P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
Cc lucas hebel de mwashambwa chawa mfawidhinimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.
ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.
lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti.
nampenda sana _ephen, ila kutokana na kuona kila mtu anampenda nabaki katika utata,
je ni sahihi kuendelea kumpenda _ephen labda ikitokea awe kabisa mke nimuoe kabisa ? au kwa situation hii au nitapata tatizo la afya ya akili ?.
maana nimeona watu wengine wanasema wanampenda au wanatania tuu ?, mimi nipo serious sana.
nimeumia sana baada ya kujua haya😃😃😃😃
Kati ya wote sijaona aliyemwambia aweke account number..nimetumia sana baada ya kujua haya
Unaweza Kuta ni mtu mzima kinoma aliyeandika huu Uzi.Watoto wa 2000 mna shida sana, fanyeni mambo ya msingi kenge nyie!
Vijana wamechanganyikiwa 😅Ukutw hata sura humjui ila umependa ID au avator yake vijana kuna mda mnakosa kazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hauko siriasi kuliko mimi, mimi nimemuandalia mbuzi wa posa, mbuzi wenyewe wale wanaotaga mapacha. Nakuomba kwa heshima ya JF nipishe.nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.
ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.
lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti.
nampenda sana _ephen, ila kutokana na kuona kila mtu anampenda nabaki katika utata,
je ni sahihi kuendelea kumpenda _ephen labda ikitokea awe kabisa mke nimuoe kabisa ? au kwa situation hii au nitapata tatizo la afya ya akili ?.
maana nimeona watu wengine wanasema wanampenda au wanatania tuu ?, mimi nipo serious sana.
Ukute anayeliliwa ni bonge la kijeba, au ni yeye amejiandikia JF ina siri sanaVijana wamechanganyikiwa 😅