Sera hawana!....sera tupo tayari kusikiliza
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wacha kuzuga! Mtaichangia hiyo SACOS hadi mwamba wenu aka ''mlevi wa konyagi'' aondoke.Ni kweli kasema "Simu zenu za mchina ?Maana walipoanza michango mimi niakenda kunywa maji.
Hawajaacha ile tabia yao ya kuchangisha mafuta ya helikopta? Khalafu huwa hawalete mrejesho. Zilipatikana ngapi, zilitumika vipi, Watanzania kuweni makini na hawa matapeli wa kisiasa. Wana wa changisha wafuasia wao baada ye wakati wanakula fedha walizo wachangisheni wanasema'kazi na bata' michango yenu ndivyo inavyo liwa hivyo kibata bata.
Bavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!
Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.
Je utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema??
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mbavu zangu jamani wengine tupo sebuleni khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeKinacho gomba hapa ni kutembeza bakuli - yaani ombaomba! Akakatabia kwa mtu huyu kamekuwa kama kansa - kila akipata nafasi anatoa mkono bbaba! bbaba! bbaba!
Daaah jamaa anabuku bee tu,halafu analeta maneno mbofu...ccm imejaa vijana wehu maisha yamewapiga balaaKwenda Zako Nani ana shida na kibuku mbili chako...mtuache chadema
Ukitaka kuona kama raia wameichoka CCM subiri baadaye !.. ndipo mtajua hamjui!. Msipende kujipa matumaini buree tu , wapinzani bado hamjajipanga kimkakati na uchaguzi huu , na huyo roporopo wenu!.Safari hii sidhani kama tutafika Oktoba 28, patachimbika mapema sana. CCM wamezidi uduwanzi wakati ukweli raia wamesha wachoka wala hawataki kuwasikia + hawatendi haki.
Vyombo vya intelijensia vinapaswa kusimamia "WELEDI" wa kazi zao, sio kutumika tu. Taifa linaweza likaelekea pabaya sana ndani ya muda mfupi.
Twende na Lissu 2020Leo kama kawaida niliwahi mapema sana kwenye mkutano kusikiliza sera za mgombea wetu.
Mengi ameeleza vizuri sana japo kuna ambayo ameyarudia rudia sana.
Kingine nilichopenda ni muda wa mgombea umekuwa mrefu sana kapata karibu saa nzima tofauti na 2015 kipindi cha lowassa ambae alikuwa anaongea dakika 3 tu.
Ila katika yote kubwa ni hili la kutaka kuchangishwa fedha kilazima/kinguvu. Mgombea wetu anatuambia "haya toeni hizo simu zenu za mchina, bonyeza *150*00# kisha chagua namba 4 kisha......"
Baadhi tuliokuwa hapo tukajiuliza kajuaje tuna pesa kwenye simu? Kwa kuzuga tukamjibu hakuna network, akasikia.
HATUJAPENDA HII, WEKENI NAMBA AU ACCOUNT KWA MUDA MTU ATAOTAKA KUCHANGA ATAWACHANGIA.
Daaah jamaa anabuku bee tu,halafu analeta maneno mbofu...ccm imejaa vijana wehu maisha yamewapiga balaa
Twende na Lissu 2020