Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Anayemshabikia magufuli mwenye roho ya kishetani nae ni shetani tu. Huwezi kuwa na roho wa Mungu kweli na ukamshabikia magufuliLol,
Unaniita Shetani kwa sababu tuna mitazamo tofauti.
Haya bye pepo.
Sawa,Muuwaji tu na wewe Ila muosha uoshwa
Ila kumbuka hakuna aliemkamilifu.Anayemshabikia magufuli mwenye roho ya kishetani nae ni shetani tu. Huwezi kuwa na roho wa Mungu kweli na ukamshabikia magufuli
Pole mkuu.
Ila hio si dhamana ya kukwea Ikulu.
Nimeshiriki mauaji ya nani ewe muongo.Hakutegemei wewe kama muuaji uliyeshiriki ktk laana ya kutaka kumuua lisu umpe kura,
Bali watu wa mungu wanatambua na watampa kura
Sioni tofauti yoyote kiuandishi Kati yako na huyo uliemuita Mrundi.[emoji855][emoji855]oneni huyu Mrundi na uandishi wake mmbovu rudi kwenu bujumbura uka jifunze kwanza kuandika vizuri kisha urudi apa
Nyie ni vibaraka wa matumbo yenu hampendi ukweli wala madiliko halafu ni vijana wadogo tu sijui mkizeeka mtakuwaje.Lissu atabaki kuwa mpinzani kuchangamshachangamsha tu Rais ni JPM.
Hata mimi nilitarajia Lissu hataweza hata kukumbuka jina lake,Mungu anatisha sanaA living miracle of our time, shalom wapendwa! Binadamu aliyelala usingizi wa mauti karibu miezi 3 kisha kunyanyuka kutoka usingizini huku akiwa hajapoteza kumbukumbu zake na zaulimwengu wake! Hakika Mungu yupo.
#Ni yeye 2020
Acha kutoa povu mkuu,jipangeni 2025 the game is over.Nizeeke mara ngapi? unaufahamu umri wangu,usikute unaweza kuwa hata mjukuu wangu.Nyie ni vibaraka wa matumbo yenu hampendi ukweli wala madiliko halafu ni vijana wadogo tu sijui mkizeeka mtakuwaje.
Kumbe ni wale wazee wa TANU waliozoea “zidumu fikra za mwenyekiti “, ndio maana nchi hii inabaki nyuma ya mataifa mengine pamoja na rasilimali zote hizi. Badilikeni.Acha kutoa povu mkuu,jipangeni 2025 the game is over.Nizeeke mara ngapi? unaufahamu umri wangu,usikute unaweza kuwa hata mjukuu wangu.
Nitabadilika iwapo wapinzani watakuja na sera zinazoeleweka na kuonyesha ushahidi hata wa 10% wa vituko wanavyopayuka majukwaani.Kumbe ni wale wazee wa TANU waliozoea “zidumu fikra za mwenyekiti “, ndio maana nchi hii inabaki nyuma ya mataifa mengine pamoja na rasilimali zote hizi. Badilikeni.
! Sisi ndio tumempenda na kuona anafaa kutuongoza kutokana na utashi na uelewa wake usiopingika kwenye uongozi utakaozingatia uhuru, haki na maendeleo.Pole mkuu.
Ila hio si dhamana ya kukwea Ikulu.
Tuonane October 28.Yaap
! Sisi ndio tumempenda na kuona anafaa kutuongoza kutokana na utashi na uelewa wake usiopingika kwenye uongozi utakaozingatia uhuru, haki na maendeleo.
Unadhani hilo jambazi la Burundi litaonewa huruma na Mungu?Mungu hatoi vyeo kwa huruma.