kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
- Thread starter
-
- #21
alikuwa mjanja sana alinambia lipia kabisa wamalizie kufunga kitasa na mlango ilikuwa ni gheto jipya hee kesho yake kuja nakuta mtu ashahamia na umefungwa mlango tayari means kazi ilifanyika siku hyo hyo nilivoondoka tuUlivyolipia ungeomba ufunguo π π π
Aim Global washenzi sanaMkuu hyo kampun ilkuwa inaitwaje please
Mpaka mapaja yachubuke πUtatembea hadi viatu viishe π π π
π π π π nadhani sasa hivi huwezi tapeliwa kirahisi hivoalikuwa mjanja sana alinambia lipia kabisa wamalizie kufunga kitasa na mlango ilikuwa ni gheto jipya hee kesho yake kuja nakuta mtu ashahamia na umefungwa mlango tayari means kazi ilifanyika siku hyo hyo nilivoondoka tu
Nilimuachia laana maana sio kwa nilivotetemeka ile laki tano huwa inauma hadi leo nikiwa nimefuliaMkuu hukuwa unasikia kama kuna kitu kimenasa kooni hakimezeki wala hakitemeki?
Kwenye ishu inayohusiana na pesa usije ukarogwa ukamuamini mtu 100% utajuta.
Acha tu momSasa ile laki tano imeniuma kama yangu aceee π π π π π π π π π π
Nishakuwa mjanja hapa jijiniπ€£π π π π nadhani sasa hivi huwezi tapeliwa kirahisi hivo
Kula chuma hichoπNilimuachia laana maana sio kwa nilivotetemeka ile laki tano huwa inauma hadi leo nikiwa nimefulia
10% wana magariTasmini ya haraka isiyo rasmi ya wanaJF
30% wamewahi kutapeliwa
30% ni wasukuma
20% waalimu
10% wanaishi Goba/Mbezi
10% bado naendelea kufuatilia, lakini ni either waArusha au wachagga...hapa sijajua lakini wanaweza kugawana
π€£Kutapeliwa kupo kama hujawahi ipo siku tu na wewe utadandia mtumbwi wa vibwengoTasmini ya haraka isiyo rasmi ya wanaJF
30% wamewahi kutapeliwa
30% ni wasukuma
20% waalimu
10% wanaishi Goba/Mbezi
10% bado naendelea kufuatilia, lakini ni either waArusha au wachagga...hapa sijajua lakini wanaweza kugawana
Mimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu π π π niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki π π .Mpaka mapaja yachubuke π
Kaka ni ugeni tu jijini ilinipa funzo piaKula chuma hichoπ
We shida yako ulizuzuka ukaona utaaibika usipotoa hela.
Wewe sio mgeni jijini ndio maanaMimi waliniita lakini Mungu alikuwa upande wangu π π π niliwasikiliza halafu nikawaambia sitaki π π .
Nimefika pale wakamwita dada mmoja anajifanya alikuwa mwanachuo na sasa anamiliki gari kali baada ya kuuza madawa yao ππ π .
Nikamchunguza nikaona kama ni kikoti cha mtumba kavaa halafu kimenyooshwa sana π π π sikuishia hapo nikashuka kwenye kiskuna weee cha kuokoteza Mwenge. Nikawaambia asante. Nikaishia π
Nyingine nikuongezee wapi π π π π nahisi hujazijuaTasmini ya haraka isiyo rasmi ya wanaJF
30% wamewahi kutapeliwa
30% ni wasukuma
20% waalimu
10% wanaishi Goba/Mbezi
10% bado naendelea kufuatilia, lakini ni either waArusha au wachagga...hapa sijajua lakini wanaweza kugawana
πUnacheka kutapeliwa kwangu madamUmejua kunichekesha[emoji1787][emoji1787]
10% wana magari