Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

Mimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki πŸ˜…πŸ˜….

Nimefika pale wakamwita dada mmoja anajifanya alikuwa mwanachuo na sasa anamiliki gari kali baada ya kuuza madawa yao πŸ˜œπŸ˜…πŸ˜….

Nikamchunguza nikaona kama ni kikoti cha mtumba kavaa halafu kimenyooshwa sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… sikuishia hapo nikashuka kwenye kiskuna weee cha kuokoteza Mwenge. Nikawaambia asante. Nikaishia 😜
Bahati yako suti iliwaangusha maana ungekuwa na makasiriko hadi uzeeni
 
Kuna 10% nyingine hapo wana depression, either iliyosababishwa na mapenzi,umasikini ama magonjwa
Kuna 40% zinatakiwa kwenda kwa members ambao madishi yalishayumba kwasababu mbali mbali

Aise mambo ni mengi
Alafu kati yao 20% wakiwahiwa wanapona.πŸ˜‚
 
Kuna classmate wangu aliingia akaanza na kutamba mwisho wa mwaka ananunua gari, kilichomtokea hasahau maishani mwake.

Kuna wa hawa wanaojiita LBL nae naona kasi yake si nzuri.
Kuna hawa pia, ni kampuni ya mkopo, aliyewahi kupewa pesa aje kutueleza
Screenshot_20250125_211904_Flexi Cash - mkopo wa fedha.jpg
 
Suti ya kuunganisha πŸ˜… ni nyeusi lakini kuna mpauko na iliyokolea sanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Koti la Karume Skirt ya Mwenge 😜😜😜😜 Viatu vimepigwa kiwi πŸ˜…
πŸ˜‚ una bahati sana
 
Aisee umenikumbusha kipindi kuna manzi nilikiwa namlia timing namuona kabisa huyu anaigia kwenye mtego mwisho wa siku ananiambia tukutane sijui kwenye mkutano halafu mwisho wa siku tukaingia ukumbini naambiwa Good morning mchana wa jua kali nikaona huu msala🐼
πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚kaka alitaka kukugeuza fursa chap na ungenasa kiurahisi kwa maana mapenzi ni upofu
 
Tatizo mnasikiliza sana nyimbo za zuchu, ungesikiliza bonga daresalaam toka kwa nigga Jay, prof jize, professor J, mzee wa mitulinga, ungepata mwangaza wa dar πŸ˜‚πŸ€£
 
Back
Top Bottom