Nilipomuona Lissu jana hapa Mwanza machozi yalinitoka, hakika Mungu yupo na anaishi

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
A living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na za ulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
 
A living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na zaulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
Tundu Lissu ni muujiza wa kuwepo kwake, baada ya kumiminiwa risasi mfululizo 16 na bado anaishi, anatembea na wafuasi wake wamamfuata kila aendako.

Kama alivyosema mtumishi wa Mungu, Mwingira, kuwa I DON'T UNDERSTAND THIS MIRACLE!
 
A living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na zaulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
Then kuna wanaojiita manabii lakini hawauoni huu unabii..

16 bullets mwilini kwako usife...wewe ni nani wewe!! Yaani hata usipooze viungo vya mwili wako kweli..?? utembee bila magongo? Na uwe na kumbukumbu zote...aaa acheni utani enyi wanadamu wa kizazi hiki...

Msifikiri unabii utakuja kwa matarubenta.
 
Hiyo haitamusaidia kuwa rais!

Rais wa tz hachaguliwi kwa huruma
 
A living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na zaulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
ALiyetuma wakampige risasi anajuta sn
 
Pole mkuu.

Ila hio si dhamana ya kukwea Ikulu.
Dhamana ya kukwea Ikulu yatoka kwa Mungu, akikupa na ukitenda kinyume basi atakuondoa kama Saul au Nebukadneza au Nicolaus Cheusesco wa Romania au Samwel Doe.
Ishara za kumponya Lissu sisi tunazi tabiri kuwa kapona kwa kusudio maalum. Jee ni lipi hilo?
 
Utapata tabu sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wala sipati tabu,
mimi sometimes napenda awe.

Tatizo anamajivuno sana. Akiwa raisi nchi itamshinda mapema sana kuliko hata ilivyomshinda Magufuli.

JPM FOR 2020/2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…