Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Haha natumaini atanishauri vyedi
Hahahaha ngoja ajeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha natumaini atanishauri vyedi
Naona model mbili tofauti , hio LG ya juu nimetumia , mziki wake sio mbaya sana japo sikupenda quality ,nilipeleka nyumbani wasikilizie kwaya ila wanaisifia sana , Ki ufupi ni nzuri sana hasa kwenye kuangalia Movie.
Kwahiyo ni movie tu! Nikitaka kusikiliza amapiano nafanyaje jamani [emoji23]
Mkuu na mm na huo mkito aisee hapo walijipinda aiseKaka mim nina LG home theater watt 1000 naomna iko powa ina sound moja tam. Unaeza ichek madukan ukaiskia pia
Jitahidiii 😂Natamani kukutumia ka clip kanagoma usikilize kidogo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Inafutwaaaa ukichelewa 🤣🤣🤣Kwahiyo ni movie tu! Nikitaka kusikiliza amapiano nafanyaje jamani 😂
Niko LIVE 🤣🤣Inafutwaaaa ukichelewa 🤣🤣🤣
Ila hapa hamna attachementInafutwaaaa ukichelewa 🤣🤣🤣
🤣🤣Niko LIVE 🤣🤣
Ila hapa hamna attachement
Hiyo attachment ina tabia mbaya 😂😂Nikitaka kusend inagoma ngoja nijaribu ya mwisho
Ila hapa hamna attachement
Hiyo attachment ina tabia mbaya [emoji23][emoji23]
Am in love with everything I heard & saw 😍 futaaaaNafuta [emoji1787][emoji1787]
Am in love with everything I heard & sawa [emoji7] futaaaa
Ulichukua ndogo mno.Wakuu kifupi mimi ni music enthusiast, hivyo nazingatia sana quality ya muziki maana ndo burudani yangu kuu! Sasa ni muda mrefu nimetumia Sony zile radio za kizaman zenye cd 3, nimepata quality nzuri ya mziki kwa miaka.
Baada ya kuzingua/kufa, nikashawishika kuchukua soundbar maana kuna nyuzi nyingi zinazisifia humu, sasa baada ya kuichukua siku ya kwanza niliisifia kwamba inatwanga,ila kadiri siku zinavyoenda ikaanza kuniumbua, kifupi sijaridhika kabisa na sound yake!
Hebu nipeni recommendations za kueleweka, hata kama bei imesimama itabidi nijipange tu.
Asante!
Mdundo ni mkali 🔥🔥[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mdundo ni mkali [emoji91][emoji91]