Kwani mentality yao inatofauti gani nanyangu? Ata wao sii wanatafuta pesa ili wapate kukojolea mbususu za pisi kali.Watu weupe walishajijengea Misingi na Mitizamo mizuri tokea zamani. Sababu walishajua maendeleo kwa sekta yeyote msingi mkuu ni Mtoto, Inatakiwa akazaniwe tokea udogoni, afundishwe kua Disciplined.
Mtoto anaezaliwa Australia hata kama ni Poor family utakuta anafundishwa kustaarabika toka akiwa mdogo hivyo anakua Mentallity perfect, Ijapo sio wote ila walau 7 ya 10.
Mentallity ya kijana wa miaka 25 Australia huwezi ukaifananisha na ya mzabzab au Poor Brain 😂.
Acha kuangaloa mbwembwe wewe angalia core reason