Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

Nilipata fursa ya kutembelea Australia na New Zealand nilichojifunza ni hiki

Watu weupe walishajijengea Misingi na Mitizamo mizuri tokea zamani. Sababu walishajua maendeleo kwa sekta yeyote msingi mkuu ni Mtoto, Inatakiwa akazaniwe tokea udogoni, afundishwe kua Disciplined.

Mtoto anaezaliwa Australia hata kama ni Poor family utakuta anafundishwa kustaarabika toka akiwa mdogo hivyo anakua Mentallity perfect, Ijapo sio wote ila walau 7 ya 10.


Mentallity ya kijana wa miaka 25 Australia huwezi ukaifananisha na ya mzabzab au Poor Brain 😂.
Kwani mentality yao inatofauti gani nanyangu? Ata wao sii wanatafuta pesa ili wapate kukojolea mbususu za pisi kali.
Acha kuangaloa mbwembwe wewe angalia core reason
 
Wakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.

1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.

2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika ardhi yetu.

3. Upende usipende, Wazungu wametuzidi akili na maarifa ukitaka kujua hilo, tembelea mgodi wa GGM tu uone trailer, sasa Australia kuna migodi niliingia nikaishia kusema tu aaaah kmmk walai.

4. Mwisho kabisa naamini haikuwa sahihi kwa mwajiri kutupeleka Australia kujifunza, pale alipoteza gharama zake bure, sisi hatujafikia wala sioni tukifikia huko ila asanteni kwa exposure.

5. Operators wa mitambo ya migodini tembeleeni seek.com.au tafuteni deals japo si rahisi ila ukipata unaenda kuishi dunia nyingine kabisa kmmk.

6. NYERERE ASINGEWAFUKUZA WAZUNGU TUNGEKUWA MBALI SANA, KISWAHILI KIKATUZIKA KABISA.

Ni kawaida sana kuwa na mawazo kama hayo ukitembelea kwa mara ya kwanza nchi hizo. Hata mimi zamani nakumbuka nilivyoenda huko kuishi kwa mara ya kwanza, nilivyorudi huku nikaona ni ardhi na mbingu. Halafu nikawa naona watu wanapita kwenye hatari. Pale Ubungo Ubungo hapakuwa na barabara ya juu. Palikuwa na mataa. Namna umati wa watu ulivyokuwa unavuka. Nilikuwa naogopa kama watagongwa na kufa. Hapo hujataja mambo wakati mnatua Airport JNIA usiku jinsi taa zinavyokuwa shaghala baghala ukilinganisha na kule ambako ziko kwenye mpangilio mzuri nk.
 
Nilikua naongea na Mzungu mmoja alisema ninyi mna bandari harafu Nchi zote zinazowazungukq zinategemea bandari yenu ila Trucks kuingia Tanzania ni kama nayo ni bidhaa hiyo kodi yake pamoja na bara bara ndogo na mbovu kutoka Daslm mpaka Tunduma akili yenu imedumaa sana...yaani vile vitu vinavyotakiwa kuwasaidia Nchi ipate pesa ninyi ndio mnavipa kodi ya hatari wakati hivyo vitu vikiwepo mapato yatapatikana kwa kutoa mizigo mingi huko Bandarini na kwa wakati nikabaki kusema sawa tu..
Chama kimeshika hatamu sasa tufanyeje sisi walala hoi
 
Nilikua naongea na Mzungu mmoja alisema ninyi mna bandari harafu Nchi zote zinazowazungukq zinategemea bandari yenu ila Trucks kuingia Tanzania ni kama nayo ni bidhaa hiyo kodi yake pamoja na bara bara ndogo na mbovu kutoka Daslm mpaka Tunduma akili yenu imedumaa sana...yaani vile vitu vinavyotakiwa kuwasaidia Nchi ipate pesa ninyi ndio mnavipa kodi ya hatari wakati hivyo vitu vikiwepo mapato yatapatikana kwa kutoa mizigo mingi huko Bandarini na kwa wakati nikabaki kusema sawa tu..
Alikuwa sahihi sana.
 
Watu weupe walishajijengea Misingi na Mitizamo mizuri tokea zamani. Sababu walishajua maendeleo kwa sekta yeyote msingi mkuu ni Mtoto, Inatakiwa akazaniwe tokea udogoni, afundishwe kua Disciplined.

Mtoto anaezaliwa Australia hata kama ni Poor family utakuta anafundishwa kustaarabika toka akiwa mdogo hivyo anakua Mentallity perfect, Ijapo sio wote ila walau 7 ya 10.


Mentallity ya kijana wa miaka 25 Australia huwezi ukaifananisha na ya mzabzab au Poor Brain 😂.
Acha kunifananisha na watoto....
Alafu mi nimestaarabika sio kama huyo mzabzab mkuu...

Huyo jamaa kwanza ana historia chafu hapa jf na anasemaga kabisa kuwa yeye ni mtu wa dampo
 
Acha kunifananisha na watoto....
Alafu mi nimestaarabika sio kama huyo mzabzab mkuu...

Huyo jamaa kwanza ana historia chafu hapa jf na anasemaga kabisa kuwa yeye ni mtu wa dampo
Nakujua mzee wangu, Wewe ni Action oriented, maneno machache!!

Uliwahi kuisaidia ile pisi, ukaipeleka home, ilivyopona ukaiambia iwahi home chap. Kwanza wewe Mamitungi, mabangi no!

Na hapo mfukoni najua Tissue za kutosha, kuwekea kikombe cha coffee restaurant.

Wewe ni kazi kazi! 🙌
 
Nakujua mzee wangu, Wewe ni Action oriented, maneno machache!!

Uliwahi kuisaidia ile pisi, ukaipeleka home, ilivyopona ukaiambia iwahi home chap. Kwanza wewe Mamitungi, mabangi no!

Na hapo mfukoni najua Tissue za kutosha, kuwekea kikombe cha coffee restaurant.

Wewe ni kazi kazi! 🙌
Alafu yule demu sikumlamba japo alikua anatamani anipe nyapu ila nikamwambia "" am like your father "" 😀
 
Umeandika ulichojifunza Ila sijaiona Kama umejifunza chochote zaidi ya kulalamika.
Ziara Kama hizo zinawafaa wenye akili na sio kilaza Kama wewe, wenye akili wakitoka huko wanakaa chini na kujiuliza sisi tumekwama wapi na tufanyeje ili tujikwamue SEMA wewe ulienda kushangaa.
Kwa Tanzania hii kweli brother? Kama ningekuwa sijawahi yashuhudia mambo mengi kama usemavyo ningekubali ila hata mimi ningeumia tu.

Watu wanarudi toka sehemu kwenye mafunzo Technician anajaribu kutoa maoni yake nini kifanyike kwasababu pia kaenda nje na kajifunza katathimini kwa sisi inabidi tufanyaje alafu DG anauliza kwanza wewe una elimu gani? Kwa dharau then baada ya jibu alivyojua elimu ikasikika kaa chini. Hadi hao Engineers waliumizwa na hicho kitendo we unaacha experts vichwa unachukua watu kiundugu kwenye projects makini kabisa kwenye nchi.

Hapana bro acha watu waumie wanachoona kwa wenzetu.
 
Miaka 100 naona karibu sana tumedumaa karibu miaka 400 huko ndio wenzetu waliishi haya maisha ya kuhamaisishana mambo ya nyumba ni choo..
Mkuu 400 mbona ndogo tumedumaa miaka kama 100000000000000000000000000000000000 sijui nayo ni midogooo, ukiangalia miji kama New York, shaghai, Tokyo Seoul,los Angeles, San Diego, hamburger etc unasema kweli sisi tunaishi kwenye ujima
 
Back
Top Bottom