jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ngozi nyeusi ni ishara ya laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko mtepweshi hukutoka na kipindupindu?Australia tu Mayowe kibao. Wenzako tumetimba sana Mtepweshi Msumbiji na tumepiga kimya.
Kaelezea kuwa sisi tupo nyuma yao miaka 100Kwa hiyo ulichojifunza ni kipi hasa mkuu? Kushangaa ama kumshangaa mwajiri kwa kukupeleka Australia?
Hajui Sharjah inaweza kuwa kasehemu kadogo ka Melbourne.We nawe ni punbaf, yaani aache kushangaa australia akashangae sharjah? Huna ujualo
África tuna tawala za kipumbavu tu. Nchi kama tanzanla ni nzuri sanaWakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.
1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.
2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika ardhi yetu.
3. Upende usipende, Wazungu wametuzidi akili na maarifa ukitaka kujua hilo, tembelea mgodi wa GGM tu uone trailer, sasa Australia kuna migodi niliingia nikaishia kusema tu aaaah kmmk walai.
4. Mwisho kabisa naamini haikuwa sahihi kwa mwajiri kutupeleka Australia kujifunza, pale alipoteza gharama zake bure, sisi hatujafikia wala sioni tukifikia huko ila asanteni kwa exposure.
5. Operators wa mitambo ya migodini tembeleeni seek.com.au tafuteni deals japo si rahisi ila ukipata unaenda kuishi dunia nyingine kabisa kmmk.
6. NYERERE ASINGEWAFUKUZA WAZUNGU TUNGEKUWA MBALI SANA, KISWAHILI KIKATUZIKA KABISA.
Mkuu Canada ni nchi ya 3 kufika, nimetembelea kwenye baadhi ya migodi yao, ila Australia wamenishangaza sana, kumbuka kule ni Oceania ni kama mwisho kabisa wa dunia. Hivyo vinchi vingine ulivyolist ni vyakipumbavu tu Dubai si sehemu inayoweza kubadili maisha yako, labda uende kununua vitu na kuja kuwauzia watu, hawana kitu zaidi ya majengo marefu na barabara nzuri, hawana teknolojia yao wenyewe, wanatumia za wazungu, wakorea kusini na wajapan, hata jengo lao refu wanalo tamba nalo limejengwa na wakorea kusini.Ukifika nchi kama Kanada utasema nini mwanangu? Huna haja ya kutudhalilisha kwa ushamba wako. Waafrika tuna akili ila ukoloni ulituchelewesha. Kuna siku tutawafikia tutakapopata viongozi na si chawa na wafuga chawa. Ulishafika Dubai au Sharjah, Manama na kwingineko au China? Hawa nao ni wazungu au ujinga na kutokujiamini kwako? Kifupi, tutakapoacha kushobokea ujinga kama dini na mila za kigeni, tutawakamata haraka tu.
Miaka 100 naona karibu sana tumedumaa karibu miaka 400 huko ndio wenzetu waliishi haya maisha ya kuhamaisishana mambo ya nyumba ni choo..Kaelezea kuwa sisi tupo nyuma yao miaka 100
Ukweli mchungu,ingawa Nyerere kuwaondoa wazungu bado alikuwa sahihi,shida ni ulafi wa viongozi wetu,wanataka kuwa viongozi ili washibishe matumbo yao na sio kuendeleza nchi....Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.
1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.
2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika ardhi yetu.
3. Upende usipende, Wazungu wametuzidi akili na maarifa ukitaka kujua hilo, tembelea mgodi wa GGM tu uone trailer, sasa Australia kuna migodi niliingia nikaishia kusema tu aaaah kmmk walai.
4. Mwisho kabisa naamini haikuwa sahihi kwa mwajiri kutupeleka Australia kujifunza, pale alipoteza gharama zake bure, sisi hatujafikia wala sioni tukifikia huko ila asanteni kwa exposure.
5. Operators wa mitambo ya migodini tembeleeni seek.com.au tafuteni deals japo si rahisi ila ukipata unaenda kuishi dunia nyingine kabisa kmmk.
6. NYERERE ASINGEWAFUKUZA WAZUNGU TUNGEKUWA MBALI SANA, KISWAHILI KIKATUZIKA KABISA.
Hukufika Tulo? Nakaguruwe je?Australia tu Mayowe kibao. Wenzako tumetimba sana Mtepweshi Msumbiji na tumepiga kimya.
MTU mweusi akili ndogo Sana .
Ni kweli kabisa..na mfano halisi ,kapande gari za mwendokasi gari zinapoanzia, Kivukoni or Kimara..TUNASHIDA!MTU mweusi akili ndogo Sana .
Ashukuriwe mama Samia kwa kuruhusu Australia kuwa miaka 100 mbele yetu sisi waafrica😀😀😀Sawa ila kwanza kabisa ulipaswa kumshukuru mama... View attachment 3180636
Nilidhani ulikuwa motivated kumbe????NILIKATA TAMAA.
Miaka 400 juzi tu? Sisi tuko nyuma miaka 1500+ sema kinachotusaidia ni huu muingiliano na wazungu kutuletea teknolojia na miundombinu. Kiakili bado tuko zama za mawe za kale..!Miaka 100 naona karibu sana tumedumaa karibu miaka 400 huko ndio wenzetu waliishi haya maisha ya kuhamaisishana mambo ya nyumba ni choo..