Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,051
- 5,104
Hujaachaga kufanya biashara harabu ya tundu la uchafuNenda kwanza kahakikishe kama baba yako ndie ndio uje uandike upuuzi wako hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaachaga kufanya biashara harabu ya tundu la uchafuNenda kwanza kahakikishe kama baba yako ndie ndio uje uandike upuuzi wako hapa
Nimesikitika sana sana sana,
Inamaana ukilindwa na wanajeshi wa nchi tofauti hapo hekaluni ndo wanaopigana vita ya uchumi utawashinda?
Nilimpuuza Dada mmoja anaishi anapokaa Mr ticha wa profesa Jay, aliposema kuna mfalme wa Guam analindwa na wanajeshi wa kanchi ka pembeni yake, nilimbishia ni kadhani ni kwakuwa yuko mlengo wa kushoto,
Lakin jana nimeamini kabisa na nimeshangaa sana
Nimeamini so kila habari ni ya kupuuza hata kama ni ya kipuuzi
Mungu awabariki watu wa Guam
Wanabangua 'figo' kwa menoMkuu mambo yanasikitisha sana haya, sijui hawa wale wanajeshi wa Guam wanajionaje?
UnitagiEndelea kujiongopea, mimi nitakuletea hadi majina yao na kambi waliyotoka huko wapi siujui mnaita!!
Kumbe ni kawaida sana?
Duh! KumbeAjabu ipo wapi mbona mwalimi nyerere alikuwa analindwa na polisi wa North korea miaka ya 80 kipindi coup zilikuwa zinashamiri
wamgeukeMkuu mambo yanasikitisha sana haya, sijui hawa wale wanajeshi wa Guam wanajionaje?
Kwa hiyo sasa hivi coup zimeshamiri sio ?Ajabu ipo wapi mbona mwalimi nyerere alikuwa analindwa na polisi wa North korea miaka ya 80 kipindi coup zilikuwa zinashamiri
Mimi ni mlokole wa Kikatoliki kundi la wanamaombi na wana karismatiki, tunakunywa kila kinywaji kilichobarikiwa, Divai ilibarikiwa, John Mtembezi ni distillation ya dhabihu safi nyekundu, hivyo napata kama kawa.Kwani siku hizi Yohana Mtembezi hamfungamani naye tena mami?
Dada basi thibitisha vinginevyoMleta maada unaishi enzi za ujima.
Wanaoinajisi nchi ni wale wamepewa dhamana ya ulinzi wa nchi na wanabung'aa tu macho.Hili ni suala nyeti la kiusalama huyu bwana anainajisi nchi.
Kaka makala zako huwa zinasisimua ni ngumu ni wachache sana mmebaki humu Jf tunachokiomba sema ukweli usiwe upande wa wanaosifu na kuabudu iliwapewe Wilaya au unamuhofia Musiba kakaMkuu Kiongwe, sijaweka mikono nyuma popote, ila siku hizi nimekuwa mzalendo zaidi kwa kutanguliza mbele maslahi ya Taifa. Hili la kuhakikishiwa wilaya huku ni kama kunitukana fulani, please!.
P
Angalia kilaza mwingine huyu... hv unaona hilo haliwezekani kwa hali ya kisiasa iliyopo nchini kwako???...bado umeamini ujinga ambao kamwe hauwezekani,..nchii hii ni makini vyombo vya usalama visingekubali tz1 alindwe na hao vilaza wa Rwanda never
...nina imani kubwa na vyombo vyetu vya usalama