Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

Uafrica ni laana


Angalia miji Ambayo tumeanzisha sisi baada ya Uhuru na miji iliyoanzishwa na wazungu kama masaki na osyterbay ndio utajua akili za mtu mweusi ziko vipi.


Tulipiga Marufuku Vipanya kwenda mjini ila tumeruhusu bajaji. Ndio akili za muafrica.
 
Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.

1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.

2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika ardhi yetu.

3. Upende usipende, Wazungu wametuzidi akili na maarifa ukitaka kujua hilo, tembelea mgodi wa GGM tu uone trailer, sasa Australia kuna migodi niliingia nikaishia kusema tu aaaah kmmk walai.

4. Mwisho kabisa naamini haikuwa sahihi kwa mwajiri kutupeleka Australia kujifunza, pale alipoteza gharama zake bure, sisi hatujafikia wala sioni tukifikia huko ila asanteni kwa exposure.

5. Operators wa mitambo ya migodini tembeleeni seek.com.au tafuteni deals japo si rahisi ila ukipata unaenda kuishi dunia nyingine kabisa kmmk.

6. NYERERE ASINGEWAFUKUZA WAZUNGU TUNGEKUWA MBALI SANA, KISWAHILI KIKATUZIKA KABISA.
África tuna tawala za kipumbavu tu. Nchi kama tanzanla ni nzuri sana
 
Ukifika nchi kama Kanada utasema nini mwanangu? Huna haja ya kutudhalilisha kwa ushamba wako. Waafrika tuna akili ila ukoloni ulituchelewesha. Kuna siku tutawafikia tutakapopata viongozi na si chawa na wafuga chawa. Ulishafika Dubai au Sharjah, Manama na kwingineko au China? Hawa nao ni wazungu au ujinga na kutokujiamini kwako? Kifupi, tutakapoacha kushobokea ujinga kama dini na mila za kigeni, tutawakamata haraka tu.
Mkuu Canada ni nchi ya 3 kufika, nimetembelea kwenye baadhi ya migodi yao, ila Australia wamenishangaza sana, kumbuka kule ni Oceania ni kama mwisho kabisa wa dunia. Hivyo vinchi vingine ulivyolist ni vyakipumbavu tu Dubai si sehemu inayoweza kubadili maisha yako, labda uende kununua vitu na kuja kuwauzia watu, hawana kitu zaidi ya majengo marefu na barabara nzuri, hawana teknolojia yao wenyewe, wanatumia za wazungu, wakorea kusini na wajapan, hata jengo lao refu wanalo tamba nalo limejengwa na wakorea kusini.
 
Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.

1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.

2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika ardhi yetu.

3. Upende usipende, Wazungu wametuzidi akili na maarifa ukitaka kujua hilo, tembelea mgodi wa GGM tu uone trailer, sasa Australia kuna migodi niliingia nikaishia kusema tu aaaah kmmk walai.

4. Mwisho kabisa naamini haikuwa sahihi kwa mwajiri kutupeleka Australia kujifunza, pale alipoteza gharama zake bure, sisi hatujafikia wala sioni tukifikia huko ila asanteni kwa exposure.

5. Operators wa mitambo ya migodini tembeleeni seek.com.au tafuteni deals japo si rahisi ila ukipata unaenda kuishi dunia nyingine kabisa kmmk.

6. NYERERE ASINGEWAFUKUZA WAZUNGU TUNGEKUWA MBALI SANA, KISWAHILI KIKATUZIKA KABISA.
Ukweli mchungu,ingawa Nyerere kuwaondoa wazungu bado alikuwa sahihi,shida ni ulafi wa viongozi wetu,wanataka kuwa viongozi ili washibishe matumbo yao na sio kuendeleza nchi....
 
Miaka 100 naona karibu sana tumedumaa karibu miaka 400 huko ndio wenzetu waliishi haya maisha ya kuhamaisishana mambo ya nyumba ni choo..
Miaka 400 juzi tu? Sisi tuko nyuma miaka 1500+ sema kinachotusaidia ni huu muingiliano na wazungu kutuletea teknolojia na miundombinu. Kiakili bado tuko zama za mawe za kale..!
 
Back
Top Bottom