Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Barikiwa mkuuNimemjibu Depal hapo juu angalia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barikiwa mkuuNimemjibu Depal hapo juu angalia mkuu
Very good. Ahsante mamy
Barikiwa mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hiyo bei wataweza? Maana watu wa nanunua soundbars za laki 6 wanalalamika siyo nzuri. Anza na 1.5m kuendelea ndio utapata soundbar yenye balance nzuri kati ya movies na musicTafuta soundbar ya Samsung 9.1.4 inch
Hawana kama kawaida yao 😂Achana na Lg tafuta Sony hutojutia [emoji1787][emoji1787]
Yeah, hiyo LG inqbamba sana, binafsi sio mpenzi wa mziki throughout ila kidogo nikisikiliza LG nahisi nasikiliza kitu kizuri.Kaka mim nina LG home theater watt 1000 naomna iko powa ina sound moja tam. Unaeza ichek madukan ukaiskia pia
Ina ndefu 2? LG wananambia ziko ndefu inne… zimebamba 🔥😍Nunua dar unatumiwa au ukija Dar utanunua [emoji1787]View attachment 2921537
Ina ndefu 2? LG wananambia ziko ndefu inne… zimebamba [emoji91][emoji7]
Kuna agent wa SONY anaitwa ANISUMA, wako jengo la Hydary Plaza ground floor, hapo utaona system mbalimbali za SONY. Kwa kawaida hizi home theater na sound bars ni kwa ajili ya kuongeza sauti toka kwenye TV ili kupata sound effects za show mbalimbali za TV. Kwa muziki mzuri wa nguvu tafuta HIFI MUSIC SYSTEM.Shukrani mkuu, kwa Dar naweza pata wapi? Kkoo zipo?
Sijaisikia bado sound yake 🤣🤣Haha ila LG umeipenda ujue naona [emoji1787] ichukue basi
Sijaisikia bado sound yake [emoji1787][emoji1787]
Naona model mbili tofauti , hio LG ya juu nimetumia , mziki wake sio mbaya sana japo sikupenda quality ,nilipeleka nyumbani wasikilizie kwaya ila wanaisifia sana , Ki ufupi ni nzuri sana hasa kwenye kuangalia Movie.Anayetumia au aliyewahi kutumia mziki mmojawapo hapa tafadhali nishauri!