumbsMleta maada unaishi enzi za ujima.
Acheni uchochezi na wivu, nchi yetu imepiga hatua sana mpaka wanajeshi wa nchi nyingine wanajikuta wanashindwa kujizuia mpaka wanaamua kuja kuomba ajira kwenye nchi yetu, hili ni jambo la kupigiwa mfano duniani kote. Hakuna nchi yoyote iliyoweza kuweka "vivutio vya wanajeshi" kama nchi yetu tukufu. Na hizi ni "juhudi" kubwa za raisi wetu mtukufu na sasa ni dhahiri shairi tunaenda kuishinda hii "vita ya kiuchumi".
Sidhani Kama protocol zinaruhusu raising alindwe na Raia au ulinzi binafsi achilia mbali wanajeshi toka nje ya nchi. Haiwezekani
"Teh teh.....
Hao watu wa hiyo nchi wasimlaumu mfalme wao, ametekwa, zaidi wafikirie namna ya kumkomboa"
Duh poleni sana,mpeni sumu muokoe taifaJambo hili la mtoa Mada lina 99% sahihi
Tupo kwenye mapito.
Endeleeni kutuombea TULIOKO HUKU
Ni kisiwa uchwara bado hakijawa kisiwa kamili.Hii Guam ni kisiwa nini mkuu..?
BWANA ASIPO ULINDA MJI WAULINDAO WANAFANYA KAZI BUREππππππππ Ata ulindwe na Malaika!!! Yupo Mungu YEHOVA Ata uwe na nguvu au mahela !!!YEYE ATASIKIA KILIO CHA WATU WAKE WA NCHI YA DANGANYIKA NA ATAKUJA WAOKOANimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Hujiamini hata kidogo....woga wako umasikini wako...Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Nimejaribu kukuelewa mkuu ila nadhani upeo wangu ni mdogo au mkubwa sana kuweza kuelewa ulichomaanisha. Zidumu fikra za mwenyekitiNakuhurumia sana maana hujui kitu ndani ya jeshi,....km hata askari private tu anamajibu tosha kati ya mabeyo na mwamunyange