Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Vijana hapo tayari mmemuwazia ni style gani mmemuweka binti wa watu kitandani,

Punguzeni kujifungua ndani, mtabaka mifugo hapo nyumbani.
 
Wewe huku JF watu wanatumia ID ambazo siyo zao,.. na profile picture pia ambazo siyo zao.. Inakuaje una declare kabisa kuwa unampenda mtu fulani?? Huu ndiyo upunguani na upungungufu wa akili
 
Ulivyofungulia uzi,yeye ndo anapata bichwa.

Hongera kwake.
 
Vijana wakishashiba kande tu, wanakuja jf kuanzisha mada za ushuzi ushuzi.
 
M nakuogopa huku 2012 niliona jina la kike nkatongoza nkarusha na anauli njoo sinza alikuwa mstaatabu kakayule akaja kupigaa anapoke me wee ikabidi tujuane tu hamna jinsi......
Alikuwa Gay au na yeye alijua wew ni mwanamke umenasa ?
 
Kila mtu anapenda pesa ila wanaofanikiwa na kupendwa na pesa ad kua matajir ni wachache cha muhimu jarb bahati yako
 
ephen amekuwa kama pesa humu kwa kupendwa na kila mtu.mtoto ananyota kali utafikiri alizaliwa chini ya mwanga wa Nyota ya Matumaini. Halafu watu wanajiuliza ephen kampendea nini huyu mvaa mashati ya kijani ya Lumumba? Wengine wanasema ephen aniache kwa sababu nitakuwa namvalisha madela ya kijani ya CCM muda wote .halafu wanashangaa Binti bado ametulia kwangu tu utafikiri maji mtungini.
 
ephen amekuwa kama pesa humu kwa kupendwa na kila mtu.mtoto ananyota kali utafikiri alizaliwa chini ya mwanga wa Nyota ya Matumaini. Halafu watu wanajiuliza ephen kampendea nini huyu mvaa mashati ya kijani ya Lumumba? Wengine wanasema ephen aniache kwa sababu nitakuwa namvalisha madela ya kijani ya CCM muda wote .halafu wanashangaa Binti bado ametulia kwangu tu utafikiri maji mtungini.
ephen_ huu mkeka usipotiki tena basi ona mtu anavyobubujikwa na machozi huku
 
Back
Top Bottom