Nilitangaza ndoa ila mwisho wa siku akazalishwa na mume wa mtu. Anaomba turudiane wakati nina mke sasa

Nilitangaza ndoa ila mwisho wa siku akazalishwa na mume wa mtu. Anaomba turudiane wakati nina mke sasa

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
 
karma is bitch.
Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia.wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine.
nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.
mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa,kimbembe kikaanza hapo sasa.
vituko kibao sijui tuwachane,kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.
nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba.anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

prof jay-Nikusaidiaje
Msamehe
 
karma is bitch.
Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia.wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine.
nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.
mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa,kimbembe kikaanza hapo sasa.
vituko kibao sijui tuwachane,kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.
nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba.anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

prof jay-Nikusaidiaje
Msamehe
 
IMG_4172.jpg
 
Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
Hapo shida yake ni malezi ya mwanae tu, kuwa makini
 
Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
Muoe.Aliona bado hana utaalamu wa kuiishi ndoa akiwa nawe.Amepata uzoefu.Sasa muoane kwani ni wahitimu safi.
 
Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
Mambo yangu yamekaa kisanii sanii

Mambo yako yana ushetani ushetani.

Nashangaa unaanza kutupa stori za kanisani hapa🤣
 
Karma is bitch.

Mapenzi ni upofu ila mwisho wa siku unaweza kuona bila kutarajia, wakati unataka muwe familia mmoja yeye anaweza mengine. Nilimpenda sana huyu binti mpaka maisha yangu yamepunguzwa kwake baada ya akiba yangu kumpa ili tu tuwe wote.

Mwanaume nikaona mke ndio huyu nika jitosa kwao na wazazi wakanipa baraka tukapeleka posa na kutangaza ndoa, kimbembe kikaanza hapo sasa. Vituko kibao sijui tuwachane, kuna kipindi tupo kwenye mipango ya harusi miezi 6 sija wai kumuona wala kwao mawasiliano.

Nilifika kwao ila wazazi wake waliniomba nitafute mwengine maana aibu kwao kwa hayo mpaka wenyewe hawaja wasiliana naye.

Niliumia sana na nilipata aibu sana ikapita miaka 6 kuanza kunitafuta tena bahati mbaya au nzuri kwao na kwetu ni majirani kupata namba, anaanza kubembembeleza wakati kazailishwa na mume wa mtu na mtoto ni mkubwa mpaka wanapelekeshana ustawi wa jamii .

Kinacho muumiza zaidi kabaki anatangatanga huku akiona mimi na maisha mazuri ya furahaa na familia.

Prof. Jay-Nikusaidiaje
Kumbe mapenzi yanamtesa hata
Kaka yake shetani ? Mimi ni nani sasa?🤣🤣🤣🤣
Kapeace
 
Mimi simpi mwanamke nafasi yeyote maishani mwangu, akinizalia tu mtoto nampima DNA kisiri siri, nikiona ni wangu ndipo naanza kumpenda ila kama mtoto ni wa jirani au wa kibaka tu mtaani namtoa mwanamke nduki usiku usiku arudi kwao na asinijuwe tena yeye na mwanamwe aliyezaa na kibara. Wanaume wote tukiwa hivi, wanawake watakuwa waangalifu sana maishani mwao.
 
Back
Top Bottom