Sorry huo upuuzi wako ishia hapo hapo!Hii ni kitu kilochonitokea Mimi Binafsi wakati nikiwa naishi Wilaya ya Mlele (Inyonga) Mkoa wa Katavi. Sitataja majina halisi ya watu waliohusika na nitajitahidi kuficha baadhi ya vitu ili kuficha uhalisia wangu.
Kwa majina naitwa Kinengunengu, nikiwa nimegraduate SUA pale na kupata kazi Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Nilinunua kiwanja na kujenga nyumba yangu. Nilipomaliza kujenga, nikawa na mpango wa kujenga fence kuzunguka nyumba niliyojenga.
Nilianza ujenzi wa fence ya tofali ya kuchoma. Wakati wa ujenzi wa fence, walikuja vijana fulani na wakaniambia wao wanafyetua tofali za kuchoma na wanazo wanauza.
Nikanunua tofali zao kisha nikawapa tender ya kunichomea tofali 20,000 za kuchoma. Wakaanza kazi ya kunichomea.
Kutokana na kutingwa na kazi na kipindi hiko sikuwa nimeoa, nilimpa kijana mmoja kati ya wale waliokuwa wananifyetulia tofali chumba pale kwangu kwani sikuwa nimehamia nilitaka mpaka ukuta uishe.
Nilimpa chumba ili alinde nyumba pia awe anawasimamia wenzake waliokiwa wanafyetua tofali.
Jamaa walifyetua tofali na nilimaliza kujenga ukuta ila sikuhamia mapema na sikuwa na hamu ya kuhamia pale. Kijana aliyekuwa anakaa pale akaleta mke wake.
Nikawa namhudumia mimi yeye na mkewe. Niliwanunulia godoro, vyombo vidogo vidogo vya ndani pia nilikuwa nawanunulia chakula pia kuwahudumia pindi mwanamke au jamaa akiumwa. Nilimfanyia wema yule kijana pamoja na mke wake.
Hamu ya mimi kuhamia kwangu ikaisha na nikaanza kupachukia pale kwangu bila sababu yoyote.
Hali ya kupachukia na kutokuwa na hamu na kwangu iliendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja na jamaa walikuwa wananishangaa kwanini sihamii kwangu.
Baadaye mwanamke niliyekuwa na mahusia o naye akaniambia ana ujauzito na kihsa alikuja jifungua. Baada ya kujifungua, nikamueleza Baba yangu na alikuja then nikaenda kujitambulisha ukweni ikiwemo kutoa mali na kumuoa mke wangu rasmi.
Baada ya kuoa na nikiwa na mke na mtoto, mke akasema tuhamie kwetu rasmi. Nikahamia kwangu huku yule kijana akiwemo mule ila walishindwana na mkewe mke akaondoka. Nikawa namlisha, namvalisha na kumtunza. Nikakaa naye miezi sita huku huduma zote za msingi nafanya mimi kama Baba mwenye nyumba. Jamaa akanogewa kwani alikuwa hafanyi shughuli zake za vibarua vya mtaani kwani alikuwa na uhakika wa kula, kuvaa na kuoga. Alipokuwa anahitaji vocha nilikuwa nampa.
Siku moja nimetoka kazini, namsikia mke wangu ananiambia, fulani kasema "anataka akupeleke kwa mganga ukaoshwe nyota ili upendwe na kupandishwa cheo kazini". Nikamwambia toka nizaliwe sijawahi kwenda kwa Mganga mimi ni mkristo na ninamuamini Mungu aliyenilinda toka nikiwa mdogo, akanisimamia masomo hadi chuo kikuu na kunipatia kazi kwenye hii kampuni.
Sina chale wala sijawahi kwenda kwa Mganga kwa hiyo akirudi mwambie sitaki huo ujinga wake.
Hilo likapita, siku moja usiku kama saa 7 hivi nikiwa nimelala nikasikia harufu ya udi/uvumba ule wa kupandishia mashetani. Nikaamka na kumuuliza, unafanya nini usiku huu nyumbani kwangu? Kwanini kuna harufu ya udi/uvumba usiku huu? Akaniambia, anazindika mizimu!!!!!!
Itaendelea.
We utakuwa mchawi unaficha Jamaa asisimulie mambo yenuSorry huo upuuzi wako ishia hapo hapo!
Freeman! Huyo jamaa namjua ni mwongo sana hata ofisini kwake wanalitambua na ndio maana hata cheo hapandishwi!We utakuwa mchawi unaficha Jamaa asisimulie mambo yenu
MkuuSehemu ya tatu........
Hali ile iliendelea hadi mwezi wa 10. Nikawa mtu wa hofu, wasiwasi, nahisi kifo muda wote, nikawa naogopa watu, nimekonda sina amani rafiki kazini wakaniambia nina stress na muda wowote nakufa. Hospitali wakanishauri nitafute digital machine ya kupima pressure niwe najipima pia nikanunua kale kakifaa cha kujipima sukari. Nikaenda tena Hospitali moja kule Mbeya na nyingine Arusha wakaniambia nina "Panic attach" kwani kuna kipindi nilikuwa nashtuka na Moyo unapiga kwa nguvu na kwa mshtuko mkubwa. Hii kitu ilikuwa iniletee stroke na kupalaryze.
Kuna ndugu yangu mmoja ni mjanja mjanja wa masuala ya kijadi kule Morogoro akazunguka kwa wataalamu wakamwambie mdogo wenu katupiwa jini la mauti. Akaniambia niende Moro ili walishughulikie. Nikagoma kwani namuamini Mungu.
Mzee wangu akaniita niende naye kule Machame, nikaenda na akamtuma Baba mdogo aende kwa mzee mmoja wa mila wanamuita "muonaji" kule kijijini Kyeeri akawaambia huyo mtoto ametupiwa "majini ya Mauti na magonjwa, lengo la aliyemtumia ni kwamba apalaryze na asiende kazini awe amelala kitandani na kisha afe" kipindi hiko cha miezi 2 sikuwa naenda kazini kwa kuogopa watu kunisema, sikuwa na uwezo wa kuona vizuri, nilikuwa na hofu kuu ya mauti pia miguu ilikuwa inaniwaka moto hatarii.
Mbona unanitukana bila sababu mzee. Jitahidi kuheshimu watu basi bwana mkubwa.lazima ITAENDELEA kukutoa marinda, mtoto wa kiume umevaa shanga za dada yako unatuletea habari nusunusu, ITAENDELA ndio upuuzi gani
Achane naye huyo unavuta bangi mbichi au unakunywa kabisa.pole sana ndugu mungu ukutie nguvuMbona unanitukana bila sababu mzee. Jitahidi kuheshimu watu basi bwana mkubwa.
Kwanini uliamua kukimbia Mkuu WAKATI ushindi uliupata!!?SEHEMU YA TANO:
Wakati maumivu na mateso yanaendelea na hata nilipokuwa naenda Hospitali pamoja na wao kunipa Dawa kwa ajili ya Ugonjwa wa sukari na pressure, sikuwahi kuzitumia hizo dawa kwani nafsi yangu ilikuwa inaniambia huo sio ugonjwa wa kibinadamu. Mama yangu alinieleza kuwa mwanangu huo sio ugonjwa wa kawaida ni Mapepo hayo. Muangalie Mungu.
Kipindi chote hiko na maumivu yote, kukataliwa na kusemwa vibaya, kukonda n.k hakuna Dr aliyenithibitishia kuwa nina either pressure au sukari. Nikaamua maamuzi ya kumtafuta Mungu.
Kulikuwa na kanisa moja la kilokole lililokuwa limejengwa kwa miti na juu limeezekwa kwa nyasi jirani na hapo kwangu. Huyo Mchungaji alikuwa ni yeye na mkewe na watoto tu na kimsingi nilikuwa namdharau na pamoja nilikulia kwenye familia ya wazee wa Kanisa ila nilikuwa napinga uwepo wa Mungu. Nikaona kwanini niteseke wakati nimekulia kwa Baba na Mama ambao ni wazee wa Kanisa. Nimekulia na kulelewa katika maadili ya Kikristo na nakumbuka Mwaka 1998 Bwana aliniambia na nilimuona waziwazi katika Maono ya usiku kuwa nitamtumikia. Nikasema, sifi nitaishi ili nitangaze matendo makuu ya Bwana. Nikachukua hatua na kwenda Kanisani kwa yule Mchungaji.
Hapo ndipo maisha yangu yalibadilika, nikaokoka na kumkabidhi Yesu Maisha yangu na tola mwezi huo wa kumi 201.... imebaki kuwa historia. Vile vifaa nikavitoa msaada hospitali moja huku nilipo sasa japo changamoto hiyo ilinifanya nikimbie kutoka kule na pia nilipoteza nyumba yangu ambayo nilikuja uiza kwa hasara, mashamba ekari 50 ambazo wasukuma waliofukuzwa kwenye maeneo ya hifadhi wakati wa Operation tokomeza ujangili walizivamia na viwanja 6 (sita) nilivyokuwa nimenunua niliviacha na kukimbia japo navyo nilikuja kuuza kwa hasara.
Sasa nina amani na kumtukuza Mungu japo nilipoteza vingi vya kimwili ila ninauzima na nimepata vingi vya Kiroho ikiwemo kumjua Mungu wa kweli yaani Yesu Kristo.
Asanteni wote na tumefikia MwishoView attachment 2633258
Mimi Siwezi Kufanya Ujinga km huoHii tabia niliwahi isikia,unamuachia mtu alinde nyumba matokeo yake unapigwa kipapai unaisahau.
KINENGUNENGU!!!! mimi naona wewe ndio ulimloga mtu akapata KISUKARI,manake jina lako lenyewe limekaa kichawichawi!!Hii ni kitu kilochonitokea Mimi Binafsi wakati nikiwa naishi Wilaya ya Mlele (Inyonga) Mkoa wa Katavi. Sitataja majina halisi ya watu waliohusika na nitajitahidi kuficha baadhi ya vitu ili kuficha uhalisia wangu.
Kwa majina naitwa Kinengunengu, nikiwa nimegraduate SUA pale na kupata kazi Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Nilinunua kiwanja na kujenga nyumba yangu. Nilipomaliza kujenga, nikawa na mpango wa kujenga fence kuzunguka nyumba niliyojenga.
Nilianza ujenzi wa fence ya tofali ya kuchoma. Wakati wa ujenzi wa fence, walikuja vijana fulani na wakaniambia wao wanafyetua tofali za kuchoma na wanazo wanauza.
Nikanunua tofali zao kisha nikawapa tender ya kunichomea tofali 20,000 za kuchoma. Wakaanza kazi ya kunichomea.
Kutokana na kutingwa na kazi na kipindi hiko sikuwa nimeoa, nilimpa kijana mmoja kati ya wale waliokuwa wananifyetulia tofali chumba pale kwangu kwani sikuwa nimehamia nilitaka mpaka ukuta uishe.
Nilimpa chumba ili alinde nyumba pia awe anawasimamia wenzake waliokiwa wanafyetua tofali.
Jamaa walifyetua tofali na nilimaliza kujenga ukuta ila sikuhamia mapema na sikuwa na hamu ya kuhamia pale. Kijana aliyekuwa anakaa pale akaleta mke wake.
Nikawa namhudumia mimi yeye na mkewe. Niliwanunulia godoro, vyombo vidogo vidogo vya ndani pia nilikuwa nawanunulia chakula pia kuwahudumia pindi mwanamke au jamaa akiumwa. Nilimfanyia wema yule kijana pamoja na mke wake.
Hamu ya mimi kuhamia kwangu ikaisha na nikaanza kupachukia pale kwangu bila sababu yoyote.
Hali ya kupachukia na kutokuwa na hamu na kwangu iliendelea kwa zaidi ya mwaka mmoja na jamaa walikuwa wananishangaa kwanini sihamii kwangu.
Baadaye mwanamke niliyekuwa na mahusia o naye akaniambia ana ujauzito na kihsa alikuja jifungua. Baada ya kujifungua, nikamueleza Baba yangu na alikuja then nikaenda kujitambulisha ukweni ikiwemo kutoa mali na kumuoa mke wangu rasmi.
Baada ya kuoa na nikiwa na mke na mtoto, mke akasema tuhamie kwetu rasmi. Nikahamia kwangu huku yule kijana akiwemo mule ila walishindwana na mkewe mke akaondoka. Nikawa namlisha, namvalisha na kumtunza. Nikakaa naye miezi sita huku huduma zote za msingi nafanya mimi kama Baba mwenye nyumba. Jamaa akanogewa kwani alikuwa hafanyi shughuli zake za vibarua vya mtaani kwani alikuwa na uhakika wa kula, kuvaa na kuoga. Alipokuwa anahitaji vocha nilikuwa nampa.
Siku moja nimetoka kazini, namsikia mke wangu ananiambia, fulani kasema "anataka akupeleke kwa mganga ukaoshwe nyota ili upendwe na kupandishwa cheo kazini". Nikamwambia toka nizaliwe sijawahi kwenda kwa Mganga mimi ni mkristo na ninamuamini Mungu aliyenilinda toka nikiwa mdogo, akanisimamia masomo hadi chuo kikuu na kunipatia kazi kwenye hii kampuni.
Sina chale wala sijawahi kwenda kwa Mganga kwa hiyo akirudi mwambie sitaki huo ujinga wake.
Hilo likapita, siku moja usiku kama saa 7 hivi nikiwa nimelala nikasikia harufu ya udi/uvumba ule wa kupandishia mashetani. Nikaamka na kumuuliza, unafanya nini usiku huu nyumbani kwangu? Kwanini kuna harufu ya udi/uvumba usiku huu? Akaniambia, anazindika mizimu!!!!!!
Itaendelea.
Ubarikiwe sana kwa ushuhuda huu mzuri.SEHEMU YA TANO:
Wakati maumivu na mateso yanaendelea na hata nilipokuwa naenda Hospitali pamoja na wao kunipa Dawa kwa ajili ya Ugonjwa wa sukari na pressure, sikuwahi kuzitumia hizo dawa kwani nafsi yangu ilikuwa inaniambia huo sio ugonjwa wa kibinadamu. Mama yangu alinieleza kuwa mwanangu huo sio ugonjwa wa kawaida ni Mapepo hayo. Muangalie Mungu.
Kipindi chote hiko na maumivu yote, kukataliwa na kusemwa vibaya, kukonda n.k hakuna Dr aliyenithibitishia kuwa nina either pressure au sukari. Nikaamua maamuzi ya kumtafuta Mungu.
Kulikuwa na kanisa moja la kilokole lililokuwa limejengwa kwa miti na juu limeezekwa kwa nyasi jirani na hapo kwangu. Huyo Mchungaji alikuwa ni yeye na mkewe na watoto tu na kimsingi nilikuwa namdharau na pamoja nilikulia kwenye familia ya wazee wa Kanisa ila nilikuwa napinga uwepo wa Mungu. Nikaona kwanini niteseke wakati nimekulia kwa Baba na Mama ambao ni wazee wa Kanisa. Nimekulia na kulelewa katika maadili ya Kikristo na nakumbuka Mwaka 1998 Bwana aliniambia na nilimuona waziwazi katika Maono ya usiku kuwa nitamtumikia. Nikasema, sifi nitaishi ili nitangaze matendo makuu ya Bwana. Nikachukua hatua na kwenda Kanisani kwa yule Mchungaji.
Hapo ndipo maisha yangu yalibadilika, nikaokoka na kumkabidhi Yesu Maisha yangu na tola mwezi huo wa kumi 201.... imebaki kuwa historia. Vile vifaa nikavitoa msaada hospitali moja huku nilipo sasa japo changamoto hiyo ilinifanya nikimbie kutoka kule na pia nilipoteza nyumba yangu ambayo nilikuja uiza kwa hasara, mashamba ekari 50 ambazo wasukuma waliofukuzwa kwenye maeneo ya hifadhi wakati wa Operation tokomeza ujangili walizivamia na viwanja 6 (sita) nilivyokuwa nimenunua niliviacha na kukimbia japo navyo nilikuja kuuza kwa hasara.
Sasa nina amani na kumtukuza Mungu japo nilipoteza vingi vya kimwili ila ninauzima na nimepata vingi vya Kiroho ikiwemo kumjua Mungu wa kweli yaani Yesu Kristo.
Asanteni wote na tumefikia MwishoView attachment 2633258
Heri umemaliza uongo wakoSEHEMU YA TANO:
Wakati maumivu na mateso yanaendelea na hata nilipokuwa naenda Hospitali pamoja na wao kunipa Dawa kwa ajili ya Ugonjwa wa sukari na pressure, sikuwahi kuzitumia hizo dawa kwani nafsi yangu ilikuwa inaniambia huo sio ugonjwa wa kibinadamu. Mama yangu alinieleza kuwa mwanangu huo sio ugonjwa wa kawaida ni Mapepo hayo. Muangalie Mungu.
Kipindi chote hiko na maumivu yote, kukataliwa na kusemwa vibaya, kukonda n.k hakuna Dr aliyenithibitishia kuwa nina either pressure au sukari. Nikaamua maamuzi ya kumtafuta Mungu.
Kulikuwa na kanisa moja la kilokole lililokuwa limejengwa kwa miti na juu limeezekwa kwa nyasi jirani na hapo kwangu. Huyo Mchungaji alikuwa ni yeye na mkewe na watoto tu na kimsingi nilikuwa namdharau na pamoja nilikulia kwenye familia ya wazee wa Kanisa ila nilikuwa napinga uwepo wa Mungu. Nikaona kwanini niteseke wakati nimekulia kwa Baba na Mama ambao ni wazee wa Kanisa. Nimekulia na kulelewa katika maadili ya Kikristo na nakumbuka Mwaka 1998 Bwana aliniambia na nilimuona waziwazi katika Maono ya usiku kuwa nitamtumikia. Nikasema, sifi nitaishi ili nitangaze matendo makuu ya Bwana. Nikachukua hatua na kwenda Kanisani kwa yule Mchungaji.
Hapo ndipo maisha yangu yalibadilika, nikaokoka na kumkabidhi Yesu Maisha yangu na tola mwezi huo wa kumi 201.... imebaki kuwa historia. Vile vifaa nikavitoa msaada hospitali moja huku nilipo sasa japo changamoto hiyo ilinifanya nikimbie kutoka kule na pia nilipoteza nyumba yangu ambayo nilikuja uiza kwa hasara, mashamba ekari 50 ambazo wasukuma waliofukuzwa kwenye maeneo ya hifadhi wakati wa Operation tokomeza ujangili walizivamia na viwanja 6 (sita) nilivyokuwa nimenunua niliviacha na kukimbia japo navyo nilikuja kuuza kwa hasara.
Sasa nina amani na kumtukuza Mungu japo nilipoteza vingi vya kimwili ila ninauzima na nimepata vingi vya Kiroho ikiwemo kumjua Mungu wa kweli yaani Yesu Kristo.
Asanteni wote na tumefikia MwishoView attachment 2633258