Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Uliona jamaa anasema Muhammad hajui kitu kilicho andikwa
...Muhammad knows nothing but what I have written for him.
Sahih bukhari 3617
Hii kauli haimaanishi ya kuwa alikuwa anandika kinyume na yale aliyo kuwa anaambiwa na Mtume mpaka uonyeshe wapi au kipi alikiandika amnacho ni kinyume na yale aliyoyasema mtume.

Kijana una upeo mdogo sana wa kung'amua mambo.
 
Nimefanya hivy sababu mwanzo wake haubadilishi hitimisho lake, na hapo si katika hitimisho kadhalika.

Kwaiyo hilo andiko ndiyo limehitimisha hapo

Hivi kweli maandiko ya kiswahili kabisaa yamekushinda kusoma kwa ufasaha


Wewe si ni bingwa wa kiswahili unawasahihisha watu wakichapia humu

Sasa kweli hilo andiko umeshindwa kulitendea haki

Kwani umebobea kwenye nini haswa ???
Au umebobea hapo kumkazania issa kuwa ni YESU ebooh wewe jamaa usiumize akili Sanaa tulizana baki na huyo Issa wako mnaesema ni copy ya yesu wenu ila sisi Tuna YESU wetu ambae ni MUNGU wetu baki na issa wako
 
Hiyo kuzimu uliona ilivyotetemeka jina lake lilivyotajwa ? Hata waganga pia wanatoa mapepo .. umesema shetani anajua yesu ni Mungu ni andiko gani shetani amethibitisha hivyo sana sana alimjaribu tu kupima imani yake . Imani yake kwa nani na yeye ni Mungu [emoji1787]

Kibaya zaidi nyie wenyewe wakristo kuna madhehebu mnapingana kuhusu uhalali wa yesu kuwa Mungu

Tunaposoma Biblia tunakuta mara nyingi sana Yesu anaitwa Mwana
wa Adamu. Kwa mfano: Mathayo 8:20, 9:6, 12:40, 14:28, 16:27, 17:22, 24:30 na 26:45. Marko 2:10, 9:31 na 14:21-40. Luka 9:44. Yohana 5:27 na
Matendo 7:56.

Kama Mwana wa Kondoo ni kondoo – Mwana wa mbuzi huwa ni mbuzi
vile vile Mwana wa Adamu ni binadamu. Haieleweki ni kwa sheria na
kanuni gani Mwana wa Adamu anapachikwe jina la Mungu au Mwana wa
Mungu? 4. Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo, Mwana wa Daudi, Mwana wa Ibrahim.
(Mathayo 1:1)View attachment 2212127

Kwani mwana wa Adam maana akee nini kwa uelewa wako??
 
Haya tunataka ayaseme Yesu si nyinyi, wapi Yesu alisema yeye ni Mungu na akasema mungu ni nafsi tatu ?

Kingine uwana wa Yesu kwa Mungu ni wa kinasaba au wa kinini ? Kama ni wakanisaba hii ni KUFURU kwa Mola, ndiyo maana huwa sipendi kutumia maandiko yenu yanakufuru kubwa sana.

Mimi bila maandiko hakuna cha kunithibitishia. Nasubir maandiko yenu yajibu hoja zangu.

YESU ALIKUWEPO KABLA YA MSINGI WA ULIMWENGU NA NDO MAANA UKISOMA MWANZO 1:26
Hebu soma ya English huenda Kiswahili huelewi

“Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.””
‭‭Genesis‬ ‭1:26‬ ‭

Sasa MUNGU alikuwa anaongea na nani hapo

YESU NI MUNGU NA AIKUWEPO TANGU MWANZO NA YEYE NI NENO NA KUPITIA YEYE VITU VILIFANYIKA NA NDIO MAANA TUKILITAJA JINA LA YESU MIUJIZA INATOKE

YESU ALIKUWEPO TOKA MWANZONI TATIZO LAKO UNATAKA ET JINA YESU LIWE LIMEANDIKWA KILA UKURASA WA BIBLIA BASI NIKWAMBIE JINA LILOTUMIWA KABLA YA KUZALIWA KWAKE ALIKUWA AKIJULIKANA KAMA (NENO) SEHEMU YOYOTE UNAPOONA LIMETAJWA JINA NENO KWA HERUFU KUBWA NDANI YA BIBLIA UJUE NI YESU

ANDIKO LINGINE HILI SINA BIBLIA YA KISWAHILI KWA SIMU KWAIYO UTAWEZA KUICHEKI MWENYEWE
YOHANA 1:1-5

“In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was with God in the beginning. Through him all things were made; without him nothing was made that has been made. In him was life, and that life was the light of all mankind. The light shines in the darkness, and the darkness has not overcome it.”
‭‭John‬ ‭1:1-5‬ ‭NIV‬‬


AISEE NIMECHOKA KUKUELEZEA MAANA HUELEWI
SASA SIKULAZIMISHI UELEWE MAANA HAIBADILI KITU UELEWE USIELEWE YESU ANABAKI KUWA MUNGU
 
kisai hebu twambie mtume muhammad alikufaje vipi? Natural death? Alipewa sumu?
 
Umesema Mkiristo imani yake Yesu ni Mungu kwahyo huyu yesu ndio kawaumba ? sasa huyu Yesu ametumwa na baba ake kwahyo huyo baba ake ni Mungu ? Kama ni ndio ina maana kuna Mungu zaidi ya mmoja si ndio

Ukinitajia mambo ya nafsi tatu hapo ni watu watatu

Yani wewe na yule mwenzio hamna utofautii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu haya mambo nyie waislamu hamuwezi elewa hata tufanye nini ko endeleeni kukaza ubongo tyuu tujue hamuelewi


Tunaposema nafsi 3 haimaanishi kuna miungu wa 3[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani ni MUNGU mmoja ila amejigawa mara 3, kwa mfano mtii ukizaa kimti kingine pale pale kwenye mti kunakua na miti mingap? Ni miti miwili ndani ya mti mmoja ndo maana ya hizo nafsi 3

MUNGU ni mmoja ambaye ameumba vitu vyote duniani ambaye ndio MUNGU baba lakin akagawa majukumu yake kwa utatu maana akee kuna Yeye MUNGU baba ambae ametuumba alafu MUNGU MWANA ndio YESU, Yeye Ametukomboa kwa kufa na kufufuka kwakwe alafu nafsi ya mwisho ni MUNGU ROHO MTAKATIFU huyu nae ana kazi yake sasa sijui hao Mungu zaidi ya mmoja wanatoka wapi[emoji2356][emoji2356] acheni kutaka kubishanaa em jaribuni kujifunza kama kweli mnataka kuelewa
 
Alitabiri wapi bibie ? Niwekee andiko tusome tupate faida wote.

Unasoma BIBLIA KAMA GAZETI SASA HATA NIKIKULETEA ANDIKO UTALIELEWA KWELI SI UTASEMA NATAKA NIONE MUSSA KAMTAJA JINA YESU [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu pumzika tu haya mambo tuachie wenye dini yetu we pambana na Issa bin mariam sisi tuachie YESU wetu
 
Hakuna nabii wala mtume ambaye hakuwa Muislamu. Hili weka akilini, wametofautiana sheria tu ila imani zao wote walikuwa Waislamu.

Ukristo amekuja nao Paulo, kabla ya hapo hapakuwa na Ukristo. Sasa mtasema nyinyi ambao mnamuita Paulo kuwa mtume, alianzisha lini Ukristo.

Uislamu unegawanyika sehemu mbili, uislamu wa ujumla huu mitume na manabii wote walikuwa nao na Uislamu ambao amekuja nao mtume huu unaitwa Uislamu maalumu kwa maana ya sheria ya Muhammad si sheria ya Musa wala si sheria ya Issa.

Si kweli Ibrahiim alikuwa muislamu na wala hakuwa Myahudi, sababu Uyahudi umekuja baada ya Musa.

Hivi unajua hata maana ya neno UKRISTO au pia huelewii umeng’ang’ana sijui dini imekuja sijui lini

Hebu nipe basi maana ya UKRISTO
 
Mwenzako alisema nimuwekee mpaka 21 wewe unataka niweke lote. Ili kuepuka usumbufu nisaidie wewe kumalizia hapo nilipoishia halafu utoe sababu au uonyeshe ulazima wa kutaka wewe liwekwe andiko lote, kwamba je limebadilisha nilichokiweka hapo awali.

Acheni kuruka kuruka, mnatakiwa haya maandiko myachambue kielimu siyo mnaruka ruka huku na kule kisha hamtoi ufafanuzi wa kielimu. Nawaonea huruma sana.

Lala upumzike kubishana [emoji23][emoji23]
 
Humu ndimo wajanja wanapiga hela na nyinyi mnakubali. Kusema tu Yesu ni mungu na mnamuabudu huu ni USHIRIKINA sababu mnamuabudu mja na si Mungu.

Sasa kama ni kitabu special kwanini kina uchafu mwingi na uongo mwingi ? Kwanini kuna vitabu 66 nyingine zina vitabu 73 ?

Mimi nakupa kazi uthibitishe ya kuwa Qur'aan inatumika kuua watu na kuwapa majini watu ? Shida yenu Wakristo hamsomi mkisikia mambo mitaani mnayachukua pasi na kufanya utafiti, sasa sisi wenzenu hatuko hivyo,sisi tunasoma tunafanya utafiti.

Kwani hii Biblia imeandikwa na nani kwa mara ya kwanza ? Wanafunzi wa Yesu au ?

Utukufu wa Biblia uko wapi ? Hali ya kuwa hakuna Taurati halisi bali kuna kumbukumbu la Taurati ? Hakuna Injili ya Yesu bali kuna Injili ya Marko hakumuona Yesu, Injili ya Yohana kadhalika hakumuona Yesu, Injili ya Marko kadhalika hakumuona Yesu na Injili ya Matayo naye vivyo vivyo utukufu wa Biblia unatoka wapi ?

Mbona kama unachokiandika wewe mwenyewe hukielewi

Rudi kwa kungwii wa dini bado huna maswali ya maana
 
Nasubiri utoe maelezo juu ya Biblia yenu, nimeweka tu maandiko machache mnayakimbia hamyatolei ufafanuzi.

Nimekuja kuona nyinyi nyote hiyo Biblia yenu hamuisomi, ndiyo maana mnakimbia kutolea ufafanuzi maandiko yenu.

Ni mjinga pekee anaye ilinganisha Qur'aan na vitabu vingine hakuna kitabu kitabu kuzidi Qur'aan, kitabu ambacho hata asiyejua Kiarabu anakihifadhi moyoni chota kuanzia watoto mpaka wazee, vipofu wamekihifadhi, leo hii hata vitabu vyote vya Qur'aan vichomwe bado inabaki, ila ajabu unayesema Biblia ni tamu hakuna hata mtu mmoja duniani amekihifadhi chote kichwani na moyon.

Hayo mengine si maneno ya kielimu ni upotoshaji na unafurahisha nafsi yako.

Sasa hivi nakuwa nawawekea maandiko yenu tu mpambane nayo, naona ni weupe sana.

Najivunia kuwa MkRisto maana sijui kwa hayo majini yalivyowatawala tena mnayasujudiaa ningekuwa nimekimbiaa zamani
 
Kwaiyo hilo andiko ndiyo limehitimisha hapo

Hivi kweli maandiko ya kiswahili kabisaa yamekushinda kusoma kwa ufasaha


Wewe si ni bingwa wa kiswahili unawasahihisha watu wakichapia humu

Sasa kweli hilo andiko umeshindwa kulitendea haki

Kwani umebobea kwenye nini haswa ???
Au umebobea hapo kumkazania issa kuwa ni YESU ebooh wewe jamaa usiumize akili Sanaa tulizana baki na huyo Issa wako mnaesema ni copy ya yesu wenu ila sisi Tuna YESU wetu ambae ni MUNGU wetu baki na issa wako
Kujadiliana na jinsia ya kike jambo zito sana kwangu.

Kama nimeishia hapo wewe unatakiwa uendelee hapo nilipoishis kisha utoe hitimisho sasa, mara ya kwanza nilikoea kwenye 15 mwenzako akasema niende mpaka 21 wewe unasa niendelee zaidi sasa ili kuepusha hili, wewe nisaidie mimi kisha ukosoe hitimisho. Jambo rahisi sana hili.
 
YESU ALIKUWEPO KABLA YA MSINGI WA ULIMWENGU NA NDO MAANA UKISOMA MWANZO 1:26
Hebu soma ya English huenda Kiswahili huelewi

“Then God said, “Let us make mankind in our image, in our likeness, so that they may rule over the fish in the sea and the birds in the sky, over the livestock and all the wild animals, and over all the creatures that move along the ground.””
‭‭Genesis‬ ‭1:26‬
Nataka twende kwa mtindo huu, usulubu wa kutumia wingi katika kujielezea Mola ni wa kawaida sana kwake namna hii inaitwa "Kujifadhilisha/kujitukuza/kujitanabahisha" hapo haonyeshi ya kuwa yupo na mwenzako hasa ukitilia mkazo maandiko mengine katika vitabu vingine yanao onyesha kupwekeka kwa Mola muumba.

Lakini vile vile mwanadamu ndiyo kiumbe cha mwisho kuumbwa.
Sasa MUNGU alikuwa anaongea na nani hapo
Mola alikuwa peke yake hapo, wala hakuwa na mwenzake.
YESU NI MUNGU NA AIKUWEPO TANGU MWANZO NA YEYE NI NENO NA KUPITIA YEYE VITU VILIFANYIKA NA NDIO MAANA TUKILITAJA JINA LA YESU MIUJIZA INATOKE

YESU ALIKUWEPO TOKA MWANZONI TATIZO LAKO UNATAKA ET JINA YESU LIWE LIMEANDIKWA KILA UKURASA WA BIBLIA BASI NIKWAMBIE JINA LILOTUMIWA KABLA YA KUZALIWA KWAKE ALIKUWA AKIJULIKANA KAMA (NENO) SEHEMU YOYOTE UNAPOONA LIMETAJWA JINA NENO KWA HERUFU KUBWA NDANI YA BIBLIA UJUE NI YESU
Usitumie maneno makavu makavu tu weka ushahidi, usilete maandiko tata na yasiyo lenga maana mnayoikusudia nyinyi huku mkiyaacha maandiko yaliyo wazi yenye kuonyesha uongo wenu. Sasa sijui mnatumia nini kufikiri ?
“In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God. He was with God in the beginning. Through him all things were made; without him nothing was made that has been made. In him was life, and that life was the light of all mankind. The light shines in the darkness, and the darkness has not overcome it.”
‭‭John‬ ‭1:1-5‬ ‭NIV‬‬
Andiko liko wazi neno si kiumbe neno ni tamko ambao liko kwa mtu na mtu ana tamka. Allah anaumba viumbe kwa kisema kuwa na vina kuwa, huyu ni Mola pekee. Sasa nataka unionyeshe hapo Yesu anaingia wapi ?

Ujinga wenu huwa mnawasema Waislamu wanakaririshwa maandiko, hivi unachokiandika hapa mwenye akili timamu za kufikiri na kuhoji hawezi kukubali huu ujinga, yaani maneno yako wazi mnayapindisha kwa kuleta maana zenu za kufuru.
AISEE NIMECHOKA KUKUELEZEA MAANA HUELEWI
SASA SIKULAZIMISHI UELEWE MAANA HAIBADILI KITU UELEWE USIELEWE YESU ANABAKI KUWA MUNGU
Hapa natamani atokee mtu miongoni mwenu afafanue maandiko yenu na ajibu maswali yangu, nyinyi nyote mnaruka ruka tu, yaani hamyahakiki maandiko kisomi.
 
Unasoma BIBLIA KAMA GAZETI SASA HATA NIKIKULETEA ANDIKO UTALIELEWA KWELI SI UTASEMA NATAKA NIONE MUSSA KAMTAJA JINA YESU [emoji23][emoji23][emoji23]

Ndugu pumzika tu haya mambo tuachie wenye dini yetu we pambana na Issa bin mariam sisi tuachie YESU wetu
Huu ndiyo ujinga ambao mnajazwa, sasa Biblia ina umaalumu gani mpaka ulitofautishe na Gazeti ? Kuna habari nyingine kwenye gazeti ukizisoma lazima utafakari.

Nipo...
 
Hivi unajua hata maana ya neno UKRISTO au pia huelewii umeng’ang’ana sijui dini imekuja sijui lini

Hebu nipe basi maana ya UKRISTO
Tofauti yangu na nyinyi ni kuwa mimi naanzia kwenye asili nyinyi mnashika matawi. Ili ujue namaanisha nini tamko "KRISTO" ni la asili ya lugha gani ?
 
Lala upumzike kubishana [emoji23][emoji23]
Wengi ambao huwa wanashindwa hoja humu ndani, huwa wananituhumu kuwa mimi ni MBISHI lakini uko upo dhidi yenu. Shida mnayakimbia maandiko yenu. Someni, huwa nasema hivi laiti Wakristo mngekuwa mna hoji na kuyahakiki maandiko yenu asinge salia hata Mkristo mmoja.
 
Mbona kama unachokiandika wewe mwenyewe hukielewi

Rudi kwa kungwii wa dini bado huna maswali ya maana
Sasa si ndiyo ukosoe nilicho kiandika ambacho mimi mwenyewe sikielewi ? Msitumie nguvu nyingi.
 
Najivunia kuwa MkRisto maana sijui kwa hayo majini yalivyowatawala tena mnayasujudiaa ningekuwa nimekimbiaa zamani
Hapa hakuna hona tena, yaani unajivunia upotevu na ujinga ? Ila siyo mbaya. Turudi kwenye hoja ya msingi.
 
Kwani mwana wa Adam maana akee nini kwa uelewa wako??
Siyo kwa uelewa wa fulani, yaani kwa uhalisia wa mambo kwa mtu yeyote mwenye akilo timamu anajua mwanadamu ni mtu mwanada yaani mwana wa Adamu, kwa maana mwenye chimbuko la Adamu.
 
kisai hebu twambie mtume muhammad alikufaje vipi? Natural death? Alipewa sumu?
Mtume alikufa, aliumwa akafa.

Natural Death ndiyo nini ?

Hakupewa sumu, bali alikuwa nyama ambayo ilikuwa na sumu. Hoja yako iko wapi ?

Navyojua mimi kifo ni muda tu, na hizi nyingine huwa sababu.

Sasa hoja yako ni ipi ? Kwamba mitume hawadhuriwi au ? Manabii wangapi wame uliwa na Wayahudi ? Sababu za Mayahudi kulaaniwa miongoni mwa sababu nyingi walikuwa wakiwaua manabii wa Allah.

Yesu ambaye nyinyi mnamuita Mungu, huwa napata ukakasi sana nikitumia hili tamko, sababu mnamdhalilisha nabii na mja wa Allah na kumdhihaki Allah, alipitia shuruba kiasi gani ?

Sasa nasubiri kuona hoja yako ilipo.
 
Back
Top Bottom