Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Nilimpenda sana Binti humu, ila sasa nimegundua kila mtu anampenda tu. Inauma

Hapana, huyu anayeandika haya yote ni member mmoja hivi. ID yake mkongwe inaanza na herufi P.

Sema ni utoto tu ndio unamsumbua.
😂😂😂 kumbe siku hizi unajua kufungua code?
 
Kuna nini nyuma ya pazia kila mtu anasema anampenda huyo kiumbe au ndiyo kashakuniwa nazi!
 
hapana, labda ndo ugeni.. wenyeji mnijuze Binti wa kueleweka humu, ila mimi nikijikua deep na ephen
Acha uzwazwa bwa mdogo umu kuna madume yana id za kike sasa ingia kichwa kichwa wahuni wapite na jicho ilo
 
Back
Top Bottom