Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

alikuwa mjanja sana alinambia lipia kabisa wamalizie kufunga kitasa na mlango ilikuwa ni gheto jipya hee kesho yake kuja nakuta mtu ashahamia na umefungwa mlango tayari means kazi ilifanyika siku hyo hyo nilivoondoka tu
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nadhani sasa hivi huwezi tapeliwa kirahisi hivo
 
Tasmini ya haraka isiyo rasmi ya wanaJF

30% wamewahi kutapeliwa
30% ni wasukuma
20% waalimu
10% wanaishi Goba/Mbezi
10% bado naendelea kufuatilia, lakini ni either waArusha au wachagga...hapa sijajua lakini wanaweza kugawana
🀣Kutapeliwa kupo kama hujawahi ipo siku tu na wewe utadandia mtumbwi wa vibwengo
 
Mpaka mapaja yachubuke πŸ˜‚
Mimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki πŸ˜…πŸ˜….

Nimefika pale wakamwita dada mmoja anajifanya alikuwa mwanachuo na sasa anamiliki gari kali baada ya kuuza madawa yao πŸ˜œπŸ˜…πŸ˜….

Nikamchunguza nikaona kama ni kikoti cha mtumba kavaa halafu kimenyooshwa sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sikuishia hapo nikashuka kwenye kiskuna weee cha kuokoteza Mwenge. Nikawaambia asante. Nikaishia 😜
 
Mimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki πŸ˜…πŸ˜….

Nimefika pale wakamwita dada mmoja anajifanya alikuwa mwanachuo na sasa anamiliki gari kali baada ya kuuza madawa yao πŸ˜œπŸ˜…πŸ˜….

Nikamchunguza nikaona kama ni kikoti cha mtumba kavaa halafu kimenyooshwa sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sikuishia hapo nikashuka kwenye kiskuna weee cha kuokoteza Mwenge. Nikawaambia asante. Nikaishia 😜
Wewe sio mgeni jijini ndio maana
 
Tasmini ya haraka isiyo rasmi ya wanaJF

30% wamewahi kutapeliwa
30% ni wasukuma
20% waalimu
10% wanaishi Goba/Mbezi
10% bado naendelea kufuatilia, lakini ni either waArusha au wachagga...hapa sijajua lakini wanaweza kugawana
Nyingine nikuongezee wapi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…nahisi hujazijua
 
Aisee umenikumbusha kipindi kuna manzi nilikiwa namlia timing namuona kabisa huyu anaigia kwenye mtego mwisho wa siku ananiambia tukutane sijui kwenye mkutano halafu mwisho wa siku tukaingia ukumbini naambiwa Good morning mchana wa jua kali nikaona huu msala🐼
 
Back
Top Bottom