mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Siku mkianza kutumia akili zenu mlizopewa bure na msizolipia kodi itakuwa muda ushawatupa mkono.
Tunataka maandiko vipi Yesu alijielezea yeye mwenyewe na yasipingane na akili zilizo salama na uhalisia.
Mola yapo mambo mengi amejiharamishia, ikiwepo dhulma na ameepukana na udhaifu wote.
Nini maana ya andiko lenu hili ?
kiumbe tofauti kwake mwenyewe: Ninapanda kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu, kwa Mungu wangu na Mungu wenu. [Yohana 20:17]
Hiyo ingekuwa hoja ya kujibadilisha hivyo basi angefanya hilo kwa nabii Musa, angalia shuruba alizopitia nabii Musa, kwanini asingejibadilisha na kuwa Mungu kule ?
Sasa hapa hoja yako iko wapi kijana ?
Hii siyo kweli ndiyo maana Mola akawatuma manabii kama Yesu, Musa, na wengine ili watueleze ukweli kuhusu Mola.
Siyo kwamba tunamjua jina tu na kuwa yeye ndiyo chanzo, bali vitabu vyote toka kwake kama vile Msahafu wa nabii Ibrahiim, Taurati ya Musa, Zaburi ya Daudi, Injili ya Issa na Qur'aan vyote vimemuelezea Mola kama alivyojielezea ili tumjue tena maelezo mapana, sasa kama mnadanganyana huko makanisani ukweli ni huu.
Huyo Mussa mwenyewe alitabiri kufa kwa YESU na kufufuka kwake yaani wewe mbona unaelewa ila unajikazaa
Yaani unataka kuonekana ushindwii na kumbe umeumbuka pole sana