[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo si dk 15 tu utafika jamani nenda hadi mafinga angalauAsante umenitoa woga, kesho naanza kwa kutoka Iringa hadi Tosamaganga, safari yangu ndefu ya kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nia yako ni kufanya adventure huna haja ya kukimbizana na magari makubwa japo kiukweli ukiwa na boxer na ikiwa imekolea mwendo vizuri unaweza ukatembea umbali mrefu bila kupitwa na magari makubwa.Dah hongera mkuu ,hii kitu naiogopea magari makubwa njiani namna yanavyokupita ,unaweza jikuta mtaroni na huwa hawathamini pikipiki ,
Vp hii changamoto ulikabiliana nayo vp ,maana ujanja wangu pikipiki mwisho mjini,
Nenda Upanga mtaa wa Ally Khan maeneo karibu na Goete Institute unapoenda kuikuta Ally Hassan Mwinyi kuna mafundi pikipiki. Ukienda Muulize fundi Elisha.Mkuu hongera sana kwa hiyo adventure I wish ningekujoin ila poa kuna siku na mimi ntasafiri umbali mrefu na mnyama wangu kiboko ya boxer (discover 4valve)
hua naiita the navigator wenye boxer hua wananikoma barabarani na hapa nna mpango niibomoe yote ili niifanyie overhaul
anayejua fundi mzuri kwa dar anifahamishe tafadhaliView attachment 1435376
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini asitembee uck wakati barabara ya itigi tabora haina magariUzuri mwingine wa boxer haina mitetemo so haichoshi kivile ukienda nayo umbali mrefu.
Next time usitembee usiku bora uweke malengo ya sehemu ya kulala, lala utapokua umefika at 6 PM.
Hongera sana mtoa mada.
Umeanza vizuri , ila sasa ulipo malizia ndio nimebaki hoiBonge la wazo. Tungekuwa na tabia ya kujiorganize na kufanya safari za namna hii, wallah mnaweza izunguka hii nchi na kuitalii yote. Mnajipa muda wa kutosha, mnaanzia Kilwa, Mtwara, Ruvuma mnaitafuta Mbeya na Iringa, unachapa kichochoro Mnaibukia Dodoma.
mnapanda Singida Kahama, Ushirombo...Uhayani...mnapiga Gear mnabidukia Mwanza, Mara mnaikata kimbugambuga Serengeti inaibukia Arusha, Kilimanjaro Tanga mnachanja ya Saadani mnaibukia Bagamoyo...hapo mnaBwaga Moyo
Mnafikia hospitali kutibiwa migongo
Unaogopa niniHongera kijana, pia kuna jamaa alitoka mtwara to Iringa na Tvs!
Mi naendesha pkpk lkn kwa masafa yenu hayo naogopa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi huwezi amini , watu wenye magari makubwa ndio wastaarabu sana barabani ukilinganisha na hawa wengine hasa wa private car, na ukiwa barabarani na piki piki usikubali kuwa sambamba na mwenye gari kubwa au lori , hiyo ni kwa utafiti wangu.Dah hongera mkuu ,hii kitu naiogopea magari makubwa njiani namna yanavyokupita ,unaweza jikuta mtaroni na huwa hawathamini pikipiki ,
Vp hii changamoto ulikabiliana nayo vp ,maana ujanja wangu pikipiki mwisho mjini,
Unataka kusema hizi za Mo 5 gear sio lolote kwa zile za miaka hiyo mkuuSina mashaka nà boXer za miaka ya 2015 kurudi nyuma. maana zipo vizuri Sana
True story NiGa
Ma dem wanazingua sana kwenye piki piki, kuna mmoja mi nshawahi mwambia NJOO UENDESHE WEWE, akabaki kimyaHahahahaha ukisafiri na mwanamke kwenye pikipiki lazima akuzingue tu
Hakuna boxer hapoMzee aibu nami niliunge na kaTVS kangu hapo [emoji1787][emoji1787]View attachment 1435226View attachment 1435227
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mwaka gani mkuuDAR TO ARUSHA.safari ilikua tamu sana hakuna changamoto kama chombo kikiwa % 100 kizima nilitumia masaa nane na full tank mbiliView attachment 1435960View attachment 1435961
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi, mi naendeshaga rafu road km150 masaa mawili nanusu mpaka matatu, ukifanya calculation ni mule mule, anayebisha sio dereva wa pikipikiKabla ya kubisha ni bora ungejua Dar to Dom ni kilomita ngapi?(457) mie nimetumia wastani wa karibu masaa 7 haya niambie shida ipo wapi hapo?