Kuna TAZARA, kwa nini isitumike?Mkuu, ukijadiliana na watu wanaotumia emotions utachoshwa! Kama mradi huu unakosa pesa zote ningepeleka SGR hadi Manyoni (kuondoa congestion Dodoma) na kisha nikatoa SGR Dodoma mpaka Tunduma. Kosa ninaloliona kwa SGR ni kuipeleka Mwanza badala ya kusini ambako kuna Malawi, Zambia na super-rich DRC. Otherwise SGR si upotevu wa pesa kama mradi unakamilika on time and budget!
Ilikuwa, sasa haifanyi? Mahitaji ni kiasi gani na kinachofanyika ni asilimia ngapi?Nakumbuka ilikuwa inafanya sana na hata Kuna kipindi walitangaza idadi ya metric tonne za mizigo walizosafirisha na ikionekana iliongezeka Kwa karibu 200%
Ukweli usemwe hizi akili za kutaka kufanya Jambo kubwa wakati dogo bado Ni kipuuzi.......robo tatu ya barabara za Lindi na Mtwara zinazounganisha wilaya zake hazina lami...Umetumwa na wamiliki wa Malori weye hivi mfano mizigo makontena 100 yavutwe na kichwa 1 Cha treni kutoka Dar Hadi labda Itigi Kisha Malori yapeleke huko wilayani huoni gharama kubwa inakuwa imeokolewa au Makonte yaende Hadi Mwanza hata mafuta yakisafurishwa Kwa Reli bei inapungua kuliko Kwa Njia ya barabara, duniani kote usafiri wa Reli ni WA nafuu zaidi
Kama haifanyi kazi Hilo litakuwa tatizo la watawala ila wajue tu SGR ni ishu ambayo CCM wasipokuwa makini watakosa kura 2025 kama wakileta mchezo watajutaIlikuwa, sasa haifanyi? Mahitaji ni kiasi gani na kinachofanyika ni asilimia ngapi?
SGR inaweza kuwa Masaa 6 hadi 8 Mwanza to Dar kwasasa safari ya Dar Mwanza kwa reli siku tatu watu wanafika wamevimba miguu direct to hospital!Kuna TAZARA, kwa nini isitumike?
Hata hivyo, hakukua na uhitaji wa SGR kwa haraka kiasi hicho kwa kuwa kuna reli ya kati na hata matumizi yake bado yapo chini sana.
Umasikini wa fikra unaweza kuhusika hapa.
Ni kweli laweza kuwa tatizo 2025.Kama haifanyi kazi Hilo litakuwa tatizo la watawala ila wajue tu SGR ni ishu ambayo CCM wasipokuwa makini watakosa kura 2025 kama wakileta mchezo watajuta
Sawa kabisa. Lakini siyo kwa haraka hivyo iharibu mpango mingine ya maendeleo.SGR inaweza kuwa Masaa 6 hadi 8 Mwanza to Dar kwasasa safari ya Dar Mwanza kwa reli siku tatu watu wanafika wamevimba miguu direct to hospital!
SGR sio yetu ni ya watoto wetu mkuu wataishi kishujaa
SGR itawezesha mtu anaeishi Dodoma kufanya kazi Dar au Singida. Wa Mwanza wataweza kufanya kazi Dodoma.
Inategemea unaishi wapi, ila nikueleze tu kwasasa Dola ndiyo inaisaidia CCM kushinda siku wananchi wakichoka itakuwa balaa wananchi wanajitambua sana uelewa wao umekuwa mkubwa haswa miaka ya karibuniNi kweli laweza kuwa tatizo 2025.
Hata hivyo, wapiga kura wengi hawajui maana au umuhimu wa kura yao, hufuata mkumbo kama nyumbu.
Una maana gani unaposema hauwagusi watanzania wengi? Kwani reli ya kati au mabasi yanawagusa watanzania wengi? Mbona wengine wanaruka na ndege tu?Jana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
Sema ni wewe haujaufurahia!! Watanzania walio wengi tunaufurahia sana mradi wa SGR. Mabeberu ndio hawaupendi! Kama kuna kitu Rais Samia anatukuna watanzania ni kuendeleza miradi aliyoianza Magufuli. Akifanya hivyo tunajikuta tunamsamehe bure hata mapungufu mengine tunayoyaona kwake!Jana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu. Moja ya
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
mkuu watu wanaojielewa wako JF wengine wako bize na mambo yao!Inategemea unaishi wapi, ila nikueleze tu kwasasa Dola ndiyo inaisaidia CCM kushinda siku wananchi wakichoka itakuwa balaa wananchi wanajitambua sana uelewa wao umekuwa mkubwa haswa miaka ya karibuni
Unajisemea mwenyewe mkuu, halafu unawaunganisha waTanzania wengi wawe ni kupitia kwa mawazo yako.Jana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu.
Natembea sana Vijijini Hali siyo kama unavyozani kadri maisha yanavyokuwa magumu na utandawazi unavyoongezeka ndivyo mabalidiko yapo huko usiichukulie rahisi kihivyomkuu watu wanaojielewa wako JF wengine wako bize na mambo yao!
Kwanza ni hivi maisha ya mtanzania kwa sehemu kubwa tunaumia sana kwa gharama za usafirishaji mfano unatoa semi yenye nondo moja kutoka dar mpaka karagwe na wakati mzigo huo ungeweza kubebwa kweye train kwa mabehewa ya kutosha na mzigo ukashushwa Bandari kavi ya Isaka unapunguza sana gharama ya usafurishaji na kugusa sehemu kubwa ya awananchiJana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
Hebu nenda kasome kuhusu Kenya, Wana uchumi mkubwa kuliko sisi na SGR yao sio ndefu kuliko yetu, deni wameshindwa kulipa, imebidi wakope IMF kulipa deni la Wachina
Yaani unakabwa hadi unakopa huku iliukalipe kule
Uelewa bado, ni sehemu chache sana zinazoweza kuwa uwezekano sawa wa ushindi kati ya chama tawala na upinzani.Inategemea unaishi wapi, ila nikueleze tu kwasasa Dola ndiyo inaisaidia CCM kushinda siku wananchi wakichoka itakuwa balaa wananchi wanajitambua sana uelewa wao umekuwa mkubwa haswa miaka ya karibuni