kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
- Thread starter
- #81
Sawa faza tunakisubiriaDa kuna kisa changu ntakileta sio muda, sasahivi naona uvivu kuandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa faza tunakisubiriaDa kuna kisa changu ntakileta sio muda, sasahivi naona uvivu kuandika
Kilikuwa kimeo gani anko
Muache apigwe kitu kizitoDah ulimwengu shujaa Kuna rafiki yangu nae kaaminishwa kuwa atafanikiwa kwa njia kama hii nimemshaur aachane na haya mambo lkn kwanza ndo haelewi chochote
mno kaka naelewa asewSimu anko nilipigwa kizembe sana, ukiwa mgeni na baadhi ya maeneo kua makini sana
Acha mkuu ukipigwa pesa ndefu unahisi kuna kitu kooni, hakimezeki wala hakitemeki 😂Ha haaa 🤣🤣🤣
Bungo hilo likikwama kooni halitemeki.
Kaka mimi ni mweusi wa kuzaliwa hiyo dp ndio uhalisia wa rangi yanguVipi, huo weusi kama wa Idd Amini Umeisha?
Single mother hatujaona % zetu hapo....
Unatupa ngapi?
Kuna CHAPUTA na KATAA NDOA nao sijaziona % zao.
Yaani Jf humu mambo ni moto, mambo mengi kuliko upele wa takoni 😅😅😅
Ukikileta nitag mkuuDa kuna kisa changu ntakileta sio muda, sasahivi naona uvivu kuandika
Hongera hukunasa mimi nilidandia mtumbwi wa vibwengo aseehahaha nilikutana nao na classmate wa form one miaka hyo akanijia kwa fb na package za laki 6 na wamefungua mpaka ofisi na watu wengi tuliwepo kama shule vile tunapigwa hyo elimu na mafanikio unaona haya hapa,, afu clasmate ananishawish kwa mifano hai kabs nkakubali sema nilikuwaga na mwanangu huyo namshirikisha kila mchongo tujue tunapgaje nd huo mwanangu akanambia hapo uwongo akanifungua akili kwel nilichomoka kihvo
Hatari sanamno kaka naelewa asew
Kaka unanizoomWengine ni warahisi kutoa pesa hata sisi ambao sio matapeli inabidi tuwatapeli tu.
Wazee wa Q net..😂😂Hao wanakuja hadi vyuoni Boom likitoka 😅😅😅kuna wanafunzi waliingia kichwa kichwa na hawakufanikiwa 😅😅😅.
Ndo ivo mkuu, dili nyingine zinakuja tu kwasababu watu wanatoa pesa kirahisi tuKaka unanizoom
Pole mkuu.Kaka mimi ni mweusi wa kuzaliwa hiyo dp ndio uhalisia wa rangi yangu
Umeongea kwa hisia sana mkuu na sikupingi katika hili Dar wajanja wajanja ni wengi sana si kwa vijana hadi wazee...Hao watu wakujiita wa dar kaa nao makini usiwaamini kabisa kwenye suala la biashara.. Kuna Mzee mmoja niliunganishwa na vijana wake huku mkoani nikaambiwa ni Mzee wa heshima zake ni kweli alikuwa meneja wa mabasi ya Osaka Raha hapo ubungo enzi hizo... Mzee nimefanya nae kazi namtumia mzigo mpaka wa ml 1 tunalipana vzuri tu... Tulienda hivyo hivyo mara mawasiliano yawe hafifu lkn baadae nilikuja kumsoma Mzee ni muhuni wa zaman huwezi amin alikuja kupita na 175k pesa ndogo sana akapotea hewani na biashara yetu ikaishia hapo
Mzee ally kivuyo popote ulipo huu ni mwaka wa 3 unatembea na jasho langu... Kwa Imani yangu sijapoteza ila ww ndio umepoteza.
Jamaa mwingine alijifanya ananijua sana sijui hata namba yangu aliipata wapi, alikuwa ananitumia pesa namtumia mzigo tulienda hivyo kwa miezi sita hatufaamiani zaidi ya sauti, Kuna kipindi akafunga safari akaja mpaka huku nilipo tukafahamiana kwa sura, huwezi amini nilimfungia mzigo wa laki 3, nilisumbuka sana kuipata pesa yangu mwisho wa siku alituma laki 2 kwa mbinde mpaka Leo hiyo laki nilisamehe
Visa ni vingi sana mpaka Leo uikinambia ww upo dar unakula block ya kimya kimya maana najua hapo biashara hamna zaidi ya uhalifu... So wapambanaji wenzangu kuweni makini na hao jamaa wa pande hizo hawana chembe ya utu hata kidogo