Nilishangaa Waziri Mbarawa kutumia muda mwingi kuelezea mradi ambao watanzania hawautaki

Nilishangaa Waziri Mbarawa kutumia muda mwingi kuelezea mradi ambao watanzania hawautaki

Nikiangaliae walichotufanyia Kihonda kutuwekea tuta na kuziba njia kuu kiasi cha watu kushindwa kundelea na biashara zao kutokana na ukosefu wa wapita njia amebao ndio walikua wateja wakuu....
 
Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Hii agenda alikuja nayo Mbunge mmoja kutoka Tabora sikumbuki ni wa jimbo gani, ila alikuwa anaitwa Lucas Selelii kama sikosei, hata hivyo alionekana ni mwiba kwa hiyo awamu tajwa
 
Hakuna nchi yenye watu walio na usawa wa kipato, wasioweza kupanda watanufaika kivingine kutoka katika mapato ya hiyo.
 
Kusini itabeba vitu gani? Mazao ama? Kumbe kilichokuuma ni kutofika kusini ila siyo kwamba huitaki, haya iliyokuwepo ilibeba vitu gani kutoka mwanza to dar? Hv hiyo sgr ni ya mizigo tu ama ipo na ya abiria?
Kwa hiyo nilivyosema kusini unajua ni mtwara tu?
Unafahamu lango kuu la nchi za sadc ni huko kusini
Payback ya Sgr itategemea sana mizigo sio abiria na duniani kote formula ya vyombo vya usafiri ni hiyo
 
SGR inapita katika mikoa 10. Kwa nini unaona haiwagusi watanzania wengi...!? Au bado unataka tubaki enzi za chukuchuku train......!!?
Reli kwa Africa ni usafiri wa mizigo, usafiri wa watu( wagonjwa, wenye mikokoteni, baiskeli,bodaboda, nk) ni barabara. Kama umewahi kuishi maeneo aliyotaja mtoa maada utakuwa umeelewa
 
Kule tuna Reli ya Tazara ambayo haitumiwi vema na nchi zetu za Zambia na Tanzania, huwa nasikitika kuona kijana hajui faida ya Reli
Reli inalipa kusafirisha mizigo. Mizigo hipatika kwa kuwa na uzalishaji wa viwanda au wa kilimo au uvunaji wa rasilimali. Sie tuna uzalishaji upi ikiwa hata liganga na mchuchuma zimetushinda
 
Umetumwa na wamiliki wa Malori weye hivi mfano mizigo makontena 100 yavutwe na kichwa 1 Cha treni kutoka Dar Hadi labda Itigi Kisha Malori yapeleke huko wilayani huoni gharama kubwa inakuwa imeokolewa au Makonte yaende Hadi Mwanza hata mafuta yakisafurishwa Kwa Reli bei inapungua kuliko Kwa Njia ya barabara, duniani kote usafiri wa Reli ni WA nafuu zaidi
Watu wengine hawapendi kufikiria mbona hasema ndege zinaenda mikoa 5 au 6 tu au alitaka pia mikoa yote? SGR ni mradi wa kimkakati ni mradi bora sana kwa future ya nchi hii.
 
Hata mradi uliojengwa na wakoloni reli ya kati ulipata sehemu mwisho wa siku ulikuwa unamgusa kila mtu hata wa pembeni na SGR imepita kulekule. Mikoa ya kati watachukulia mizigo Dodoma mpaka mikoa ya Iringa, Mbeya, Arusha Dodoma ni karibu kwao kuliko Dar na foleni hakuna na mikoa kama ya mingine ya Magharib watabeba huko huko itapunguza gharama kubwa na magari kujazana bandarini Dar.
 
Kusini itabeba vitu gani? Mazao ama? Kumbe kilichokuuma ni kutofika kusini ila siyo kwamba huitaki, haya iliyokuwepo ilibeba vitu gani kutoka mwanza to dar? Hv hiyo sgr ni ya mizigo tu ama ipo na ya abiria?
Tatizo sio Mwanza elewa Kaka ,,,Tunachosema hapa Ni kuwa Serikali inadili kupeleka matrilioni kwny miradi ya miaka 10 nzima wakati Kuna wilaya toka Uhuru mpk leo hazina maji Wala barabara ...wakati Kuna maeneo haya wanayokazania SGR Yana lami,maji ,umeme ,viwanja vya ndege na reli ...huu Ni upuuzi na unapaswa kupigiwa Kelele ukomeshwe..
 
Ambavyo hauko organized katika hoja zao inaonyesha huna uelewa wa mambo. Mambo ya maji hayana uhusiano na Wizara inyaohuiska na mambo ya uchukuzi na usafirishaji. Kuhusu kujenga SGR haina maana kuwa hawajengi barababara; mambo yanakwenda pamoja. Kama wewe hupendi mradi huo usiseme watanzania wengi hawautaki. Tabia ya kutaka kila mtu afurahishwe na mambo yanayofanwa na serikali ni upuuzi. Ukaisema umalize kujenga barabara zote, by the time unamaliza kujenga ile barabara ya mwisho, wale walipata barabara ya kwanza watakuwa wanalalamika kuwa birabara imeshabomoka. Utakuwa unauridia yale yale.
Hivi unaelewa tunachokisema hapa..au ndio kazi ya wapiga mapambio tu...


Tunachokisema hapa sio hatuutaki mradi wa SGR...TATIZO Ni ule ukasumba wa viongozi kuelekeza miaradi yote upande mmoja huku Tena ya Matrilioni ya pesa wakati maeneo mengine hayapelekwi...

Mfano huku mnakolazimisha kwenda SGR YENU..Kuna maji,umeme,barabara nzuri ,viwanja vya ndege na reli ya awali...huku maeneo au mikoa mingine hata maji Wala barabara huu Ni upuuzi lazima upigiwe kelele
 
Unawezakuta watu kama hawa ndio washauri wakuu wa wanaofanya maamuzi ya nchi kwa maana kinachoendelea sasa hakitofautiani na mawazo yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ya SGR? Au train ya kawaida na ilikuwa daraja lipi?
Train ya kawaida sio SGR kutoka dar to Morogoro kwa kawaida ni masaa 6 hadi 8 kama sijakosea halafu nauli nikaambiwa 8700 halafu ya bus elfu 8 ukipanda coaster elfu 7 ilikuwa mwezi wa 3
 
Tatizo sio Mwanza elewa Kaka ,,,Tunachosema hapa Ni kuwa Serikali inadili kupeleka matrilioni kwny miradi ya miaka 10 nzima wakati Kuna wilaya toka Uhuru mpk leo hazina maji Wala barabara ...wakati Kuna maeneo haya wanayokazania SGR Yana lami,maji ,umeme ,viwanja vya ndege na reli ...huu Ni upuuzi na unapaswa kupigiwa Kelele ukomeshwe..
Ungemsikiliza mwenzako alichokisema usingenicrush. Ila kumbuka kuna miradi ya muda mrefu na ya muda mfupi so SGR acha ikae kwenye long term na barabara ztashughulikiwa kila mwaka kulingana na uhitaji. Wilaya zisizo na maji mbona serikali inapambana nayo kila mwaka kwenye bajet za wizara ya maji. Tena zingepunguziwa bajeti sawa lkn bajet zake hupanda kila mwaka so ztafikiwa tu.
 
Hivi unaelewa tunachokisema hapa..au ndio kazi ya wapiga mapambio tu...


Tunachokisema hapa sio hatuutaki mradi wa SGR...TATIZO Ni ule ukasumba wa viongozi kuelekeza miaradi yote upande mmoja huku Tena ya Matrilioni ya pesa wakati maeneo mengine hayapelekwi...

Mfano huku mnakolazimisha kwenda SGR YENU..Kuna maji,umeme,barabara nzuri ,viwanja vya ndege na reli ya awali...huku maeneo au mikoa mingine hata maji Wala barabara huu Ni upuuzi lazima upigiwe kelele
Kwenye post yako ujmemzungumzia waziri Mbarawa kama vile ndiye ana wajibika na mambo yote hayo. Kuna anayowajibika nayo ambamo kubwa ni hilo la SGR, lakini pia kuna barabara na viwanja vya ndege, na aliyaongelea yote; l lakini wewe hutaki kusikia akiongelea SGR kwa vile ilianzishwa na Magufuli.
 
Kwa hiyo nilivyosema kusini unajua ni mtwara tu?
Unafahamu lango kuu la nchi za sadc ni huko kusini
Payback ya Sgr itategemea sana mizigo sio abiria na duniani kote formula ya vyombo vya usafiri ni hiyo
Kama dar to kanda ya ziwa itajaza sana ni sawa. Muda huo inajengwa si tunbuni miradi ya kutoka kanda ya ziwa kwenda dar maana ni fursa hiyo.
 
SGR ni muhimu ili kuokoa gharama za matengenezo ya barabara yq mara kwa mara

lakini ungesema madaraja kama lile la Mwanza.. yawekwe kipaumbele cha mwisho kama ilivyo Flyover

Kipaumbele kiwe BARABARA+SGR


Badala ya madaraja makubwa kama Busisi na flyovers
 
Kwenye post yako ujmemzungumzia waziri Mbarawa kama vile ndiye ana wajibika na mambo yote hayo. Kuna anayowajibika nayo ambamo kubwa ni hilo la SGR, lakini pia kuna barabara na viwanja vya ndege, na aliyaongelea yote; l lakini wewe hutaki kusikia akiongelea SGR kwa vile ilianzishwa na Magufuli.
Mkuu Kwanza Sijamzungumzia Mbarawa,,lkn pia usinitamkishe maneno Mimi Sina ugomvi na Magufuli na Hakuna comment yangu utakayoiona nimemsema vibaya...

Hoja Ni kuwa vingozi wetu Ni wabovu katika kuchakata changamoto za wananchi...Tatizo hili toka Zama za mwalimu...Vingozi wamekuwa wakielekeza miradi sehemu ambazo wanahisi ugumu wakati wa kampeni ...mifano Ni mingi Sana..Hoja yangu Ni moja tu kupeleka SGR ,barabara za lami,viwanjavya ndege na hapohapo Kuna reli,,,wakat Kuna majimbo ya nchi hii hayajui maji Safi Ni nn Wala lami hawajui....toka Uhuru mpk leo .
 
Umetumwa na wamiliki wa Malori weye hivi mfano mizigo makontena 100 yavutwe na kichwa 1 Cha treni kutoka Dar Hadi labda Itigi Kisha Malori yapeleke huko wilayani huoni gharama kubwa inakuwa imeokolewa au Makonte yaende Hadi Mwanza hata mafuta yakisafurishwa Kwa Reli bei inapungua kuliko Kwa Njia ya barabara, duniani kote usafiri wa Reli ni WA nafuu zaidi
kuna mwingine humu ndani naye alikuja na argument ya kwamba haoni umuhimu wa kuwa na treni na akahitaji takwimu mm nilimwona ni kituko cha mwaka kwa mtu mwenye akili timamu kubeza usafiri wa treni.wakoloni hawakuwa wajinga kujenga reli ya kati lkn leo mtu anaona reli haina umuhimu lkn anachokiona cha muhimu ni bara bara.hafahamu ili kusafirisha mizigo mizito unahitaji reli.na hajui kuwa malori ya mizigo yanharibu bar bara.
 
kuna mwingine humu ndani naye alikuja na argument ya kwamba haoni umuhimu wa kuwa na treni na akahitaji takwimu mm nilimwona ni kituko cha mwaka kwa mtu mwenye akili timamu kubeza usafiri wa treni.wakoloni hawakuwa wajinga kujenga reli ya kati lkn leo mtu anaona reli haina umuhimu lkn anachokiona cha muhimu ni bara bara.hafahamu ili kusafirisha mizigo mizito unahitaji reli.na hajui kuwa malori ya mizigo yanharibu bar bara.
Tatizo ni nchi kuwa na vijana wasiosoma mambo ya usafirshaji na kuelewa barabara ni gharama tungeneza na kuzitunza ni kazi sana Kila baada ya miaka kadhaa lazima ufanye matenegezo
 
Back
Top Bottom