Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
Wewe jamaa ni Mentallity perfect 😆!Alafu yule demu sikumlamba japo alikua anatamani anipe nyapu ila nikamwambia "" am like your father "" 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe jamaa ni Mentallity perfect 😆!Alafu yule demu sikumlamba japo alikua anatamani anipe nyapu ila nikamwambia "" am like your father "" 😀
😂😂😂😂🙏Watu weupe walishajijengea Misingi na Mitizamo mizuri tokea zamani. Sababu walishajua maendeleo kwa sekta yeyote msingi mkuu ni Mtoto, Inatakiwa akazaniwe tokea udogoni, afundishwe kua Disciplined.
Mtoto anaezaliwa Australia hata kama ni Poor family utakuta anafundishwa kustaarabika toka akiwa mdogo hivyo anakua Mentallity perfect, Ijapo sio wote ila walau 7 ya 10.
Mentallity ya kijana wa miaka 25 Australia huwezi ukaifananisha na ya mzabzab zee la papuchi au Poor Brain mzee wa Action first maneno baadaye.
😂!
Hayo majamaa nyuma ya keyboard yako very smart, Haswa Poor Brain.😂😂😂😂🙏
Ahsante kmmk, nimefurahi kmmkWakuu, mnamo mwezi wa 7 mwaka 2023 nilipata fursa ya kutembelea Australia na baadaye New Zealand, kwakifupi NILIKATA TAMAA.
1. Hakuna namna Tanzania tunaweza kuwafikia hata wakiamua kutusubiri kwa miaka 100.
2. Niliona kabisa kuwa Waafrika wengi ni kama hatuna akili hasa tunapokuwa katika ardhi yetu.
3. Upende usipende, Wazungu wametuzidi akili na maarifa ukitaka kujua hilo, tembelea mgodi wa GGM tu uone trailer, sasa Australia kuna migodi niliingia nikaishia kusema tu aaaah kmmk walai.
4. Mwisho kabisa naamini haikuwa sahihi kwa mwajiri kutupeleka Australia kujifunza, pale alipoteza gharama zake bure, sisi hatujafikia wala sioni tukifikia huko ila asanteni kwa exposure.
5. Operators wa mitambo ya migodini tembeleeni seek.com.au tafuteni deals japo si rahisi ila ukipata unaenda kuishi dunia nyingine kabisa kmmk.
6. NYERERE ASINGEWAFUKUZA WAZUNGU TUNGEKUWA MBALI SANA, KISWAHILI KIKATUZIKA KABISA.
Jibu hilo unalo.Kwa hiyo unataka kusema kwamba sisi ngozi nyeusi tunahitaji kutawaliwa tena ili tusogee.
Aiseeeee.....Sawa ila kwanza kabisa ulipaswa kumshukuru mama... View attachment 3180636
Wenye akili wala hawahitaji kwenda kujifunza huko, wanafanya mambo kuoingana na mazingira yao. Tukubali tu kuwa kwa asilimia kubwa hakuna kitu, hatuna uwezo...unajifunza nini wakati teknolojia yote ipo kwao?Umeandika ulichojifunza Ila sijaiona Kama umejifunza chochote zaidi ya kulalamika.
Ziara Kama hizo zinawafaa wenye akili na sio kilaza Kama wewe, wenye akili wakitoka huko wanakaa chini na kujiuliza sisi tumekwama wapi na tufanyeje ili tujikwamue SEMA wewe ulienda kushangaa.
Wajinga ndio hawapendi kujifunza wanajifanya much know. Tofautisha akili na kuelimika.Wenye akili wala hawahitaji kwenda kujifunza huko, wanafanya mambo kuoingana na mazingira yao. Tukubali tu kuwa kwa asilimia kubwa hakuna kitu, hatuna uwezo...unajifunza nini wakati teknolojia yote ipo kwao?
hii ni kweli 100% ukitaka kuamini angalia tu humu majukwaa gani yanapendwa zaidiSisi mawazo yetu ni ngono na pombe
Huu Uzi mmekutana vichwa tupu ingawa wote ni machawaHayo majamaa nyuma ya keyboard yako very smart, Haswa Poor Brain.
Chawa? Kivipi? 😂!Huu Uzi mmekutana vichwa tupu ingawa wote ni machawa
Weupe wote uliowataja, wametupita, waarabu , wachina, wazungu na haipo namna yoyote tutawafikia. Mtoa mada apewe mauwa yake. Mbali na utawala mbovu wa Mwafrica bado fikra zake ni finyu. Unamuwekea umeme anaiba mafuta ya transformers na nyaya, unamuwekea maji anang'oa coke, unamuwekea taa za barabarani anapiga mawe nk nk nk. Mwafrica ni binadamu daraja la nne na la mwishoUkifika nchi kama Kanada utasema nini mwanangu? Huna haja ya kutudhalilisha kwa ushamba wako. Waafrika tuna akili ila ukoloni ulituchelewesha. Kuna siku tutawafikia tutakapopata viongozi na si chawa na wafuga chawa. Ulishafika Dubai au Sharjah, Manama na kwingineko au China? Hawa nao ni wazungu au ujinga na kutokujiamini kwako? Kifupi, tutakapoacha kushobokea ujinga kama dini na mila za kigeni, tutawakamata haraka tu.
Mgao wa chawa upo palepale chawa wa mama, chawa wa Mbowe,chawa wa Lisu, chawa wa Makamba, chawa wa Simba na Yanga, chawa wa Diamond na Ali kiba.Chawa? Kivipi? 😂!
Duuh! Mimi nitoe kwenye hiyo list mkuu, Mimi sio chawa.Mgao wa chawa upo palepale chawa wa mama, chawa wa Mbowe,chawa wa Lisu, chawa wa Makamba, chawa wa Simba na Yanga, chawa wa Diamond na Ali kiba.
Kwhy hata huyo Poor Brain nae ni chawa tu kama walivyo akina boni yai .... Nchi itabaki kuwa ya machawa forever!.dahari