Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

Nilinunua soundbar ya Sony watts 400, 5.1 channels hata sijaielewa!

Usicheke 🤣🤣 aniambie kama nachezea hela nikazichukue tu. Maana watts 320, walisema 630k. Kwa kuwa hawakuwa nayo, nikapunguza nikaacha 500k. Ni duka nalofahamiana nao,,

Michezo ya kuzika hela sichezagi 😃😃
Kwa hizo watts 320 nakusihi wahi haraka ukachukue hela yako 😂 humo hutapata mziki unaoeleweka. Ukishachukua hio 500K hebu nitumie elf 20 tu ya sadaka ya shukurani.
 
Hii ndio Sony kipenzi hujutii hii ya kwangu ina miaka 4 au mi5 kama nakuona hiyo clip utakuwa unairudia [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣 nimekubali show.
Hata pa kudownlodia nilipaona sasa? Sipaonagi sijui kwann
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekubali show.
Hata pa kudownlodia nilipaona sasa? Sipaonagi sijui kwann

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] poyeeeeee na ile pic yangu ukutani kama nawaona wanaume wa jf wangeiona na msemo wao jf tumejaa mishangazi
 
Najua bado unaendelea kuinjoy unyama wa DZ650 Sony Home theatre. Mwambie Depal hizo zishakuwa adimu sikuhizi

Naenjoy kaka angu [emoji3059] ila nitakuja pm kuna kitu unielekeze kwahiyo sasa hivi ni ngumu kupatikana kabisa basi na bei yake itakuwa juu

Au kama una ile chat yangu na yako pm ebu nipm basi
 
Naenjoy kaka angu [emoji3059] ila nitakuja pm kuna kitu unielekeze kwahiyo sasa hivi ni ngumu kupatikana kabisa basi na bei yake itakuwa juu

Au kama una ile chat yangu na yako pm ebu nipm basi
😂😂😂😂😂😂😂 niguse DM
 
We hata sio mtu wa mziki, watu wa mziki wanajua HiFi ila kama unataka cristal clear music nunua Music reciever huwa hazina speaker unanunua mwenyewe, speaker moja brand sio chini ya dola 200 na zinatakiwa speaker 7.1.4 au 7.1.2 au 7.2.4 kulingana na matakwa yako.
 
Sijui ni kwenye uzi gani nilikuona unasifia Sound bar ya sony ikiwa inapiga mayday ikiwa inadunda huko 🤣🤣🤣


Watts 1000, ikiwa ni sound bar au home theater? Extrovert aje atofautisha.

Music is a therapy
Naweza nisiwashe Tv kama sina movie mpya, ila radio must.
Ikiwa soundbar inakuwa more advanced technology ila inatakiwa iwe 1000 watts kwa kweli. Brands usitoke nje ya Sony ama JBL humo ndiko mziki ulipo kwa sasa. Kwengine ni kubahatisha tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] poyeeeeee na ile pic yangu ukutani kama nawaona wanaume wa jf wangeiona na msemo wao jf tumejaa mishangazi
🤣🤣 watukome, nina hakika hawajaona.. maana tumecheza shwaaa na shwiiiii
 
Back
Top Bottom