Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Dalalimkuu hizo namba utaniuzia tsh ngapi ?
au ni mimi nina mun over estimate na wewe unagawa namba zake tuu kawaida ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dalalimkuu hizo namba utaniuzia tsh ngapi ?
au ni mimi nina mun over estimate na wewe unagawa namba zake tuu kawaida ?
sawa ndo nipo katika plan B baada ya juhudi za kila mara kugonga mwamba 😁😀😀😀😀tafuta ushindi kwanza
Haha AsanteMwenye hiyo ID hayuko hivyo we utakuwa mgeni humu ni ka upepo tu na unaweza kuta muanzisha hizo mada ni mtu mmoja Fala Fala flani hivi, hata pm ya muhusika haijui inafananaje! Anyway nimekujibu hivyo sababu nakuonaga mtu kumbe nawe poyoyo tu kuanzia leo nakuvua vyeo
Nyongeza tu hakuna kitu kinatukera km kuanzishiwa mada za kipuuzi km hiziHaha Asante
ukipitia kwa dalali ni cost sana utakuta nae ni anamkubali sana tuu,Dalali
Huwa inafanya mnajisikiaje???Nyongeza tu hakuna kitu kinatukera km kuanzishiwa mada za kipuuzi km hizi
Kukosewa adabuHuwa inafanya mnajisikiaje???
Njia nzuri itakayo fanya uhisi una heshimiwa ni ipi??Kukosewa adabu
Pm zipo waende hukoNjia nzuri itakayo fanya uhisi una heshimiwa ni ipi??
upendo ni complex sana it's more biological, chemical..., physicalKwahiyo unampendaje mtu hata hujawahi kumuona, hata sauti yake tu huijui. Tabia zake huzijui.
Ajabu Sana.
Pole .... Anampenda makondanimekua nikimpenda sana @_ephen sijui ndo nimekosea handle yake ?.
ila nimempenda sana... sana, siwezi kuelezea ni jinsi gani.
lakini pia nimekuja kugundua watu wengi pia wanampenda huyu Binti.
nampenda sana _ephen, ila kutokana na kuona kila mtu anampenda nabaki katika utata,
je ni sahihi kuendelea kumpenda _ephen labda ikitokea awe kabisa mke nimuoe kabisa ? au kwa situation hii au nitapata tatizo la afya ya akili ?.
maana nimeona watu wengine wanasema wanampenda au wanatania tuu ?, mimi nipo serious sana.
Hmnajinsiukipitia kwa dalali ni cost sana utakuta nae ni anamkubali sana tuu,
lakini ikikosekana namna nyingine inabidi turudi kwa dalali mwenye namba hamna namna.
Hakuna cha upendo ni biological sijui chemical wala nini.upendo ni complex sana it's more biological, chemical..., physical
baadae ndo social status tabia zake kumuona na sauti yake ina matter
n.b najua ephen_ nae ananikubali lakini anaogopa kuniambia.
kunatofauti Kati ya tamaa na upendo ila kwa @ephen_mimi nampendaHakuna cha upendo ni biological sijui chemical wala nini.
Ni nyege tu hizo Chief.