Bechede
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 872
- 2,422
Kilichoongelewa sio direct imelinganishwa ila usome uzi vizuri, haihitaji akili nyinyi kujua nini kinaongelewa.Mkuu,ni wapi mleta mada amelinganisha Barabara za US na Barabara za Tz?
naona wengi wanasema hivyo!
Mleta mada anaongelea ubovu wa barabara za USA, sasa huwezi kumsema mtu wakati kwako hakuko sawa.