Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Huna akili
 
Huu uzi naona baadhi ya watu kama mnauharibu kwa kujadili vitu ambavyo havihusiki na Mada husika.

Hali kama hii ilisababisha lile Jukwaa la Dini likafichwa.
 
Ndio nimekwambia , Allah ni physical being , ana mguu ,mkono,macho ,penis , makalio n.k

Jehovah ni Roho

Yesu alikuwa Mungu na Human flesh , kwa Allah hili haliwezekani kwa sababu yeye tayari ana umbo anachoweza Allah ni kujibadili maumbo ila kutumia human flesh hawezi

Kilicho uliwa ni human flesh , na Yesu mwenyewe alisema aliufufa ule mwili ukawa hai

Majina yote 99 ya Allah Muhammad kayaiga kutoka kwa Yesu
 
Nitajie wanne tu Wakristo walioandika Qur'aan. Yaani kuna muda unaandika mambo ambayo hata tukikuomba ushahidi unajua huna.

Kingine, maswali ninayo wauliza mjitahidi kuyajibu yatawasaidia sana, shauri yenu.
Unazijua surah ndefu za koran?
Huyu hapa mwamba mkristo Alie andika badae mkaja kumchinja
muhammad alikuwa hajui Ata jamaa anaandika nini yeye anakariri tu

Narrated Anas:
There was a Christian who embraced Islam and read Surat-al-Baqara and Al-`Imran, and he used to write (the revelations) for the Prophet. Later on he returned to Christianity again and he used to say: "Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
 
Pia kati ya vitabu hivi viwili Biblia na Quran kimoja ni copy and pest ya kingine na vinatofautishwa na lugha iliyotumika ndani yake na wahusika wa nyongeza.
Tofauti kubwa inatokea kwenye agano jipya!
Hapa ndo wamepigwa chenga kubwa sna
 
Unataka kusema Isa alikuwa mwarabu na Yesu myahudi?
Mambo ya isa siyajui
Ila Yesu alikuja kule ili kutimiza sheria zote
Soma bibilia yako!

Ili ujue Yesu ni nani,soma vzr Yohana 1....
 
Naomba unionyeshe kwenye Qur'aan amesema hivyo wapi ? Ukinionyesha nakuwa Mkristo.

Shida yenu mnakuwa wajinga mpaka ujinga unawashangaa, hamsomi mnapenda kusikia na kusambaza maneno.
Sasa muislam na mkiristo mwenye Elimu ni nani kwenye hii dunia?unatishia watu kusoma
 
Lakini zote zinatambulika kama Ibrahimism, zina vinasaba vya pamoja na ndio maana mitume karibu wote wanatajwa na vitabu vya dini hizi mbili kwa pamoja na matendo yale yale.
Sasa Kama unayajua haya yote kwanini hukujiongeza ukabadili dini kwa muda?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Jukwaa la dini lipo , omba access
 
Tatizo huyo jamaa aliyeanzisha hiyo dini yao alitaka kujustify uwepo wa dini yake kwa kuwalazimisha kuziua dini nyingine alizozikuta. Kitu ambacho hajafanikiwa hadi leo.
 
Ndiyo ujue sasa kuna sehemu ulikosea.

Huwa nashangaa sana kuona binti wa Kiislamu ana mahusiano na kijana wa Kikristo, maana yake huyo binti hana DINI.
Ila Binti wa kikristu ni haki ya kuanzisha mahusiano na Muislam
 
Ukifata taratibu za kuoa ukiona wameleya ubishi, Komesha ni kupiga mimba tu, alafu tulia
Hapo ndiyo utaharibu mkuu acha fikra Duni, Mimi Nina mdogo wangu wa kike jamaa alianza kumpa Mimba kwanza matokeo yake yule jamaa familia yake ikamsusia Msala wake, mpaka sasa jamaa nahisi anajuta kumpa Mimba yule mdogo wangu ambaye yeye ni mkristo wakati aliyemzalisha ni Islamic.
 
Aliyekataza ni nani na alikuwa na lengo gani?
Msipofahamu haya mtapata taabu sana
 
Yan mzee wako kma wangu
 
Hoja yako iko wapi hapo ? Ndiyo umethibitisha Yesu ni mungu au ni njia ?
Huna akili vizuri utakuwa,unasema unamwamini nabii Issa,kwa kuwa Quran imemtaja sasa inakuwaje hujaelewa hoja kama unamuamini mfuate upate kukombolewa.
Acha ulevi.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…