Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Hakuna kilichokosewa ni wewe huwezi kuelewa kwa kuwa una uvuvio na majini utaelewaje sasa mambo ya kiroho

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Andiko hili na lile la Yohana la Yohana 10 : 18 kama sikosei yanafanana wapi lipi la kweli, nieleweshe mimi ambaye sijakuelewa.

" Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu." [Yohana 20:17]
 
Hiyo siyo kweli hili jina wanalitumia kimakosa. Nabii Ibrahimu alikuwa Muislamu, Uyahudi na Ukristo ni Dini zilizo kuja kuzuliwa, ukiziangalia zote zimewakana mitume walio fata baadae.
Duuuh
 
kila kitu ni mipango ya Mungu upendo sioni na siwezi kuushika ila nahisi upo kama imetokea nimependa sehemu nawezaje kujizuia maana kwa hakika hakitokei kitu bila Allah kubariki basi asingenipa upendo kwa Mwanaume dini tofauti hata hivyo tuliachana
Hii sio kweli kwa maana umeagizwa na Mola wako kupitia mtume wake Mohammad S.A.W kua unapotaka kuoa ama kuolewa bhas usingatie mambo makuu manne ila la muhimu zaidi ni DINI sasa kama hifati ilo bhas jua kua sio mipango ya Mungu hapo kwa maana binadamu tumepewa akili na nafsi kwamba akili iongoze nafsi na sio nafsi kuiongoza akili kwa maana nafsi inapenda mambo mepesi so ukiwa na akili utaweza kuchuja kua kua what's right and what is wrong my point is kuna nyakati shetani anacheza na akili zako so wewe mwanadamu kuweza changanua na kuyashinda majaribu waliofuzu zaidi ni wale wanaojaribiwa na mola wao na wakafuzu all in all Kuna Qadar za Allah na lastly relationships ambayo sio ndoa kati ya mwanamke na mwanaume ni haraaam ata kama dunia nzima ikifanya so shetani ana adaa akili zetu mwisho Mwenyezi Mungu atupe mwisho mema ana atuepeshe na vya haraam nyoyo zetu ziwe zenye kupenda vya halal na kufanya vya halal in shaa allah
 
Ngoja nikusaidie kwanza utatu Mtakatifu sio shirki kama mnavyodai.
Utatu Mtakatifu ni Mungu mmoja.
Mungu amejidhiri kwetu katika namna tatu kuu.
Kama huwa hamuelewi hayo mseme sio mnazusha mambo yenu tu.

Ushirikina kwenye uislamu kwanza kudai allah ndio MUNGU sio MUNGU kama mnavyodai na kudhani na kuamini,allah ni miongoni mwa miungu ya kiarabu na asili yake ni jua na mwèzi ni kati ya miungu iliyokuwa inasujudiwa na wapagani wa kiarabu enzi na enzi za ushenzi kabisa.
Muhamad alipatwa na hayo majini mapepo ndio yakampa hizo aya za kucopy na nyie mnajue.

Ushirikina wa kwanza na mkubwa mlionao ni huyo allah hayo ni mapepo tu.

Bado mengine mengi tu mnayatenda huku mtaani na unayajua.

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
hiyo 1 wakorintho 15-15 inatakiwa isomwe mpaka fungu la 21, Huu unaofanya ni unafiki chief.
 
Nimekaa hapa nasibirivushahidi wa haya yote uliyo yaandika.
 
hiyo 1 wakorintho 15-15 inatakiwa isomwe mpaka fungu la 21, Huu unaofanya ni unafiki chief.
Tuwekee mpaka hiyo 21 ili unafiki wangu uonekane.

Haya mpaka 21 hii hapa :

15Zaidi ya hayo, twaonekana kuwa mashahidi wa uongo kuhusu Mungu, kwa sababu tumeshuhudia kumhusu Mungu kwamba alimfufua Kristo kutoka kwa wafu, lakini hilo haliwezi kuwa kweli kama wafu hawafufuliwi. 16Kwa kuwa kama wafu hawafufuliwi, basi hata Kristo hajafufuka. 17Tena kama Kristo hajafufuliwa, imani yenu ni batili; nanyi bado mko katika dhambi zenu. 18Hivyo basi, wote waliolala katika Kristo wamepotea. 19Ikiwa tumaini letu ndani ya Kristo ni kwa ajili ya maisha haya tu, sisi tunastahili kuhurumiwa kuliko watu wote.

20Lakini kweli Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, tunda la kwanza la wale wote waliolala. 21Kwa maana kama vile mauti ilivyokuja kwa njia ya mtu mmoja, vivyo hivyo, ufufuo wa wafu umekuja kwa njia ya mtu mmoja.

Unafiki wangu uko wapi ?
 
Sio hatujibu ila huyaoni hayo majibu sasa tufanyaje tukulazimishe kuyaona???
Aisee kweli siyaoni, hivi kwanini kuna Biblia yenye vitabu 66 na nyingine vitabu 73 mimi siyo mjuzi wa Biblia utanifananulia hili naweka kiporo. Kisha utaniambia Biblia ilianza lini kuandikwa kwa Mara ya kwanza.

Turudi katika majibu mnayo yatoa, majibu yenu hayaongelei maandiko yenu bali mnatoa maelezo na fasili za jumla ambazo hazina ushahidi au hazipewi nguvu na maandiko yenu, kwahiyo ni sahihi nikisema hamjibu maswali yangu kadhalika ni sahihi pia ulivyo sema siyaoni majibu yenu kwa sababu amgusi maandiko yenu.
 
Mbabaifu wewe huna unalojua

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Yesu ni nani mpka akiriwe ? Ni Mungu Muumba mbingu na ardhi au ?

Shetani mwenyewe anajua kama YESU NI MUNGU

sijajua wewe ni nani usiemtambua

Maana kuzimu yatetemeka likitajwa jina la YESU mapepo yanapagawa likitajwa jina la YESU vipofu wanaona viziwi wasikia mabubu wanasema jina YESU ni jina tulilopewa wanadamu kwa kina lake kuna watu humu watapokea uzima wa milele

Naam YESU alikuwepo tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu na kila goti litapigwa na ulimi utakili kwamba YESU ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu
 

Aisee umefungwa wewe YESU ALIANZA KUTABILIWA KABLA HAJAZALIWA YESU NI MUNGU 100% na ni mwanadamu 100%.

Kuzaliwa kuishi kusulubiwa mpk kufa kwake kulishatabiliwa tangu agano la kale tangu wakina Mussa

Mwanaume mbishi kama fupaa eboo
 

Naona unasoma maandiko nusu nusu kwanini basi usisome lilipoanziaa unasoma hitimisho

HAKIKA WEWE NI KIPOFU
 

AISE AFADHALI UMETUMA LOTE HUYU JAMAAA ANATAKA KULISHA WATU MATANGO

ANACHUKUA MAANDIKO YA KATIKATI AFU ANAYALETA HAPA YAANI HADI KWENYE MIHADHARA YAO NDIVYO WANAVYOFANYAA WANANYOFOANYOFOa maandiko
 

Yaani UKRISTO hauwezi kufa na hautokuja kufa milele mpk YESU atakapokuja kulinyakua kanisa na wewe ukimshangilia kwa shangwe kwa maana utakuwa umeshamkubali na kuokoka
 
Mimi nakupa kazi moja tu ukithibitisha ya kuwa Yesu siyo Nabii Issa mimi nakuwa Mkristo.

Yesu sio nabii Isa
Binafsi nimemjua Yesu kupitia Biblia na ww umemjua Mtume Mohamed kupitia Quran
Sasa utaniamishaje jina jipya la Yesu ambalo halipo kwenye Biblia ww umelitoa wap hilo jina??
 

Nimecheka sana et Biblia ina ushirikina [emoji1787][emoji1787]

Yaani nguvu za Mungu zinapokushukia lazima uchanganyikiwe maana huelewii

Yaani wewe ni kama hawa hebu soma hili andiko kidogo

Lk 11:14-38

Naye alikuwa akitoa pepo bubu; ikawa pepo alipotoka, yule bubu akanena, makutano wakastaajabu. Wengine wao wakasema, Atoa pepo kwa Beelzebuli, mkuu wa pepo. Wengine walimjaribu, wakimtaka ishara itokayo mbinguni. Naye akajua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme uliofitinika wenyewe kwa wenyewe hufanyika ukiwa; na nyumba juu ya nyumba huanguka. Basi, ikiwa Shetani naye amefitinika juu ya nafsi yake, ufalme wake utasimamaje? Kwa kuwa ninyi mnasema kwamba mimi natoa pepo kwa Beelzebuli. Basi, kama mimi nikitoa pepo kwa Beelzebuli, wana wenu je! Huwatoa kwa nani? Kwa sababu hiyo, hao ndio watakaowahukumu. Lakini, ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajilia. Mtu mwenye nguvu aliyejifunga silaha zake, alindapo nyumba yake, vitu vyake vi salama; lakini mtu mwenye nguvu kuliko yeye atakapomwendea na kumshinda, amnyang’anya silaha zake zote alizokuwa akizitegemea, na kuyagawanya mateka yake. Mtu ambaye si pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutawanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…