Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

Dodoma mitaa gani mkuu
Mkuu dodoma mitaa ya mjini sio mwenyeji sana nilikuwa na ndugu ndio nadhan anapajua ila tulienda pale dukan kwa vunja bei kununua jezi tukaenda had mdanani kweny nguo za mtumba kule ndio **** hayo maduka pale niliona maduka mengi tu wanauza.
Kaam n mwenyeji nadhan utakuwa umenielewa usiishie duka moja zunguka zunguka ndio utaona vinu kuna duka niliingia hapo jamaa ndio ana hatar vinu vya kwel sikuwa na hela tu ila nadhan mwisho wa mwaka huu nitakuja dom tena lazma ninunue radio pale.
 
Mkuu dodoma mitaa ya mjini sio mwenyeji sana nilikuwa na ndugu ndio nadhan anapajua ila tulienda pale dukan kwa vunja bei kununua jezi tukaenda had mdanani kweny nguo za mtumba kule ndio **** hayo maduka pale niliona maduka mengi tu wanauza.
Kaam n mwenyeji nadhan utakuwa umenielewa usiishie duka moja zunguka zunguka ndio utaona vinu kuna duka niliingia hapo jamaa ndio ana hatar vinu vya kwel sikuwa na hela tu ila nadhan mwisho wa mwaka huu nitakuja dom tena lazma ninunue radio pale.
Pamoja sana mkuu
 
hometheater hzo ulizotaja hapo za sony sku hz ni takataka kbs kuna uzi humu jamaa alisema alienda shop kucheck mzk akakutana na seapiano sp 912 akamwambia muuza duka ampambanishie na hometheater za sony ili achukue mojawapo jamaa anasema sony zlichemka kbs na ndiye ameni inspire kutafuta iyo seapiano.
kmmke 🤣,
 
Unazifahamu av receiver?
Hizi ni full mkoko kwanza ina channel 5,7 au 9.
Then ina output subwoofer 2. Ukiweka tu moja ni shida. Yaani unaweza kutumia bila hata subwoofer maana bado ni shida.

Ishu ni gharama ujipange. Bei ya babe walker unaweza jikuta unaweka sebuleni
1000009249.jpg
 
Unazifahamu av receiver?
Hizi ni full mkoko kwanza ina channel 5,7 au 9.
Then ina output subwoofer 2. Ukiweka tu moja ni shida. Yaani unaweza kutumia bila hata subwoofer maana bado ni shida.

Ishu ni gharama ujipange. Bei ya babe walker unaweza jikuta unaweka sebuleniView attachment 3061734
HUu ndio music sasa.
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    40.3 KB · Views: 3
  • images.jpeg
    images.jpeg
    5.6 KB · Views: 3
Hiyo lazima itakuwa mashine, kuna spika pia za Bang & Olufsen, mi nina pc ya hp ina hizo spika...yan huwa nainjoy nikisikiliza hivi hivi kuliko kuunga na sound bar maana ni kelele tupu!
Bang & olufen ni shida
 
Mkuu file unazopiga kwa io machine unazitoa wapi(source), Mana machine Kama izo inabidi pia we na audio file yenye nyama sio izi m4a/mp3 za mb tatu ili ikae sawa
Sure bila raw audio formats kama WAV au hata angalau AAC hapo unaweza laumu sound system yako.. kumbe compressed audio formats kama mp3 zinakuangusha..
 
Kabla ya kununua sound system yoyote kwanza unatakiwa kujua hitaji lako ni nini.
Kwa mfano; hitaji lako ni mziki mkubwa( sauti kubwa),mziki mzuri,mziki mtupu,mziki + muvi nk.
Kama hitaji lako ni mziki mzuri basi unatakiwa uangalie kitu kinachoitwa frequence range na frequence response ya spika zako.
Frequence range na frequence response huonyesha uwezo spika zako kucheza/kuplay frequence za sauti ambazo zitakuwa zinatoka kwenye spika zako.
Kwa kawaida wanadamu husikia sauti kuanzia frequence response ya 20 Hz mbaka 20000Hz.
Kwahiyo spika yoyote ambayo inaweza kucheza sauti katika frequence hizo itakufanya uweze kusikia kila kitu kilichopo kwenye saitu hiyo.
Baada kujua frequence range sasa utatakiwa kujua frequence range ya spika yakp ambayo yenyewe itaonyesha uwezo wa spika yako kuwa flat.

Kama hitaji lako ni sauti kubwa unatakiwa isome kitu kinachoitwa SPL( Sound pressure level) hii huonyesha kiwango cha sauti ambao spika zako zinaweza kuzalisha.Watu wengi huwa wanaangalia watt za spika kitu ambacho siyo sahii.
Radio kuwa na watt kubwa haina maana kuwa saiti yake ndo itakiwa kubwa.

Kama matumizi yako yatakuwa kusikiliza nyimbo tu,chukua system ambayo ina spika mbili tu na subwoofer moja.Mana nyimbo zote tunazosikila kuwa stereo kwa maana hutengenezwa kwa mfumo wa masikio yetu ambayo ni mawili.Katika mfumo huu wa stereo( 2.0) au ( 2.1) spika mbili hucheza frequence za kati na za juu huku subwoofer ikicheza frequnce za chini za sauti( Base)

Kama hitaji lako ni kutumia radio system yako kwenye muvi hapa ndo uchue sound bar au home theater ambazo mara nyingi huwa na subwoofer moja na spika kuanzia 5 na kuendelea.
Lengo la spika kuwa nyingi huwa sio sauti kuwa kubwa ila kufanya kila spika kwenye muvi icheze kitu kimoja.
Kwa mfano kuna spika hucheza maongezi,kuna spika hucheza effect nk.

Nje ya hayo yote pia kwenye vifaa vya muziki kuna kitu huitwa breaking time.Breaking time ni muda ambao spika mpya huotaji ili kuweza kuanza kufanya kazi kwa ufasaha mana inapotoka dukani huwa haiwezi kufanya kazi kwa ufasaha.
Mara nyingi huwa ni masaa 24 mbaka 36.
So ukiweza baada ya kununua radio yako soma kwanza breaking time yake alafu ifungulie kwa sauti ya juu kwa muda wote huo alafu baada ya hapo ndo uanze kutumia radio yako utakavyo.
Asante kwa maelezo ya kitaalamu,hebu tushauri ni brand ipi nzuri za kununua ili kusikiliza mziki mzuri nyumbani bila sauti kubwa wala movie
 
Back
Top Bottom