Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Nilimpiga Mwalimu akahama shule

Yani asilimia kubwa form 3 ndo hua wanaanza kujifunza misumali......Mim kuna ticha ety alinitongoza rfk angu kamkataa tukala pesa zake ety akatangaza vita na mim me nkamwambia ww ni mkubwa lkn vita na mim uwez.
Ticha kaja class kanipa swali la Physics form two nikafanya vzuri nkaweza, akanipa tena swali la kuchora preparation ya oxy from hyro peroxide......eh bana si nkachora nkasahau kulabel manganese dioxide eeeh ticha akasema ujalabel hapa nkamwambia nmesahau tu kwa sabb muda umenipa mdg na me sio mzuri kweny kuchora chora akasema ety adhabu kubeba ndoo kumi za mchanga na kufagia ofisini ya walimu week nzima nkamwambia mie ni kiongoz siruhusiwi kufanya Kazi yyte zaid ya kutoa dawa kwa wagonjwa na kuhakikisha wanapatiwa huduma ya kwanza.......Ety unanijibu dharau mim nkukute administration block nkamwambia haina noma Edson.
Kwanza nkaingizwa kwa Second master, na displine master Alf second master mwenyewe alikua ananitokea........
Kuingia nikaaanza kujiliza ilivofika zamu yangu ya kujielezea nkasema kila kitu hadi alivomtongoza rfk angu na alivonitangazia vita.......Mim nliambiwa kesi yangu imeisha wakabaki na huyo ticha sijui aliliwa kiboga maan alitoka kachomoa shati
😅😅😅 Ali chezea makofi
 
Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.

Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.

Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.

Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.

Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu

Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.

Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.

Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.

Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue

Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.

Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.

Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.

Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.

Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.

Itaendelea...
unataka kuwakera walimu ss kwa kumpiga mwenzao 😁🤔
 
naam
3bf74a91f19a552c4b5f7ec22bb5560f.jpg
 
Naona watu tunameanza kumhukumu Kiongozi kabla hajafika mwisho mpaka alipoishia kaanza kuwa raia mwema wanasema mchawi mpe mtoto akulelee jamaa akaanza kudili na wavuta bangi kwenye biblia kuna mtu aliwaua sana wakristo ila alibadilika na kuwa mtu mwema jamaa anatoa kama confession yake.

Asilimia kubwa ya watu either wana past mbaya au nzuri past zetu zimetufanya tujifunze mengi kutokana na makosa kwani mpaka leo si bado kuna watu wanavuta hizo bange nakumbuka mpaka speaker alisema kuna maraia bungeni wapimwe cannabidoid test

Tusihukumu
 
Naona watu tunameanza kumhukumu Kiongozi kabla hajafika mwisho mpaka alipoishia kaanza kuwa raia mwema wanasema mchawi mpe mtoto akulelee jamaa akaanza kudili na wavuta bangi kwenye biblia kuna mtu aliwaua sana wakristo ila alibadilika na kuwa mtu mwema jamaa anatoa kama confession yake.

Asilimia kubwa ya watu either wana past mbaya au nzuri past zetu zimetufanya tujifunze mengi kutokana na makosa kwani mpaka leo si bado kuna watu wanavuta hizo bange nakumbuka mpaka speaker alisema kuna maraia bungeni wapimwe cannabidoid test

Tusihukumu
Mkuu umenena safi sana
 
Walimu wana shida sana, matoto ya hivyo si muyafukuze shule tu, usipigane naye
Hii kweli nililifanya, nikiwa o level kipindi hicho wanafunzi wa shule hiyo, iliyopo Arusha chini waliogopeka kwa uhuni, uvutaji bangi, uwizi, hiyo shule ina O level na A level.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na vuta bangi mfano hakuna, nikisha vuta bangi naingia gheto napiga msuli kinoma, darasani zilikuwa zinachoma matokeo sikosi top ten hata siku moja, lakini mvutaji bangi mnzuri.

Nilianza mafunzo ya taekwondo nikiwa na miaka 12, kwa teacher abuu kaloleni Arusha, nakumbuka tulipewa mafunzo na nako 2 nako pamoja na junior nako, kipindi hicho Arusha iliogopeka kwa uhuni.

Mtaani waliniita damme,maana nilikuwa napiga mateke, hakuna mjinga yeyote alinitania wala kunidharau heshima ilikuwa debe sio kwa wahuni mpaka raia wote.

Kipindi nikiwa form 3, nilikuwa na maisha ya kihuni sana, nakumbuka siku hiyo niliyomtandika nwalimu ilikuwa hivi.

Kuna teacher wa English alikuwa na tabia ya kuendelea kufundisha hata kama kengele imelia bado ataendelea kufundisha kwa dakika 20 mbele, jambo hilo liliwafanya wanafunzi wamchukie, walimpa jina la mkaba penati.

Teacher mwenyewe ndo alikuwa ametoka chuo kwa hiyo alikuwa na mukari na kazi yake, kwa sisi wanafunzi tuliona uzushi tu

Ilikuwa ijumaa kipindi cha mwisho kilikuwa english, na kilikuwa kipindi cha mkaba penati. Muda wa kipindi uliisha, teacher akaendelea kufundisha, nilikuwa na ahadi na demu wangu tukabanduane na kuvuta bangi, demu alinipa ahadi nikitoka shule nika mpitie kwao maana palikuwa sio mbali na kwetu.

Nilivumilia kwa dakika 10, teacher hana hata dalili za kutoka darasani, kwanza ndo anafuta ubao aanze kuandika notice, akisha maliza aweke na homework, nikicheki mda saa zinaenda sana alafu ninaugwadu kinoma.

Nikasema usinitanie, nikachukua begi langu, darasa kimya teacher yupo ubaoni anaandika notice, hapo kengele ilishalia kitambo kama dakika kumi na tano zilizopita nyuma.

Nikampita teacher,
Teacher: Unaenda wapi,
Mimi: Naenda home,
Teacher: Unioni bado nipo darasani
Mimi: Muda umeshaisha
Teacher: Rudi kakae
Mimi: Mdua umeshaisha usinizingue

Teacher alikuja akanikaba shingoni, nikimcheki tunalingana mrefu sema yeye kanipita miaka kadhaa, alafu katoka chuo bado moya,akanitandika kofi moja la haja mpaka masikio yakalia nziiiiiii.

Nikalivumilia,ile anajiandaa kunipiga lingine nikamsogelea nikamtandika kichwa kimoja cha maana, teacher akaanguka chini kama mzigo, wanafunzi wenzangu oooooh.

Teacher kahamka kwa wenge, ananifuata kwa hasira kapanic huku midamu inamtoka mdomoni na puani, nikamtandika stop kick ya kifua teacher akanguka kwenye meza ilikuwa mbele ya darasa.

Akahamka akachukua mbao ya kuchorea msitari kwenye ubao ananifuata kwa hasira kama kanifumania na demu wake. Nika mpiga jumping ushiro teacher chini kazirau, wanafunzi wenzangu si wakaanza kupiga kelele ameua ameua ameua.

Nikatoka nduki kuelekea nnje ya shule, ile nafika kwenye geti lakutokea nnje ya shule limefungwa nikaduwaa miguu yote nguvu hakuna tena, walinzi wakaja wakanikamata.

Itaendelea...
 
Back
Top Bottom