Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

Hapa ndipo vijana wengi tunapokwama.

Unajua fika wewe ni dini tofauti na mpenzi wako. Unajua fika ukifosi kuna sehem pande zote mbili kwa wazazi na ndugu mtatengwa. Tena hata mkifosi mkaoana kuna uwezekano watoto wakakosa direction na kujua wafate mafundisho ya dini gani maana wazazi mpo dini tofauti. Mmoja anasali msikitini mwngne kanisani. Wapo mtakaosema ikitokea tumezaa mtoto akikua ataamua afate dini ipi! Jamani mafunzo mazuri ya dini siku zote huanzia utotoni, hapo ndipo mtoto anapopata good narration to see the right and wrong.

Hali hii itazidi kuwatafuna kadri vizazi vyenu vitakavyoendelea na hakutakua na amani ndani. Trust me hakutakua na amani. Najua wapo watakaonipinga na kusema mapenzi hayaangalii dini. Ni kweli mapenzi hayaangalii dini, lakini kuishi na mtu kama mke na mume dini lazima ipewe kipaumbele chake. Tena ni kigezo muhimu sana hiko wala tusidanganyane.

Tusitake kuishi kizungu wakati bado tamaduni zetu hazijafika huko. Na sidhani kama tutafika huko maana kila dini ina mafundisho yake na tunarithishana vizazi na vizazi. Kuepuka usumbufu wowote ule na mpasuko ktk familia ni bora uwe na mahusiano na mtu wa dini yako. Itakuweka huru sana.

Ifike hatua tusiishi kwa kuendeshwa na hisia bali akili. I REST MY CASE.

Wewe ni muislam au mkristo maana ulizaliwa ukawakuta wazazi wako wana dini hiyo ndio maana ukawa na dini hiyo.

Hivyo sioni ubaya mtu wa mtu mzima alie na miaka 18 kubadilisha dini kwa hiari yake mwenyewe kisa mapenzi.
 
وَمَن يُشَاقِقِ الرَّسُولَ مِن بَعْدِ مَا تَبَيَّنَ لَهُ الْهُدَىٰ وَيَتَّبِعْ غَيْرَ سَبِيلِ الْمُؤْمِنِينَ نُوَلِّهِ مَا تَوَلَّىٰ وَنُصْلِهِ جَهَنَّمَ ۖ وَسَاءَتْ مَصِيرًا

“Atakayempinga Mtume baada ya kumbainikia uongofu na akafuata njia isiyokuwa ya waumini, Tutamwacha aelekee huko alikoelekea na [baadaye] Tutamwingiza Motoni – na uovu ulioje mahali pa kuishia.” (04:115)

Allah atuongoze na atuhifadhi.
Umesema mungu ni mmoja..mbona hapa tena huyo mungu anatumua wingi..?

#MaendeleoHayanaChama
 
Dah! Upo kama me nina binti wa kislamu me ni mkristo huyu mwanamke ni mzuri ile mbaya ananipa mahaba haswa ukirudi home anivua shati, viatu sometimes nalishwa sema sasa hiv kasafiri kikazi nimemmiss ila alinipa tahadhari kuwa Wazazi wake hawapendi yeye aje aolewe na mkristo ingawa bado sijajitambulisha kwao kujulikana.Mzee baba niliwahi kuleta mada hapa "Wanawake wa waislamu wengi Wana mahaba ukilinganisha na wakristo wakristo wanakwama wapi"? kuna baadhi wakanipinga especially wanawake wa kikristo lakini uhalisia tunauona sisi Wanaume kiukweli wanawake wakislamu wanajua mahaba na wajua kumtreat mwanaume vizuri kwenye Hili lazima tuwape sifa yao na mademu wakikristo wasione wivu kuna jambo la kujifunza kwao
Dini haina mahusiano na kupenda, kujali kwene mahusiano.
 
Dah umenikumbusha kaka yangu alipomfata ex wangu eti niachane nae kisa ni dini tofauti tena alimfata na panga hiki kisa natamani niazishie uzi yale mahusiano nilipigwa mikanda sana home[emoji51]
Ukitulia mama tudondoshee stori pls.
 
[emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514][emoji3514]

Mzee umeua.. kwanini uingie kwenye mahusiano na mtu mwenye Imani tofauti na wewe? Ina maana ya dini huyaelewi?
Huwa inatokea, msimlaumu.
 
Hapa ndipo vijana wengi tunapokwama.

Unajua fika wewe ni dini tofauti na mpenzi wako. Unajua fika ukifosi kuna sehem pande zote mbili kwa wazazi na ndugu mtatengwa. Tena hata mkifosi mkaoana kuna uwezekano watoto wakakosa direction na kujua wafate mafundisho ya dini gani maana wazazi mpo dini tofauti. Mmoja anasali msikitini mwngne kanisani. Wapo mtakaosema ikitokea tumezaa mtoto akikua ataamua afate dini ipi! Jamani mafunzo mazuri ya dini siku zote huanzia utotoni, hapo ndipo mtoto anapopata good narration to see the right and wrong.

Hali hii itazidi kuwatafuna kadri vizazi vyenu vitakavyoendelea na hakutakua na amani ndani. Trust me hakutakua na amani. Najua wapo watakaonipinga na kusema mapenzi hayaangalii dini. Ni kweli mapenzi hayaangalii dini, lakini kuishi na mtu kama mke na mume dini lazima ipewe kipaumbele chake. Tena ni kigezo muhimu sana hiko wala tusidanganyane.

Tusitake kuishi kizungu wakati bado tamaduni zetu hazijafika huko. Na sidhani kama tutafika huko maana kila dini ina mafundisho yake na tunarithishana vizazi na vizazi. Kuepuka usumbufu wowote ule na mpasuko ktk familia ni bora uwe na mahusiano na mtu wa dini yako. Itakuweka huru sana.

Ifike hatua tusiishi kwa kuendeshwa na hisia bali akili. I REST MY CASE.
Tusitake kuishi kizungu uko sahihi lakini kwanini watu hutolea mifano kwa wazungu tu vipi jamii zingine tulizoiga tamaduni zao na kudharau mpaka lugha zetu za asili tukihusisha kila kilicho chao na imani?huu upofu unaletwa na nguvu gani?!
 
🤣🤣🤣🤣🤣 kwa wanawake kumpenda mwanaume wa kislamu inatokea Mara chache lakini case ya Wanaume kupenda wanawake wa kislamu ni Mara nyingi sana inatokea na hii ni kwasababu wanawake wakislamu wanajua mahaba sana na wanajua kumtreat vizuri mwanaume na hiki kinavutia sana Wanaume
Sasa ili uenjoy vizuri inatakiwa uwe mwislamu
 
Ni rahisi sana mwanaume wa kikristo kumpenda binti wa kiislam kuliko mwanaume wa kiislam kumpenda binti wa kikristo.

Pia hata ikitokea ya mwaume wa kiislam kumpenda binti wa kikrito. Dini ya kiislam inaruhusu mwanaume wa kiislam kuoa binti wa dini ya kikristo. Ila hairuhusu binti wa kiislam kuolewa na mwanaume wa kikristo ama dini nyingine tofaut na ya kiislam.

Wanawake wa kiislam wanavutia sana wanaume wa kikristo sababu ya usafi na mavazi yao ya heshima ya kujisitiri. Ndio maana wanapendwa sana na wanaume wa kikristo shida kuwaoa ndiyo dini ya kiislam inakataa binti yao asiolewe na dini ingine
Ni mtizamo wako,,
 
Nawewe ndo wale mnaomezeshagwa matapishi mnayameza kama yalivyo,
Sasa yesu ndo nani, una uhakika mtoto alie zaliwa na Mary jina lake ni Yesu?

Una uhakika kuwa tukiwaleta wazazi wake walio mzaa ukawatajia hilo jina la Yesu watamufahamu?

Hivi kwamfano wewe leo unaitwa Masawe mtu wa ulaya atakuita kwa jina hilo ulilopewa na wazazi wako au atakutafutia jina lingine tofaut na hilo?
Au Samia suluhu hasan alivyoenda USA aliitwa jina tofauti na hilo la kwake?

Uhalisia; Jina la binadamu halijawahi kubadilika kutoka lugha moja hadi nyingine ndo maana Kama unaitwa Ngolo kante hata uende wapi utaitwa ngolo kante tu.
Haya mambo sijui ya jesus, Yesu yeshua na n.k ni majina ya kusadikika tu waliyo kaa watu wachache wakaanza kuyataja na wala siyo majina halisi ya mtoto wa mariam.

Neno Mungu linabadilika kutoka lugha moja hadi nyingine kwasababu siyo jina la mtu bali ni ufalme au kisasa tunaweza sema ni taasisi. Ila habari za sijui John ni yohana, Mathew ni Mathayo, juda ni Yuda. Haya ni mambo ya viumbe wachache tu walio kaa chini wakaanza kubumba hayo majina kwa lugha zingine. Leo hii akifufuka huyo methew akaja huku bongo ukamuita Mathayo wala hataelewa kama unamuita yeye.

NOTE; Hili andiko halihusiani na mambo ya dini bali limejikita kwenye muktadha wa majina asilia ya binadamu. Maana wafia dini hamchelewi kutoa povu mkiona majina yenu mliyokaririshwa na wazungu waliokuja kwa mashua mnamo karne ya 18 na 19.
Majina kama Abdallah?wazungu wabaya sana!
 
Daaah naumia sana kuna shungi shungi moja nimeipoteza mwaka jana kisa dini hizi zakitumwa. Alafu hadi sim kafuta namba zake. Mungu atanipa chombo nyingine tu.
Iliatjiwa uwe muslim kwa miezi 6 tu, akishakua mke haondoki huyo.
 
Mimi nakupa kazi moja tu ukithibitisha ya kuwa Yesu siyo Nabii Issa mimi nakuwa Mkristo.

YESU SIO NABII ISSA KWA SABABU HUYO NABII ISSA NA YESU NI WANA HISTORIA TOFAUTI MPK HAPO KUANZIA KUZALIWA MPK KUFAA MPK KUFUFUKA

UKOO WA YESU NA HUYO NABII ISSA MNAEMFANANISHA NAE NI TOFAUTII
KIUFUPI HAKUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA YESU KRISTO NA NABII ISSA KAMA KUNGEKUWA NA MFANANO NAFIKIRI STORY ZINGEKUWA ZIPO PAMOJA KIUFUPI NI HISTORIA MBILI TOFAUTI KABISAKABISA UKATAE AMA UKUBALI
 
YESU SIO NABII ISSA KWA SABABU HUYO NABII ISSA NA YESU NI WANA HISTORIA TOFAUTI MPK HAPO KUANZIA KUZALIWA MPK KUFAA MPK KUFUFUKA

UKOO WA YESU NA HUYO NABII ISSA MNAEMFANANISHA NAE NI TOFAUTII
KIUFUPI HAKUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA YESU KRISTO NA NABII ISSA KAMA KUNGEKUWA NA MFANANO NAFIKIRI STORY ZINGEKUWA ZIPO PAMOJA KIUFUPI NI HISTORIA MBILI TOFAUTI KABISAKABISA UKATAE AMA UKUBALI
Mama yake Yesu ni nani ? Yesu alizaliwa mji gani ?

Unahoji kitoto sana, kuna mambo ya msingi ambayo katika habari hayaepukiki na ndiyo yanabeba habari nzima. Kutofautiana mahali au mfano wake ni katika sehemu ndogo sana ya habari.


Mpaka unakufa huwezi kuthibitisha ya kuwa Yesu siyo Nabii Issa kwa hoja za kielimu.
 
Back
Top Bottom