Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Bahati yako suti iliwaangusha maana ungekuwa na makasiriko hadi uzeeniMimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu π π π niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki π π .
Nimefika pale wakamwita dada mmoja anajifanya alikuwa mwanachuo na sasa anamiliki gari kali baada ya kuuza madawa yao ππ π .
Nikamchunguza nikaona kama ni kikoti cha mtumba kavaa halafu kimenyooshwa sana π π π sikuishia hapo nikashuka kwenye kiskuna weee cha kuokoteza Mwenge. Nikawaambia asante. Nikaishia π