Nilionja machungu ya kuwa HIV+, unyanyapaa ni unyama

Point ya maana sana hii, wote tungekuwa na uelewa huu hapa tungekuwa tunajadiliana kwanini unyanyapaa na tufanye nini kuelimisha jamii lakini kinyume chake tunaulizana vocha. Asante mkuu kwa uelewa wako
 
Niliishia pale Spicy akiwa kidato cha nne anaacha namba ya matron ili huyu suspect ampigie wapange watakutana wapi. Huo upuuzi hakuna mtoto wa kike anaweza fanya, matron sio bibi
Nimeishia hapo hapo namimi, chai iliyochacha.
 
Hatari na nusu; kwahiyo walidhani kanywa coke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duniani kuna vituko
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]aisee hapo mwshon nmecheka sana Mungu ansamehe
 
Pole sana mkuu dah🥲. Mungu azilaze roho zao mahali salama.
 
Huu uvumi simple sana kuusolve
Kama wa vyeti feki

Mtu akikusema unamtumia cheti chako cha HIV Negative
Na msg ya 'Mnikome'..simple
Hata wawili au wa3
Watasambaziana wenyewe chaap sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....watasema vipimo va mchongo
 
Watz tuna upimbi mwingi somo kuu lilikuwa Umyenyepaa lakini tunabishana kuhusu ukweli wa vipimo na vocha.
 
stori yako imejaa matobo mengi, tukiachana na huo uwongo huo, hebu tuaambie mwaka 2007 kulikuwa hakuna vocha za buku? najua hili hutaweza kujibu, utalipotezea kama hujaona
Labda nimsaidie ,inawezekana zilikuwepo lkn hazikua na matumiz sana kama ya sasa iv au hazikua na matumiz kuliko izo za elf 5 au 10 , kwaiyo ata upatikanaje wake unakua mchache,mfano kama sasa iv kuna maeneo ukiwepo unaweza kusema vocha za ttcl hakuna , kumbe zipo sema hazipatikan sana kwa sababu ya uhitajikaji wake
 
Nilimuuliza maswali yote mawili akajibu la vipimo tu, na sio proof hiyo. mkundu ni mamaako

Kaweka proof gani hapo?
Na hata kama vilikuwepo, ila haikujulikana kama anavyodai, na lengo ni kumuaminisha huyo demu kuwa hana ngoma angemuaminisha vipi wakati kipimo hakijulikani?

Na maswali sio hayo tu, stori imejaa contradiction nyingi tu, sema nikataja hizo
 
Via freeservers.com na freeweb.com 🤣 naiba na script za java naweka saa, na vieffect kwenye web pages zangu. Aliyekuwa ananiinspire na jamaa flani alikuwa mdogo enzi hizo ana website inaitwa georgebuliki.freeservers.com.
Hahaha aise nahisi utakuwa ni wewe , hiyo freeservers.com umenikumbusha mbali,

Kuna jamaa nilicopy web yake zile picha na muonekano wa buttons zake, background images , daah alimind kichiz, ikabidi a design nyingine akaiweke na protection mtu asiweze ku copy..!

Nimeiba sana muda time watcher, nikiweka lisaa , najiongezea 30min hahahah
 
Huenda mimi mkuu maana.
Hata mimi nimecopya sana na hata html nlikuwa sijui kuna mwarabu alikuwa na kaweb naye anakuja hapo ndiye alinifundisha code kama 5 kuanzia hapo nikajifunza nyingine zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…