Nilisafiri kwa pikipiki Dar mpaka Tabora

Nilisafiri kwa pikipiki Dar mpaka Tabora

Na sio hapo kumbuka hata ule muda ambao nilifika Tabora nilifika sawa na mabasi yanayotoka Dar lengo halikuwa kushindana na muda mwenyewe katika safari yangu nilikuwa na target zangu hasa kwenye mwendo na usalama wangu mwenyewe ukizingatia usafiri niliokuwa nautumia , halafu kuna hali ya bara bara dar to dom magari ni mengi barabarani kuliko ukitoka pale dom kuelekea singida kidogo kule gari zinapungua barabarani
Asante umenitoa woga, kesho naanza kwa kutoka Iringa hadi Tosamaganga, safari yangu ndefu ya kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna jamaa wanafanya hapa Tanzania wacheki Instagram wanaitwa Dar Bikes and Coffee huwa wanafanya tour. Nimewahi kuwaona mara nyingi wakienda Arusha kwa Misafara maeneo ya Korogwe.

Hawa wanafanya utalii wa kuzunguka maeneo mbalimbali, wengi wana pikipiki za maana.
Lakini isijekuwa wale waenda mbio bila life assurance. Mi napenda kusafiri lakini sio kufa, kuna kikundi cha watu wa ajabu niliwahi kukutana nao Mkomazi wakiwa kwenye mwendo ambao sidhani kama dharura ikitokea uhai wako una guarantee. Ngoja niwacheki hawa ulioniambia, thanks!
 
Mkuu kuna jamaa wanafanya hapa Tanzania wacheki Instagram wanaitwa Dar Bikes and Coffee huwa wanafanya tour. Nimewahi kuwaona mara nyingi wakienda Arusha kwa Misafara maeneo ya Korogwe.

Hawa wanafanya utalii wa kuzunguka maeneo mbalimbali, wengi wana pikipiki za maana.
Mzee aibu nami niliunge na kaTVS kangu hapo [emoji1787][emoji1787]
IMG_20200430_105500.jpg
IMG_20200430_105441.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini isijekuwa wale waenda mbio bila life assurance. Mi napenda kusafiri lakini sio kufa, kuna kikundi cha watu wa ajabu niliwahi kukutana nao Mkomazi wakiwa kwenye mwendo ambao sidhani kama dharura ikitokea uhai wako una guarantee. Ngoja niwacheki hawa ulioniambia, thanks!
Hawa wengi ni watu wazima tena wanaojitambua. Vijana wapo wachache sana, sisi vijana mwisho wa kucheza ni Tanganyika packers.
 
mkuu umetumia lita ngapi,na muda gani?
manake mimi luti za dar mwanza ni nyingi kama vp na mm nimenye boxer yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Mara ya kwanza jaribu route za umbali wa kawaida kama Dar kwenda Moro.

Njia yenye changamoto sana ni Dar-Morogoro-Iringa-Mbeya hii ina magari mengi sana na kuna madereva wengine hawajali hivyo unakuwa unaendesha kwa kujiami.
 
Dah hongera mkuu ,hii kitu naiogopea magari makubwa njiani namna yanavyokupita ,unaweza jikuta mtaroni na huwa hawathamini pikipiki ,

Vp hii changamoto ulikabiliana nayo vp ,maana ujanja wangu pikipiki mwisho mjini,
Una boxer upitwe na gari kubwa
 
Mkuu hongera sana kwa hiyo adventure I wish ningekujoin ila poa kuna siku na mimi ntasafiri umbali mrefu na mnyama wangu kiboko ya boxer (discover 4valve)

hua naiita the navigator wenye boxer hua wananikoma barabarani na hapa nna mpango niibomoe yote ili niifanyie overhaul

anayejua fundi mzuri kwa dar anifahamishe tafadhali
images.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom