Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

siku nyingine inabidi umjue kwanza ki saikilojia mkuu. 👍🏾
M nakuogopa huku 2012 niliona jina la kike nkatongoza nkarusha na anauli njoo sinza alikuwa mstaatabu kakayule akaja kupigaa anapoke me wee ikabidi tujuane tu hamna jinsi.
 
IMG_7865.png
 
Nipe mbinu mkuu,Kuna "Binti" namuelewa sana,ni rafiki yangu sijui naanzaje
Mfollow, fuatilia post zake hata kama si zote like na kumjibu in a positive way km kumuunga mkono, nenda pm mjulie hali mara moja kwa siku inatosha, tuma miamala ya lunch au dinner sio kila siku ila kwa weekend itapendeza, hakikisha anakupa namba yake mkifikia hapo utakomaa sasa, usinisahau soda
 
Mfollow, fuatilia post zake hata kama si zote like na kumjibu in a positive way km kumuunga mkono, nenda pm mjulie hali mara moja kwa siku inatosha, tuma miamala ya lunch au dinner sio kila siku ila kwa weekend itapendeza, hakikisha anakupa namba yake mkifikia hapo utakomaa sasa, usinisahau soda
Hahaha niache kwanza
 
Mfollow, fuatilia post zake hata kama si zote like na kumjibu in a positive way km kumuunga mkono, nenda pm mjulie hali mara moja kwa siku inatosha, tuma miamala ya lunch au dinner sio kila siku ila kwa weekend itapendeza, hakikisha anakupa namba yake mkifikia hapo utakomaa sasa, usinisahau soda
miamala ilikua imetulia tuu

mara imetajwa hapa 📌
 
Yani unaanzisha mada ila muamala huwezi eheeeeee bora ukalale ukue
nilikua silijui hili

ila kuna motivation nilisikiliza iliseman hivi...

"hela sio sababu ya kufanya mpendane"

hata baraka na ruby walikubliana "mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanpungua"
 
nilikua silijui hili

ila kuna motivation nilisikiliza iliseman hivi...

"hela sio sababu ya kufanya mpendane"

hata baraka na ruby walikubliana "mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanpungua"
Niachie mpenz wngu ephen_
 
nilikua silijui hili

ila kuna motivation nilisikiliza iliseman hivi...

"hela sio sababu ya kufanya mpendane"

hata baraka na ruby walikubliana "mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanpungua"
Haya wasikilize hao km hujaishia kuanzisha mada kila siku hata salamu yake usiipate
 
Hizi nyuzi ndo zinafanya watu wapate BAN maana ni kutukana nje nje 😁😁😁
 
Back
Top Bottom