RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Sasa unafikiri wenye hizo gari wanasumbuliwa na hizo bei? Unajua bei ya VW DSG oil? 55,000 per litre na inakunywa 6L na watu wanaendesha kama kawa.😀 sawa bwana! Basi watu wasingemiliki gari. Unacheza na 500k?
Hakuna service ya S class 150k njoo na stori nyingine