Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,890
- 8,647
Wanamatatizo gani mkuu..yujuze kidogoWanaume wakislamu wanamatatizo yao tungepewa hiyo nafasi sisi Wanaume wakikristo tungepunguza Hilo wimbi lakuachika shida Ndio hivyo Wazazi wao wanatubania kuwaoa watoto wao
We acha tu. Ila cha ajabu Wanaume wa kiislam mbona wao wanachumbia tu mabinti wa Kikristo? na wanaambiwa hiyo ni thawabu ya kumleta mtu wa dini nyingine kwenye uislam.Nimewaza mengi mkuu..daah hizi dini hizi..
We acha tu. Ila cha ajabu Wanaume wa kiislam mbona wao wanachumbia tu mabinti wa Kikristo? na wanaambiwa hiyo ni thawabu ya kumleta mtu wa dini nyingine na kumleta kwenye uislam.
Naona inataka kujiongezea wafuasi tu.We acha tu. Ila cha ajabu Wanaume wa kiislam mbona wao wanachumbia tu mabinti wa Kikristo? na wanaambiwa hiyo ni thawabu ya kumleta mtu wa dini nyingine na kumleta kwenye uislam
Haya, umuoe sasa.Unaweza ukaongea hivyo ila wengine tupo kwenye field tunajionea ndio maana kuna siku nilimuuliza muislamu mmoja wakike jirani yangu akanipa majibu kwanini wao wanakuwa watiifu na mahaba kwa Wanaume kwa majibu aliyonipa unaona kabisa dini inamchango wake mkubwa tu
Hii ni kweli ase na mimi nna pisi yangu ya kiisalamu inajua kupenda ase atari af kichwani yuko smart! Yani ukiwa nae unaeza kudhania dunia yote yako! Kuhusu ndoa hatujawah zungumza kwa u serious sana!Dah! Upo kama me nina binti wa kislamu me ni mkristo huyu mwanamke ni mzuri ile mbaya ananipa mahaba haswa ukirudi home anivua shati, viatu sometimes nalishwa sema sasa hiv kasafiri kikazi nimemmiss ila alinipa tahadhari kuwa Wazazi wake hawapendi yeye aje aolewe na mkristo ingawa bado sijajitambulisha kwao kujulikana.Mzee baba niliwahi kuleta mada hapa "Wanawake wa waislamu wengi Wana mahaba ukilinganisha na wakristo wakristo wanakwama wapi"? kuna baadhi wakanipinga especially wanawake wa kikristo lakini uhalisia tunauona sisi Wanaume kiukweli wanawake wakislamu wanajua mahaba na wajua kumtreat mwanaume vizuri kwenye Hili lazima tuwape sifa yao na mademu wakikristo wasione wivu kuna jambo la kujifunza kwao
Alafu ni wasafi sanaDah! Upo kama me nina binti wa kislamu me ni mkristo huyu mwanamke ni mzuri ile mbaya ananipa mahaba haswa ukirudi home anivua shati, viatu sometimes nalishwa sema sasa hiv kasafiri kikazi nimemmiss ila alinipa tahadhari kuwa Wazazi wake hawapendi yeye aje aolewe na mkristo ingawa bado sijajitambulisha kwao kujulikana.Mzee baba niliwahi kuleta mada hapa "Wanawake wa waislamu wengi Wana mahaba ukilinganisha na wakristo wakristo wanakwama wapi"? kuna baadhi wakanipinga especially wanawake wa kikristo lakini uhalisia tunauona sisi Wanaume kiukweli wanawake wakislamu wanajua mahaba na wajua kumtreat mwanaume vizuri kwenye Hili lazima tuwape sifa yao na mademu wakikristo wasione wivu kuna jambo la kujifunza kwao
1. Koran haitaja mji , ila binadamu ndio wamekuja kumsaidia Allah na Kuweka mji, Koran ni kakitabu bila mikono ya pembeni hakaeleweki kabisa, Isa Kwa mujibu wa Koran yenyewe haijulikani kazaliwa wapiWakristo ngoja niwaambie ukweli, na hapa si watukani, yaani nyiny hamsomi na wala hamfanyi utafiti kadhalika hamuhoji.
1. Mfano huo utofauti wa kwanza, nitakuuliza. Andiko leno limetaja mji, andiko letu limetaja sehemu husika kabisa chini ya mtende. Sasa mlivyo vilaza, mkashindwa kuulizwa huo mtende ulikuwa sehemu gani na ni mji gani. Ukisoma Tafsiri ya Ibn Kathir amethibitisha ni BaytLahm (Bethelehem/The house of meat). Ndiyo maana nikasema hivi hakuna anae weza kuthibitisha hili kwa hoja na ushahidi ya kuwa Yesu siyo Issa.
2. Nukta ya pili,ukianza kuchambua andiko lenu kuanzia kwa Matayo, tuanakuja kuona kabisa Matayo hakimdiriki Yesu, tunauliza habari za Yesu alizipata wapi toka kwa nani ? Qur'aan imeeleza wazi kwamba Allah alimtoa mja wake na akawawekea mfano wa mja wake. Hapa mmoja ni muongo, yaani Nyinyi Wakristo ndiyo waongo. Kwa sababu nyingi sana, kwanza Allah hamuachi ja wake ateseke na kudhalilika na ndiyo maana akamuokoa hapo.
3. Hapa pia kuna uongo mwingi. Marko hakuwahi kumuona Yesu habari za Yesu amezitoa wapi ? Na nani ameandika Injili ya Marko ? Hapa kuna hitilafu kubwa. Kisha tunakuja kwenye mstini yenyewe.
4. Hii nukta nyingine ambayo haithibitishi ya kuwa yesu ni mwana wa Mungu. Wai Yesu alisema yeye ni mwana wa mungu ? Lakini je katika Biblia yenu tamko "mwana" limetumika kwa yesu peke yake ? Kama siyo kwanini iwe mnashadadia kwa Yesu tu ?
Kingine ili mtoto awe mtoto baba akiwepo sharti lazima awepo mama, mama wa Issa mnataka kusema alipataje ujauzito wa Yesu ?
Kingine kilugha ukisema "Mwanafulani" si lazima kuwe na mafungamano ya uzao au damu. Mfano leo hii kuna "Mwanamichezo" siyo kwamba "Michezo imemzaa fulani" bali mtu huyo ni mtu wa michezo au "Mwana masumbwi" hii ina maana mtu husika ni mtu wa masumbwi. Leo sisi binadamu tunaitwa "Wana wa Adamu" haimaanishi tumezaliwa sote na Adamu. Kwahiyo tukiwapa miaka yote mpaka mnakufa hakuna yeyote atakaye thibitisha ya kuwa Yesu ni mtoto wa Mungu, bali ni mtu wa Mungu kama ulivyo wewe yaani mtu anajishughulisha na mambo ya mungu katika ujumbe na mfano wake.
5. Hakuna sehemu yoyote ambayo Yesu alisema yeye ni Mungu, bali nyie ndiyo mnasema yeye ni Mungu, na hayo maandiko mliyoyaweka hayathibitishi ya kuwa Yesu alisema hayo. Hao wote kina John hawakumuona Yesu na waandishi wake hawajulikani. Vipi habari zao zifanyiwe kazi, tena hasa zinapingana na uhalisia ?
Nukta zilizo baki nakuja kuzimalizia...
Wakristo ngoja niwaambie ukweli, na hapa si watukani, yaani nyiny hamsomi na wala hamfanyi utafiti kadhalika hamuhoji.
1. Mfano huo utofauti wa kwanza, nitakuuliza. Andiko leno limetaja mji, andiko letu limetaja sehemu husika kabisa chini ya mtende. Sasa mlivyo vilaza, mkashindwa kuulizwa huo mtende ulikuwa sehemu gani na ni mji gani. Ukisoma Tafsiri ya Ibn Kathir amethibitisha ni BaytLahm (Bethelehem/The house of meat). Ndiyo maana nikasema hivi hakuna anae weza kuthibitisha hili kwa hoja na ushahidi ya kuwa Yesu siyo Issa.
2. Nukta ya pili,ukianza kuchambua andiko lenu kuanzia kwa Matayo, tuanakuja kuona kabisa Matayo hakimdiriki Yesu, tunauliza habari za Yesu alizipata wapi toka kwa nani ? Qur'aan imeeleza wazi kwamba Allah alimtoa mja wake na akawawekea mfano wa mja wake. Hapa mmoja ni muongo, yaani Nyinyi Wakristo ndiyo waongo. Kwa sababu nyingi sana, kwanza Allah hamuachi ja wake ateseke na kudhalilika na ndiyo maana akamuokoa hapo.
3. Hapa pia kuna uongo mwingi. Marko hakuwahi kumuona Yesu habari za Yesu amezitoa wapi ? Na nani ameandika Injili ya Marko ? Hapa kuna hitilafu kubwa. Kisha tunakuja kwenye mstini yenyewe.
4. Hii nukta nyingine ambayo haithibitishi ya kuwa yesu ni mwana wa Mungu. Wai Yesu alisema yeye ni mwana wa mungu ? Lakini je katika Biblia yenu tamko "mwana" limetumika kwa yesu peke yake ? Kama siyo kwanini iwe mnashadadia kwa Yesu tu ?
Kingine ili mtoto awe mtoto baba akiwepo sharti lazima awepo mama, mama wa Issa mnataka kusema alipataje ujauzito wa Yesu ?
Kingine kilugha ukisema "Mwanafulani" si lazima kuwe na mafungamano ya uzao au damu. Mfano leo hii kuna "Mwanamichezo" siyo kwamba "Michezo imemzaa fulani" bali mtu huyo ni mtu wa michezo au "Mwana masumbwi" hii ina maana mtu husika ni mtu wa masumbwi. Leo sisi binadamu tunaitwa "Wana wa Adamu" haimaanishi tumezaliwa sote na Adamu. Kwahiyo tukiwapa miaka yote mpaka mnakufa hakuna yeyote atakaye thibitisha ya kuwa Yesu ni mtoto wa Mungu, bali ni mtu wa Mungu kama ulivyo wewe yaani mtu anajishughulisha na mambo ya mungu katika ujumbe na mfano wake.
5. Hakuna sehemu yoyote ambayo Yesu alisema yeye ni Mungu, bali nyie ndiyo mnasema yeye ni Mungu, na hayo maandiko mliyoyaweka hayathibitishi ya kuwa Yesu alisema hayo. Hao wote kina John hawakumuona Yesu na waandishi wake hawajulikani. Vipi habari zao zifanyiwe kazi, tena hasa zinapingana na uhalisia ?
Nukta zilizo baki nakuja kuzimalizia...
Jitahidi tu mkuu kwan kuitwa Abdallah shida nini mkuu😁😁😁Shida ya hawa ni moja tu dini yao na usiombee ukapata binti wa kisalamu alafu baba yake ni shekhe kuoa hapo ni ngumu kabisa ila usijali tukishapata vizingiti vya wazazi wao ndio tuwarudia nyie
Kitimoto ina mfanya Mwanaume kuwa "Duyuthi" sasa ulizia au tafuta maana ya tamko hilo.Mkuu jaribu kula kitimoto hutajutia maamuzi yako,achana na hayo mapokeo ya hizo story za huko uarabuni zinakuchosha tuu...[emoji3][emoji3]
Swali zuri, nimesoma elimu ya uhakiki wa habari na nina endelea kuisoma, sababu ni pana sana.aiseee umejieleza mwanzo mwisho ila sijaona hoja yako ngoja nikuulize kitu kwa wanasayansi wanaoandika habari za kina Isaack Newton sijui Na wanasayansi wengine wale wa zamani kwani waliwaona hao kina Isaack Newton???
Sasa Biblia yenu inakosa hizi sifa. Mimi nakuuliza swali la msingi, mathalani tumuongelee Marko/Mark. Yeye habari za Yesu alizipata wapi ? Kutoka kwa Yesu mpaja yeye kilipita kitambo gani ? Je alirithishwa kutoka kwa nani ?Historia ya mtu/vitu inaandikwa kulingana na watu walivokua wanaona. Biblia ni kama hadithi zinasimuliwa kizazi na kizazi hivyo walioandika wameandika kwa yale maono/hadithi walizosikia ndo mana kuna baadhi ya maandiko kwenye mathayo yapo ila kwenye Marko hamna we unadhan kwann kuna utofauti??
YESU hakukaa chini kuandika historia yake mwenyew bali ni hadithi ambazo watu walikua wakisumuliwa wakaamua kuzitunza kama kumbukumbuku(kwa uelewa wangu) naamini hata Mtume Muhhamad S.W na yeye ana hadithi zake ambazo huwa zinasimuliwa inamaana tuseme wanaosimulia wanatudanganya kwasababu hawakuwepo??
Shida wazazi wakeHaya, umuoe sasa.
Mbona unapanic..
Hiyo siyo dini ya babu yako wala mama yako wala mjomba wako.
Dini yenyewe umeletewa mkuu no matter babu wa kizazi cha pili au vipi.
Binadamu anazaliwa hana dini na sio kila imani inafaa kwa watu wote.
Hiyo ya usafi for me Naona ni tabia ya mtu binafsi hainfluence na diniAlafu ni wasafi sana
Shida yako moja kijana unarudia yale yale ambayo ushajibiwa na ukakosa hoja. Sasa huu usulubu unatakiwa uubadilishe sababu unapotezea watu muda. Yaani kila siku unajibiwa jambo hilo hilo unajibiwa unakimbia unakuja tena kulirudia jambo hilo.
- Tunaona kwenye koran inamtaja Issa, Babu yake ni Imran na Uncle zake ni Haruni na Mussa
3;35. Alipo sema mke wa Imran: Mola wangu Mlezi! Nimekuwekea nadhiri kilichomo tumboni mwangu kuwa wakfu........
36. Basi alipo mzaa alisema: Mola wangu Mlezi! Nimemzaa mwanamke(Maryamu)
19:28 “Ewe dada yake Haruni. Baba yako hakuwa mtu mbaya.
66;12. Na Mariamu binti wa Imrani, aliye linda ubikira wake,- Tunaona Huyu Isa wa Allah alikimbia msalaba , na Allah akatengeneza Issa mwingine ambae anafanana na Isa original ili Isa clone (cloning) asulubiwe(Hiki kitendo hakipo kwenye historia yoyote kabla ya Muhammad)
- Koran 4:157. ................................ - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu...........
- Cloning -is the process of producing individuals with identical or virtually identical DNA, either naturally or artificially
Naiheshimu dini yao lakini sijawahi kuikubali kabisa so kamwe sitokuja kuwa MuslimJitahidi tu mkuu kwan kuitwa Abdallah shida nini mkuu😁😁😁
Mpaka ukataliwe huko urudi kwetu na sie tushaitwa wakina Aisha…
Karudie tena kufanya huo uchunguzi wakoIdeally zote ni Abrahamic religions lakini uchunguzi wa kina unaonyesha Islam wanamuabudu Allah ambaye siyo Yehova ambaye ni Mungu wa Abraham. Unaweza ukasema ni majina tu, Mungu ni yuleyule lakini siyo kweli
Ila haya mambo yanasumbua sana. Nina ndugu yangu alimpenda binti wa kiislamu, siku kafunga safari akajitambulishe baba mtu akasema hataki kafiri ndani mwake. Yule binti kaolewa sasa na muislam mwenzake ndugu yangu anang'aa tu macho. Pole sana rafiki.Shida wazazi wake
Kama umechukia sana kalia hiki🖕🏾Huoni aibu binti wa kiislamu kuongea maneno kama haya
Nai support ile Mikanda uliyopigwa
Asante mkuu shida ya wale wanatuona sisi kama vile ni iddi amini na wana lugha chafu Sana kwetu alafu wanaume wa kislamu wengi wao Wana tabia chafu haswa kufanya Wanawake zao kinyume na maumbileIla haya mambo yanasumbua sana. Nina ndugu yangu alimpenda binti wa kiislamu, siku kafunga safari akajitambulishe baba mtu akasema hataki kafiri ndani mwake. Yule binti kaolewa sasa na muislam mwenzake ndugu yangu anang'aa tu macho. Pole sana rafiki.