Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilikua silijui hiliYani unaanzisha mada ila muamala huwezi eheeeeee bora ukalale ukue
pamoja manKila la kheri mkuu
Umejiunga jana
Umejuaje kama unampenda
😂 mara paap ni Lucas MwashambwaJf vichekesho usikute uyo unayempenda mwanaume mwenzako
Alikuwa Gay au na yeye alijua wew ni mwanamke umenasa ?M nakuogopa huku 2012 niliona jina la kike nkatongoza nkarusha na anauli njoo sinza alikuwa mstaatabu kakayule akaja kupigaa anapoke me wee ikabidi tujuane tu hamna jinsi......
Hawajui kwamba hata wapumbavu huzeeka😁Unaweza Kuta ni mtu mzima kinoma aliyeandika huu Uzi.
ephen amekuwa kama pesa humu kwa kupendwa na kila mtu.mtoto ananyota kali utafikiri alizaliwa chini ya mwanga wa Nyota ya Matumaini. Halafu watu wanajiuliza ephen kampendea nini huyu mvaa mashati ya kijani ya Lumumba? Wengine wanasema ephen aniache kwa sababu nitakuwa namvalisha madela ya kijani ya CCM muda wote .halafu wanashangaa Binti bado ametulia kwangu tu utafikiri maji mtungini.😂 mara paap ni Lucas Mwashambwa
ephen_ huu mkeka usipotiki tena basi ona mtu anavyobubujikwa na machozi hukuephen amekuwa kama pesa humu kwa kupendwa na kila mtu.mtoto ananyota kali utafikiri alizaliwa chini ya mwanga wa Nyota ya Matumaini. Halafu watu wanajiuliza ephen kampendea nini huyu mvaa mashati ya kijani ya Lumumba? Wengine wanasema ephen aniache kwa sababu nitakuwa namvalisha madela ya kijani ya CCM muda wote .halafu wanashangaa Binti bado ametulia kwangu tu utafikiri maji mtungini.
😂😂😂😂😂Ni yeye mpk ile ya kaka luka 🤣🤣🤣