Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
😂😂😂Haiko hivyo katembee uone hata huko Katavi, Songwe, Rukwa, Ruvuma one haiko kama unavyofikiriUelewa bado, ni sehemu chache sana zinazoweza kuwa uwezekano wa ushindi kati ya chama tawala na upinzani.
Mikoa chini ya kumi kwa Tanzania Bara na Zanzibar ni yote.
Kwa kutaja bila mpangilio maalum ni Zanzibar, Kilimanjaro, Dare salaam, Mbeya, Kigoma, Kagera, Arusha, Mwanza na Mara.
Bado kazi kubwa inahitajika kuamsha fikra za wananchi kuhusu demokrasia.
Nimetembea kiasi chake, vijijini bado hawajui chochote kujiamulia, anachosema mtu wa serikali au dini ndicho hicho hicho.😂😂😂Haiko hivyo katembee uone hata huko Katavi, Songwe, Rukwa, Ruvuma one haiko kama unavyofikiri
Sgr kupita kwenye mikoa mingi sio hoja , je hiyo mikoa iko kwenye production pipeline ya kulisha Sgr?SGR inapita katika mikoa 10. Kwa nini unaona haiwagusi watanzania wengi...!? Au bado unataka tubaki enzi za chukuchuku train......!!?
Mikoa Gani labda?Nimetembea kiasi chake, vijijini bado hawajui chochote kujiamulia, anachosema mtu wa serikali au dini ndicho hicho hicho.
Umesahau kuwa kuna reli ya TAZARA ambayo ndio ilikuwa lengo lake hilo; kuhudumia mikoa Pwani, Morogoro, na ya kusini nyanda za juu pamoja na nchi jirani!! Sasa TAZARA na umuhimu wake wote tumeitekeleza badala ya kuiimalisha matokeo yake ndio hayo ya kuelekeza nguzu zote kwenye SGR mradi ifike MWANZA!!Mkuu, ukijadiliana na watu wanaotumia emotions utachoshwa! Kama mradi huu unakosa pesa zote ningepeleka SGR hadi Manyoni (kuondoa congestion Dodoma) na kisha nikatoa SGR Dodoma mpaka Tunduma. Kosa ninaloliona kwa SGR ni kuipeleka Mwanza badala ya kusini ambako kuna Malawi, Zambia na super-rich DRC. Otherwise SGR si upotevu wa pesa kama mradi unakamilika on time and budget!
SGR yetu unajua hadi sasa imekamilila kiasi gani? Hata robo sidhani kama inafika, na unajua imekula hela kiasi gani? Deni letu sasa ni trilioni 80 na ongezeko kubwa limetokea katika SGRmkuu hujui SGR yetu ni wazo likitoka Kenya waliposhindwa kuimaliza SGR yao kwa ufisadi uliotukuka wa mawaziri wawili. Iliishia Naivasha na kushindwa kutimiza lengo la kuunganisha bandari ya Mombasa na nchi jirani kwa usafiri wa uhakika na wa haraka!!
mf unakopa pesa benki unaanzisha jengo uweke maduka kabla hujamaliza mwanao anaiba na kutokomea South unabaki kukabwa koo na benki na jengo halina duka hata moja!
SGR yetu ikiisha Dar Mwanza to Kigoma Kenya watakuwa wakikuona wanasonya! Mkuu huu ni mradi wa akili kubwa ya mbele not for us! Bandari ya Mombasa itadorora kuliko unavyofikiria.
Kumbuka SGR is not for ADULTS!
SGR ikiisha yote Mwanza na Kigoma watoto wa Kibongo watakuwa na sifa na kutetema Africa nzima na watasema Wazee wa kibongo wako smart sana upstairs!! watatuenzi!
SGR yetu unajua hadi sasa imekamilila kiasi gani? Hata robo sidhani kama inafika, na unajua imekula hela kiasi gani? Deni letu sasa ni trilioni 80 na ongezeko kubwa limetokea katika SGR
Piga hesabu sasa hakuna kipande hata kimoja kilichokamilika kwa 100% na deni ni trilioni 80
Ambalo ukilinganisha na GDP yetu tayari ni halina afya
Kiwanja kiitwe Sugu international Airport!Umesahau kuwa kuna reli ya TAZARA ambayo ndio ilikuwa lengo lake hilo; kuhudumia mikoa Pwani, Morogoro, na ya kusini nyanda za juu pamoja na nchi jirani!! Sasa TAZARA na umuhimu wake wote tumeitekeleza badala ya kuiimalisha matokeo yake ndio hayo ya kuelekeza nguzu zote kwenye SGR mradi ifike MWANZA!!
Wabunge wa mikoa ya nyanda za juu kusini wanaomba kiwanja cha Ndege kipewe jina la TULIA badala ya kuomba na kuhimiza Serikali kuimalisha reli ya TAZARA!
wataje wapigaji Mama awaparure!Kwenye huu mradi kuna upigaji wa kiwango cha 5G!!!
Kiwanja kiitwe Sugu international Airport!
Hana ubavu huo!wataje wapigaji Mama awaparure!
Na katika bajeti ya mwaka huu hakuna mradi mkubwa wa maji wala barabara moja ktk mikoa ya kusini [emoji26][emoji26]na PM yupo anajua anashindwa kubalance distribution ya national cake [emoji706][emoji706]Ukweli usemwe hizi akili za kutaka kufanya Jambo kubwa wakati dogo bado Ni kipuuzi.......robo tatu ya barabara za Lindi na Mtwara zinazounganisha wilaya zake hazina lami...
Robo tatu au tuseme asilimia 98 ya wakazi wa Lindi na Mtwara hawana maji salama mpk leo wanamkamua chura mtoni ....hivi nyie vingozi mnajua kweli mahitaji was wananchi....
Halafu wewe unasimama kwa kubana pua eti mikoa nn....halafu kwny kampeni unakuja Tena kuomba kura .....
Halafu wewe utakuwa umekulia IKULU TU...
PM anawatumbua kwanza akimaliza lazima atageukia pande hizo ni mtu makini sanaNa katika bajeti ya mwaka huu hakuna mradi mkubwa wa maji wala barabara moja ktk mikoa ya kusini [emoji26][emoji26]na PM yupo anajua anashindwa kubalance distribution ya national cake [emoji706][emoji706]
Waza nje ya box kijana ,akili yako haina akiliJana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
Hata hajuiSGR inapita katika mikoa 10. Kwa nini unaona haiwagusi watanzania wengi...!? Au bado unataka tubaki enzi za chukuchuku train......!!?
Kuna kaukanda kalikua na wazo la kujitenga na kuungana na Rwanda. Walijipanga muda mrefu sana. Mr. Slim ni smart sana kwenye siasa za kupora maeneo ya majirani.Jana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
Watanzania wangapi? Uliitisha kura ya maoni kuwauliza?Jana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
SGR itabeba mpka mchanga wa dhahabu... Bado pamba, Michele, kahawa, mawese, tumbaku, karanga, sunflower seeds etc.... Tuongeze tu uzalishaji. Reli Mwanza inasarve Kagera na Mara.... The biggest population ya nchi iko lake Victoria.Sgr kupita kwenye mikoa mingi sio hoja , je hiyo mikoa iko kwenye production pipeline ya kulisha Sgr?
Dar mwannza sgr itarudi empty mana hakuna cha kubeba kuja Dar
Tuweke rekodi vizuri. Mradi wa SGR ulianza kupigiwa sana upatu na serikali ya awamu ya nne. Tofauti ni kwamba kwa mipango ya awamu hiyo mabehewa yangevutwa na vichwa vya dizeli badala ya umeme.Jana wakati waziri wa ujenzi na uchukuzi anahitimisha hoja zake kimsing iangetueleza mpango wa kujenga barabara kuunganisha wilaya zetu na mikoa kuliko kuelezea mradi wa SGR. Huu mradi ni wazi watanzania wengi hawajaufurahia kwani hauwagusi watanzania wengi unapitia sehemu chache sana kulinganisha na ukubwa nchi yetu. Ushahidi ni kuwa ni km hakuna wabunge walioujadili, asilimia 96 walijadili barabara zilizo katika maeneo yao. Rais aliyejua mahitaji ya watanzania ni Jakaya Mrisho Kikwete. Mwaka 2010 alikuja na ajenda ya kuunganisha mikoa kupitia makao makuu ya mikoa. Vilevile aliunganisha nchi yetu na nchi za jirani kupitia mipaka yetu.
Kiukweli kwa mtazamo wangu matrilioni yaliyopelekwa kujenda SGR yangetumika kuunganisha wilaya zetu na kumalizia kuunganisha mikoa iliyobaki. Kwa mfano kwa mkoa wa Morogoro ijengwe barabara ya Ifakara-Kilombero-Mahenge-Malinyi-Mwaya na kuunganisha Morogoro - Songea na Njombe. Ijengwe Barabara ya Handeni-Kiteto-Kondoa. Same-Simanjiro-Arusha. Barabara ya Karatu-Mbulu-Haydom-Nduguti-Gumanga-Ibaga-Sibiti-Meatu-Lalago-Kolandoto na Lalago-Maswa. Barabara nyingine muhimu kama ya Karatu-Matala-Meatu. Barabara ya nafikiri Kilindi-Turiani-Dumila-Kilosa
Hii ni mifano michahe ninayoweza kuitoa. Hizi barabara zingegusa maisha ya watanzania moja kwa moja Tanzania yetu ingependeza sana. Matrilioni yanayotumika kujenga SGR yangeelekezwa ktk hizi na zingine zinazofanana na hizi.
mkuu tafuta glasi ya maji baridi upoze Moyo naona unachukia sana watu flani akili ndogo!! huna cha kufanya kuwasaidia!!Halafu wakitoka hapo wanakwambia maza anaupiga mwingi.
Hivi katika maraisi wote wa Africa ionekane Tanzania tu ndio inafanya vizuri kwenye miundombinu; huyo bi tozo mwenyewe kwenye speech aliona aibu imebidi apeleke shukrani kwa Magufuli kama mtu anaestahili hiyo tozo sio yeye.
Kwa ivyo wewe unafananisha uchumi wa mikoa na nchi za Rwanda, Burundi na Congo; ebu nenda kaulize bandarani asilimia kubwa ya Cargo ni ya nchi gani.
Ni kupoteza muda kuangaika na watanzania ambao asilimia kubwa ni malimbukeni kweli; yaani natamani hii nchi ipate dictator mmoja wa ukweli awatie watanzania adabu.
Hii nchi kuna watu wengi awaelewi ata dunia inavyozunguka; anahitajika mtu wa kuwapa perspective.
Bi Tozo ametukosea sana kutoka kwenye barabara ya kuwatia adabu watanzania; hawa watu wanadhani things just happen in life na wengi ni wale ambao awajai kuangaika kutafuta kwa jasho katika maisha.
Yaani kuna watu utafutaji wao ni kupitia serikali tu; awaelewi nini kinahitajika kuliendeleza taifa.