Nililogwa ili nife kwa kisukari na pressure

Mkristo unarogwaje Sasa na wewe unakubali
Nimekulia Lutheran wazee wangu wakiwa wazee wa Kanisa. Ujana ukanitenga na Mungu na nilikuwa napinga uwepo wa Mungu kama visela mavi vya JF vinavyofanya. Nilikiwa mzinzi wa kupindukia na hivyo kumpa uhalali Ibilisi kunishughulikia. Namshukuru Mungu pamoja na yote, neema ilikuwa kibwa kwangu bro na ndio salama yangu hiyo.
 
Wanawake Wana macho ya rohoni tuwe tunawasikiliza,Mimi niliambiwa nisinunue shamba nikanunua kwa Siri nikapigwa na kampuni ya kuuza viwanja
 
Nilishaachaga kutendea wema watu kiasi hiko zaman sana, usichokijua tu shida nyingi na mateso mengi tunayopitia huletwa na watu wa karibu yetu sana na tunaowasaidia. Achana na huruma za kijinga
Ni sawa sister na ni kweli dunia inatufundisha ukatili na sikuwahi kujeruhika Moyo kama nilivyojeruhiwa na huyo jamaa ila hatutakiwi kuacha kutenda mema kwani ni agizo na principle za Kimungu. Yatupasa tusizimie mioyo kwa tunayofanyiwa na wanadamu, tuangalie Mungu anasemaje.
 
Mungu Huwa ana njia nyingi za kumrejesha mtu kwake
 
Ukiwa na kiwanja piga chote ukuta andika namba za simu pembeni Kama ni chumba pangisha alipe kodi Kama mpangaj haya ya kuweka sijui mlinzi aisee utarogwa uisahau nyumba mswahili Sio mtu
 
Mtafute mwambie Sasa unakufa wewe si ulishindwa kuniua
 


Kwa Yesu kila goti litapigwa
 
Hongeraa Kwa kupona
 
Ila huko ulikokuwa ni wachawi sana, Kuna dada alitegwa yaani ukitaka kumla papuchi huioni, nimeona live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…