Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Watoto wa 2000 mna shida sana, fanyeni mambo ya msingi kenge nyie!
halafu hizi threads za kuzungumzia members wa JF zimezidi sana sikuhizi humu nadhani moderators wanapaswa kufanya kitu 😆
 
Haya mambo ya kulilia mtandaoni, Mdude chadema alitegwa na bonge la pisi hata kuchomoa unashindwa kumbe imetumwa na sirikali
 
nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.

ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.

lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti.

nampenda sana _ephen, ila kutokana na kuona kila mtu anampenda nabaki katika utata,

je ni sahihi kuendelea kumpenda _ephen labda ikitokea awe kabisa mke nimuoe kabisa ? au kwa situation hii au nitapata tatizo la afya ya akili ?.

maana nimeona watu wengine wanasema wanampenda au wanatania tuu ?, mimi nipo serious sana.
😅😅😅
 
Hapana, huyu anayeandika haya yote ni member mmoja hivi. ID yake mkongwe inaanza na herufi P.

Sema ni utoto tu ndio unamsumbua.
popoma, ila JF kubwa na inachekesha mpwayungu alaikuwa anaanzisha uzi kwa ID nyingine then anajitukana kwa ID nyingine
 
nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.

ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.

lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti.

nampenda sana _ephen, ila kutokana na kuona kila mtu anampenda nabaki katika utata,

je ni sahihi kuendelea kumpenda _ephen labda ikitokea awe kabisa mke nimuoe kabisa ? au kwa situation hii au nitapata tatizo la afya ya akili ?.

maana nimeona watu wengine wanasema wanampenda au wanatania tuu ?, mimi nipo serious sana.
Kama unampenda kweli mnunulie benzi,kajitambulushe kwao,lipa mahari oa huwezi,ama hauko tayari basi hauko serious,swali la kizushi,ulishawahi kumwona unayesema ephen wako🤔
 
halafu hizi threads za kuzungumzia members wa JF zimezidi sana sikuhizi humu nadhani moderators wanapaswa kufanya kitu 😆
naona labda watu wanazidi kupendana zaidi lakini pia sio vibaya sana
 
nimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.

ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.

lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti.

nampenda sana _ephen, ila kutokana na kuona kila mtu anampenda nabaki katika utata,

je ni sahihi kuendelea kumpenda _ephen labda ikitokea awe kabisa mke nimuoe kabisa ? au kwa situation hii au nitapata tatizo la afya ya akili ?.

maana nimeona watu wengine wanasema wanampenda au wanatania tuu ?, mimi nipo serious sana.
kwani huyo ephen_ ni nani maan so kwa kupendwa huko???
 
Back
Top Bottom