Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

Sasa umejuaje kuwa sijawahi kutapeliwa? Au ni muhimu kuja kuhadithia humu?
Umeniquote vibaya


Dodoso langu lilikuwa kuhoji endapo tanakuri nilizoziwasilisha zimekuchekesha kwa namna njema

Na sio kuleta talanta zozote za mabishano baina yetu au wasilisho lako pia kuliwasilisha kwa mantiki ya kusema kwamba si kila jambo si kila mtu aona muhimu kuliwasilisha kwa hadhira

Ni hivyo tu madam na si marumbano ya tafakuri zetu
 
Hiyo 20% ilobaki ndo basi tena? Tuishi nao tu 🤣🤣
Single mother hatujaona % zetu hapo....
Unatupa ngapi?
Kuna CHAPUTA na KATAA NDOA nao sijaziona % zao.
Yaani Jf humu mambo ni moto, mambo mengi kuliko upele wa takoni 😅😅😅
 
Umeniquote vibaya


Dodoso langu lilikuwa kuhoji endapo tanakuri nilizoziwasilisha zimekuchekesha kwa namna njema

Na sio kuleta talanta zozote za mabishano baina yetu au wasilisho lako pia kuliwasilisha kwa mantiki ya kusema kwamba si kila jambo si kila mtu aona muhimu kuliwasilisha kwa hadhira

Ni hivyo tu madam na si marumbano ya tafakuri zetu

Mkuu, kiukweli sijasoma uzi wako zaidi ya title
Sijui umeandika nini,nimeona tu uzi ni mrefu nitausoma wakati mwingine

Hata hivyo comment yangu haikuwa na lengo la malumbano...wala sijachekeshwa na uzi wako(kama nilivyokwambia nimesoma title tu)
Nachekaje mtu akitapeliwa?
 
Mkuu, kiukweli sijasoma uzi wako zaidi ya title
Sijui umeandika nini,nimeona tu uzi ni mrefu nitausoma wakati mwingine

Hata hivyo comment yangu haikuwa na lengo la marumbano...wala sijachekeshwa na uzi wako(kama nilivyokwambia nimesoma title tu)
Nachekaje mtu akitapeliwa?
Hapa nimekuelewa sasa.

Before I thought it was fun for you!!!


Thus nikashangazwa kidogo kiasi cha kutaka kuhisi au ww ndie yule rafiki alinitapeli ananizoom
 
Back
Top Bottom